Walec
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,364
- 3,326
Sasa mkuu kwenye screenshot sindio kuna picha yenyew? Kwani sheria imesema picha iweje ili ikubalike kama picha?Ni tofauti mkuu....alichopost harmonize ni sreenshot kutoka kwenye simu yake...kosa la rayvanny ni kumpiga kajala picha tena ya video na kuipost unless kajala amtetee kua alikubali kupigwa picha vinginevyo sheria itakuchukua mkondo wake