Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Kascreenshot kwa simu yake mwenyewe harmonize?


Hivi dada yangu ushawahai kusimama pale kwenye kile kichumba kidogo aka kizimbani,pazito pale hayo unayo ya sema Paula kwamba atamuokoa mama yake,usishangae akamchoma mama yake na akaonekana mama mwenyewe hajui kulea na toto lenyewe halifai.

Sababu kwa kesi kama hii Rayvany nae atasimamisha mawakaili wa hadhi ya juu usizani kama atakuja kinyonge,so unaweza ukakuta kesi ikamgeukia,baadae Rayvanny akaomba fidia kubwa kwa kuchafuliwa jina lake, yote yana wezekana kwenye sheria,kwani watu wanachomoka kwenye kesi ngumu za mauaji na hujumu uchumi sembuse kesi hii.
Nakubaliana na wewe mkuu hata wewe husingekubali kufungwa kizembe lazima ataweka mawakili wa kumtetea...ila kwa ushauri wangu rayvanny angelimaliza hili swala nje ya mahakama na hatua ya kwanza angekubali kosa na kuomba msamaha mbele ya waandishi wa habari...mahakamani sio sehemu ya kubet na istoshe jamii imechukizwa sana kwahy anawakati mgumu sana wa kuipindua hii kesi na itokee bahati mbaya apewe hakimu mwanamke itakua imekula kwake...aige mfano wa lulu na kanumba lulu alikubali kujishusha kesi ikawa ndogo na jamii ikaridhika
 
Nakubaliana na wewe mkuu hata wewe husingekubali kufungwa kizembe lazima ataweka mawakili wa kumtetea...ila kwa ushauri wangu rayvanny angelimaliza hili swala nje ya mahakama na hatua ya kwanza angekubali kosa na kuomba msamaha mbele ya waandishi wa habari...mahakamani sio sehemu ya kubet na istoshe jamii imechukizwa sana kwahy anawakati mgumu sana wa kuipindua hii kesi na itokee bahati mbaya apewe hakimu mwanamke itakua imekula kwake...aige mfano wa lulu na kanumba lulu alikubali kujishusha kesi ikawa ndogo na jamii ikaridhika
Umetumia statements nzuri kabisa kesi ni sawa na kubet,vipi akina Kajala wakipoteza manake Rayvanny na Hamisa watadai fidia so yote yana wezekana.

Alafu kama mzazi aliyekuwa makini, sensitive kwa mwanae kwa nini asinge react kipindi kile kile alichogundua mwanawe kapewa pombe na kubakwa? Ina maana alikuwa anasubiri video ivuje ndio aende mahakamani kudai mwanae kabakwa? Haimake sense.Manake kama angeenda siku hiyo hiyo aliyegundua mwanae kaleweshwa na kubakwa angewasaidia wataalam wa forensic kupata ushahidi wa uhakika wa kumtia hatiani Rayvanny.Manake hapo kesi itaendeshwa kwa kielelezo cha hiyo video.
 
Mkuu kwa mfano wewe ukichukua picha yako ukaipost hapa jf...umeshaondoa ile dhana ya privacy..kwahy hakuna kesi kwa mtu atakaamua kuscreenshot.lengo la sheria ni kulinda privacy za watu.
Mwanzo ulisema kuhusu ridhaa, kwaiyo picha ya screenshot haiitaji ridhaa tena? Mana point ni kupost picha ya mtu bila ridhaa yake...
 
Nakubaliana na wewe mkuu hata wewe husingekubali kufungwa kizembe lazima ataweka mawakili wa kumtetea...ila kwa ushauri wangu rayvanny angelimaliza hili swala nje ya mahakama na hatua ya kwanza angekubali kosa na kuomba msamaha mbele ya waandishi wa habari...mahakamani sio sehemu ya kubet na istoshe jamii imechukizwa sana kwahy anawakati mgumu sana wa kuipindua hii kesi na itokee bahati mbaya apewe hakimu mwanamke itakua imekula kwake...aige mfano wa lulu na kanumba lulu alikubali kujishusha kesi ikawa ndogo na jamii ikaridhika
Nyuma ya Chui kuna Diamond unajua na Mond anaweza kupray part yakaisha Kidiplomasia au ikishindikana akamaliza kiundava.
 
