Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Tz kwaakili hizi sasa naanza kuelewa kwanini watu kama Hitler walikuwepo mtu anaandika kama katolewa ubongo enzi za Hitler huyu unapiga shaba.

10-4. Ndio wanaume fuska mlipofikia. Hamfanikiwi kwa pointi bila kudhakilisha, kupoga vijembe na kuundernine hasa wanawake.

Wewe na Hitler hamna tofauti. You will do anything for fame.
 
Sio udhalilishaji wametupia kwa kujiamini na hawajafuta.

Kama Rayfanny sio mdhalilishaji kwa nini alifuta?
Mtoto wa nyoka ni nyoka,huwezi panda bange ukategemea kuvuna mahindi.

Kuzaa sio kazi kazi kulea na mara nyingi tabia za mtoto zina akisi tabia na mzazi,Majani aliyaona mapema haya na yametimia.
 
Unahangaika na huyo jamaa wa mwamapalala huko ..... Jamaa hata hajui hii issue imefikia level gan ...na usikute hata clip hajaiona , kafungulia redio huko akasikia sikia , kakimbilia kuunga bando na kuingia JF.....
Alafu ni mwanamke kaolewa
 
Sawa wadhalilishaji So ??tunakusikiliza.

Mdhalilishaji na self conviction.

WCB wadhalilishaji, waombe radhi kwa Paula, tena wamuombe radhi hadharani na wamlipe fidia.

Wema Sepetu alijipost akawa convicted , kwa nini Rayvanny apete.

WCB wasipomshughulikia Rayvanny wanakubaliana nae na udhalilishaji wake.
 
Hawaombi radhi So? Tunakusikiliza
 
Mtoto wa nyoka ni nyoka,huwezi panda bange ukategemea kuvuna mahindi.

Kuzaa sio kazi kazi kulea na mara nyingi tabia za mtoto zina akisi tabia na mzazi,Majani aliyaona mapema haya na yametia.

Haijalishi Paula ni mtoto wa nani, kadhalilishwa.

Kwa nini alifuta kama sio udhalilishaji? Azipandishe tena a trend zaidi na nyimbo nyingine atoe.
 
Kwahakika huko shule umeenda somea ujinga
 
Wasafi TV Tar 28 keshokutwa iko hewan, mwezi huu huu wa pili

Huko shule umeenda somea ujinga
 
Hao wananchi n wawapi ? Sema wewe uko nyuma yao usiseme wananchi
 
Udhalilishe watoto wa watu halafu utegemee magufuli atakutetea...mmemsahau makonda magufuli alichomfanya kwa ujinga ujinga wake pamoja na undugu walionao..sembuse huyu diamond
Hakuna mtoto mwenye miaka 19/20 wewe

Huko shule umesomea kitu gani ww ?
 
Mkuu una mtoto wa kike? kwahiyo unashabikia udhalilishaji kwa watoto wa kike? Je umejiuliza kama ameishalimaliza hilo jambo na Jamhuri? Mkuu alichofanya huyo Rayvan ni kosa la jinai maana yake Jamhuri ndiyo itadili nae na siyo huyo P.Funk.
Udhalilishaji uko wapi kwenye ile video ?
 
Private candidate ni mwanafunzi kama mwanafunzi mwingine.!
Katika shule huwa wanaingia darasan kama wengine na wanavaa uniform kama wengine.

Kitendo kibaya sana, bora haki ifuate mkondo.
Private candidate hawez kua kama mwanafunzi mwingine, private candidate anaweza kua hata na miaka 50 huko , yuko nje ya mfumo wa elimu rasmi
 
Hapo kesi labda ni kuchapisha maudhui yasiyofaa mitandaoni..private candidate huyo sio mwanafunzi. Binti mwenyewe anaonekana ni malaya tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…