carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Nikuombe radhi hapa au kwa majaliwa??Umefanya makosa makubwa sana ku-quote reply yangu.
Niombe radhi mara moja we pimbi.
Huwezi kunikimbia kimya kimya bila kunipa taarifa.
Nilikumiss sana we mwanamke aisee!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kule kwetu uyu mbavu angekua ana pishana na shaba tuu...na vile atupendi ma snitch
Private candidate ni mwanafunzi kama mwanafunzi mwingine.!
Katika shule huwa wanaingia darasan kama wengine na wanavaa uniform kama wengine.
Kitendo kibaya sana, bora haki ifuate mkondo.
Tatizo ubongo wako mdogo,
Shule nyingi utakuta School cand na private wanasoma shule moja na darasa 1.
Unahisi School cand wanapoona mwenzao yupo mitandaon kwa mambo ya kipumbav wataenenda vipi akiwemo mwanao.
Jambo la pili fikiria mzazi ametaka arudie mitihani ya sec ila jitu linampotosha na kibaya zaidi umri wake ni mdogo sana.
kwaiyo dogo kafanya makosa kupima oil?Private candidate ni mwanafunzi kama mwanafunzi mwingine.!
Katika shule huwa wanaingia darasan kama wengine na wanavaa uniform kama wengine.
Kitendo kibaya sana, bora haki ifuate mkondo.
Dalili za kuchanganyikiwaMasikini kijana mdogo Rayvanny miaka 30 nyuma ya nondo.
Harmo ameonekana kituo cha polisi na ushahidi wote aliofanyiwa binti yake.
Picha zinakujaView attachment 1703479View attachment 1703480
jamaa hajakosea kitu awe private au fresh akivaa nguo za shule kesi unaibeba kaka......cha msingi rayvanny na team yaje waombe msamaha kwa familia ya binti kama ni faini basi apigwe atoe yaishe......suala likifika mahakamani hatapona text zote wakiwa wanachat zitafuatwa makao ya mtandao wanaotumia......direct lazima atapata shidaSoma tena upya upupu ulioandika hapa.
Kwani unajua wmeanza kudate lini? Ray kaanza kupiga mashine uyo mtoto baada ya kumalza shule...huyo sio dent mbona mnalazimisha uanafunz kiboya hivyo?jamaa hajakosea kitu awe private au fresh akivaa nguo za shule kesi unaibeba kaka......cha msingi rayvanny na team yaje waombe msamaha kwa familia ya binti kama ni faini basi apigwe atoe yaishe......suala likifika mahakamani hatapona text zote wakiwa wanachat zitafuatwa makao ya mtandao wanaotumia......direct lazima atapata shida
Private candidate sio mwanafunz kama wanafunz wengne...huyo ni 4m4 failure ameamua kureseat....hawez Kua sawa na fresh studentsPrivate candidate ni mwanafunzi kama mwanafunzi mwingine.!
Katika shule huwa wanaingia darasan kama wengine na wanavaa uniform kama wengine.
Kitendo kibaya sana, bora haki ifuate mkondo.
Sasa atachomoka wapi wakati amepost yeye mwenyeweKascreenshot kwa simu yake mwenyewe harmonize?
Hivi dada yangu ushawahai kusimama pale kwenye kile kichumba kidogo aka kizimbani,pazito pale hayo unayo ya sema Paula kwamba atamuokoa mama yake,usishangae akamchoma mama yake na akaonekana mama mwenyewe hajui kulea na toto lenyewe halifai.
Sababu kwa kesi kama hii Rayvany nae atasimamisha mawakaili wa hadhi ya juu usizani kama atakuja kinyonge,so unaweza ukakuta kesi ikamgeukia,baadae Rayvanny akaomba fidia kubwa kwa kuchafuliwa jina lake, yote yana wezekana kwenye sheria,kwani watu wanachomoka kwenye kesi ngumu za mauaji na hujumu uchumi sembuse kesi hii.
Una mawazo ya kizamaniNyuma ya Chui kuna Diamond unajua na Mond anaweza kupray part yakaisha Kidiplomasia au ikishindikana akamaliza kiundava.
jamaa hajakosea kitu awe private au fresh akivaa nguo za shule kesi unaibeba kaka......cha msingi rayvanny na team yaje waombe msamaha kwa familia ya binti kama ni faini basi apigwe atoe yaishe......suala likifika mahakamani hatapona text zote wakiwa wanachat zitafuatwa makao ya mtandao wanaotumia......direct lazima atapata shida
Kwa hiyo hapo kesi ni kupost ? OK ngojea tuone.Sasa atachomoka wapi wakati amepost yeye mwenyewe
Sana.!kwaiyo dogo kafanya makosa kupima oil?
Paka sasa, sijasikia TCRA wanasemaje . Ujue kale ka video hakana mambo kabisa, ila Njomba nchumali katia petrol tu, kwa mapenzi yake. Ingekuwa ile video ya udhalilishaji wa kingono jamaa wangekuwa washadaka na yupo ndani anasubiri dhamana. Ngoja tuone hili li movie linapo enda ishiaKwa hiyo hapo kesi ni kupost ? OK ngojea tuone.