Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Kwa vannyboy wataniua tuuu😀😀Shabiki kindaki ndaki wa Vannyboi[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vannyboy wataniua tuuu😀😀Shabiki kindaki ndaki wa Vannyboi[emoji1787][emoji1787]
Elimu haijanisaidia kupata hela ila imenitoa upumbavu wa kukurupuka na kuendeshwa na hisia bila facts. Harmonise anakurupuka kesi ipo TCRA ila si hicho anachokifikiri
Wazinzi fulani hivi, kuanzia mshtakia, mshtakiwa na wote waliotajwa hapo, kiufupi ni wazinzi wanaojiita watu maarufuHivi hawa watu wanao jadiliwa humu ndio kina nani kwani?
Tupo na Mobeto hapa tunampanga , haiwezekani brand yake iharibiwe kiboya boya, tunahitaji one billion cash kama refund ya kuchafua mtandaoni ....Kajala na kondeboy wajipangeYeye na huyu hawara yake wote wanafiki wangekuwa na uchungu wangekatiza ziara yao siku Ile Ile wangerudi kuonyesha kimewauma
Hapo inaonesha kabisa mtoto anaemuelewa mwana Tena anarecord kabisa alafu Kuna lijitu linasema eti huyo binti anadhalilishwaNa kilicho haribu zaidi Ni Kajala kumtuhumu uongo Mobetto.. aisee Kwa brand ya Mobeto na popularity yake hyo issue iki-back fire Mmakonde atajilaumu kukurupuka , ....kingine Paula ana nafas kubwa kwenye hili na kibaya Roho ya Paula ipo imetumzwa kwenye mtimanyongo wa Rayvanyy mtu mbadi , a.k.a chuiiiii.... Leo ni vanny boy yupo na mtoto wa P-Funk Aiiiiiii 😀😀😀... Battle bado ipo in favour of WCB wasafiiiiiiii
View attachment 1703634
Chuiiiii🐆🐆🐆🐆🐆Kwa vannyboy wataniua tuuu😀😀
oyaa me sijauona mzigoIle video hakika inakera sana jamaa alipeleka mzigo wote ghafla dah hatari sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia tamu wallah.[emoji28][emoji28][emoji28] anafatilia kesi ya bintiye?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nyie watu bhana, mnatuvunja mbavu khaaaahUchungu wa mwana aujuae mzazi ,Hongera sana Homonaizi kwa kufatilia haki ya Binti yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio watamtambua Baba mkwe maana kachachamaa kinoma
Aujuae baba mkwe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona ameamua kukamilisha msemo wa uchungu wa mwana..
🤣🤣🤣Aujuae baba mkwe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui inafanya nini ila hii issue haina uhusiano na Mama NdalichakoTCRA inakabiri kesi za aina Gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan heri ukose kula ila sio bundles. Tz patamu hapa, sihami bongo wallah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewe khaaaaaahTupo na Mobeto hapa tunampanga , haiwezekani brand yake iharibiwe kiboya boya, tunahitaji one billion cash kama refund ya kuchafua mtandaoni ....Kajala na kondeboy wajipange
Private candidate ni mwanafunzi kama mwanafunzi mwingine.!Miaka 30 kwa sheria za nchi gani? kwani kambaka? hoja ya mwanafunzi haina mashiko, Paula hayupo kwenye mfumo rasmi wa elimu tangu 2019, private candidate aweza hata kuwa mama mwenye 50, unaeza mshitaki bwana wa private candidate mwenye 50 kwa kutembea na mwanafunzi?
Baba bora ni lazima amlinde binti yake. Wazazi wa kiume tuna cha kujifunza kupitia kwa huyu mshua kutoka Chitohori.
Muhusika ni Harmonize au Kajala? kama ni Paula unauhakika hakuridhia? unayajuaje mambo yao ya chumban? kosa liko wapi mtu kuamua kumpost mpenz wake?Umeisoma vizuri sheria ya makosa ya kimtandao mkuu...kuposti picha ya mtu bila idhini ya muhusika tayari ni kosa na linastahili adhabu
Na mmakonde anakosa la kujibuKupost picha ya mtu bila ridhaa yake peke yake tayari ni kosa la kimtandao na adhabu yake ni miaka5 au faini au vyote viwili....kwhy piga ua galagaza rayvanny anakosa la kujibu hachomoki hapa