Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Ni tofauti mkuu....alichopost harmonize ni sreenshot kutoka kwenye simu yake...kosa la rayvanny ni kumpiga kajala picha tena ya video na kuipost unless kajala amtetee kua alikubali kupigwa picha vinginevyo sheria itakuchukua mkondo wake
Sasa mkuu kwenye screenshot sindio kuna picha yenyew? Kwani sheria imesema picha iweje ili ikubalike kama picha?
 
Ni tofauti mkuu....alichopost harmonize ni sreenshot kutoka kwenye simu yake...kosa la rayvanny ni kumpiga kajala picha tena ya video na kuipost unless kajala amtetee kua alikubali kupigwa picha vinginevyo sheria itakuchukua mkondo wake
Edit maelezo yako sio Kajala ni mtoto wake ndio alihusika hapo.
 
Ni tofauti mkuu....alichopost harmonize ni sreenshot kutoka kwenye simu yake...kosa la rayvanny ni kumpiga kajala picha tena ya video na kuipost unless kaja

Kascreenshot kwa simu yake mwenyewe harmonize?

Kama hamisa ataamua kumshtaki kajala kajala nae anakesi ya kujibu unless kajala atoe ushahidi kua ni kweli hamisa ndo alimpeleka paula kwa rayvanny....ila kumbuka kajala hakukurupuka hamisa ametajwa na paula katika kujitetea kwake,..kwhy ushahidi wa paula unawez kumuokoa mama yake
Hivi dada yangu ushawahai kusimama pale kwenye kile kichumba kidogo aka kizimbani,pazito pale hayo unayo ya sema Paula kwamba atamuokoa mama yake,usishangae akamchoma mama yake na akaonekana mama mwenyewe hajui kulea na toto lenyewe halifai.

Sababu kwa kesi kama hii Rayvany nae atasimamisha mawakaili wa hadhi ya juu usizani kama atakuja kinyonge,so unaweza ukakuta kesi ikamgeukia,baadae Rayvanny akaomba fidia kubwa kwa kuchafuliwa jina lake, yote yana wezekana kwenye sheria,kwani watu wanachomoka kwenye kesi ngumu za mauaji na hujumu uchumi sembuse kesi hii.
 
Miaka 30 kwa sheria za nchi gani? kwani kambaka? hoja ya mwanafunzi haina mashiko, Paula hayupo kwenye mfumo rasmi wa elimu tangu 2019, private candidate aweza hata kuwa mama mwenye 50, unaeza mshitaki bwana wa private candidate mwenye 50 kwa kutembea na mwanafunzi?
Unasahau sheria ya mtandao pia inahusika, kamuulize Wema na yule waliokuwa wanamla D two
 
Back
Top Bottom