Umetumia statements nzuri kabisa kesi ni sawa na kubet,vipi akina Kajala wakipoteza manake Rayvanny na Hamisa watadai fidia so yote yana wezekana.

Alafu kama mzazi aliyekuwa makini, sensitive kwa mwanae kwa nini asinge react kipindi kile kile alichogundua mwanawe kapewa pombe na kubakwa? Ina maana alikuwa anasubiri video ivuje ndio aende mahakamani kudai mwanae kabakwa? Haimake sense.Manake kama angeenda siku hiyo hiyo aliyegundua mwanae kaleweshwa na kubakwa angewasaidia wataalam wa forensic kupata ushahidi wa uhakika wa kumtia hatiani Rayvanny.Manake hapo kesi itaendeshwa kwa kielelezo cha hiyo video.
Mkuu fidia kwa upande wa kajala wanaweza kuchangiwa hata na wananchi wanaowaunga mkono....ila jela miaka30 hakuna anaeweza kumsaidia rayvanny hata masaa2 pale segerea...kwhy rayvanny ameshika kwenye makali mpaka sasa
Na kuhusu kubakwa hakuna mahali popote ambapo kajala anadai mwanae alibakwa...ila anadai walimrubuni kwa kumpa pombe wakampiga picha bila idhini yake na ushahidi huu nahisi umetolewa na paula mwenyewe baada ya kubanwa na mama yake kuhusiana na hizo clip...kwhy kabla ya ili tukio kajala alikua hajui chochote hapaswi kulaumiwa
 
Hata mimi kaka yani ile video impeleke mwamba miaka 30 kwa kipi yani...kwanza yule Dogo moto kaanza kupelekewa kitambo hafai hata kwa ndoa...Hamna mtoto pale babaake kashindwa wanataka tu kumpaisha kichwa moto bwana Raymond mwakifwambe
Kwa ile video mm sioni kesi hapo, labda kama kunavideo ya mnyakyusa anayompelekea moto paula[emoji1]
 
Mkuu fidia kwa upande wa kajala wanaweza kuchangiwa hata na wananchi wanaowaunga mkono....ila jela miaka30 hakuna anaeweza kumsaidia rayvanny hata masaa2 pale segerea...kwhy rayvanny ameshika kwenye makali mpaka sasa
Na kuhusu kubakwa hakuna mahali popote ambapo kajala anadai mwanae alibakwa...ila anadai walimrubuni kwa kumpa pombe wakampiga picha bila idhini yake na ushahidi huu nahisi umetolewa na paula mwenyewe baada ya kubanwa na mama yake kuhusiana na hizo clip...kwhy kabla ya ili tukio kajala alikua hajui chochote hapaswi kulaumiwa
Jela ya miaka 30 kwa kosa gani mkuu? Mbona huweki wazi..kwann uongelee kitu kisichokuepo?
 
Hili jambo limemchanganya sana Harmonize
JamiiForums-1285264001.jpg
 
Nyuma ya Chui kuna Diamond unajua na Mond anaweza kupray part yakaisha Kidiplomasia au ikishindikana akamaliza kiundava.
Wasafi tv imefungiwa miezi6 kwa kosa la gigi mpaka sasa ameplay undava upi...embu tuanzie hapo...katika hii nchi diamond ni mtu mdogo sasa yani watu wakiamua yao dk0 anarudi tandale..kuna mtu alikua anaitwa Lugumi alikua tajiri na nyumba kam 200 ivi..muulize sasahivi yuko wapi na anahali gani
 
Back
Top Bottom