Aisee kumbe Mawakili wa Raila Odinga ni vilaza kiasi hiki?

Aisee kumbe Mawakili wa Raila Odinga ni vilaza kiasi hiki?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Kuna wakili wa Odinga anaitwa Julie Soweto, huyu wakili tangia siku ya kwanza ya kesi alikuwa akitoa data za hatari bila woga ambapo kwa mtu wa kawaida ukimsikiliza bila ku fact check madai yake basi utaamini uchaguzi uliibiwa waziwazi

Leo tena huyu wakili kaja na kituko kingine, kwenye kuchambua fomu za matokeo yaliyopo kwenye mtandao wa IEBC basi ikaonekana kwa mbali juu ya fomu kuna jina limeandikwa Jose Camargo basi kama kawaida yake akasema huyo mtu mwenye hilo jina ndio ali hack mtandao huo na kupakia fomu feki za matokeo na ushahidi ni jina aliloacha kwenye fomu hizo feki..!

Sasa mtandaoni kote kukalipuka, kila mahali anatajwa tu huyo Jose Camargo, kuwa ndio hacker mkuu aliyewateulia Wakenya rais wao, viongozi na wafuasi wa Azimio wote ni kukomaa na hilo jina

Sasa kumbe jina lenyewe halikuwa hata limeandikwa kwenye fomu, bali lilikuwa kwenye bahasha za kufungia matokeo, na huyo Jose Camargo alikuwa ndio muandaaji wa hizo bahasha ambapo IEBC ilimpa tenda bila kificho, kwenye kupiga picha ndio fomu ndio ikatokea na jina la Jose Camargo likatokea kwa sababu fomu ilikuwa juu ya bahasha

Ila swali simple tu, hata kama hilo jina lilikuwa kwenye fomu kweli, ni hacker mjinga kiasi gani ata hack na kubadili matokeo kisha aandike jina lake kwenye fomu za matokeo?🤣🤣

Matoke yaliyopo kwenye hiyo fomu ndio matokeo yaliyobandikwa kwenye kituo cha kupigia kura na ndio matokeo waliyopewa mawakala wa Odinga, sasa hilo jina linaathiri vipi matokeo?

IMG_20220902_170908.jpg



IMG_20220902_170902.jpg
 
Kuna wakili wa Odinga anaitwa Julie Soweto, huyu wakili tangia siku ya kwanza ya kesi alikuwa akitoa data za hatari bila woga ambapo kwa mtu wa kawaida ukimsikiliza bila ku fact check madai yake basi utaamini uchaguzi uliibiwa waziwazi

Leo tena huyu wakili kaja na kituko kingine, kwenye kuchambua fomu za matokeo yaliyopo kwenye mtandao wa IEBC basi ikaonekana kwa mbali juu ya fomu kuna jina limeandikwa Jose Camargo basi kama kawaida yake akasema huyo mtu mwenye hilo jina ndio ali hack mtandao huo na kupakia fomu feki za matokeo na ushahidi ni jina aliloacha kwenye fomu hizo feki..!

Sasa mtandaoni kote kukalipuka, kila mahali anatajwa tu huyo Jose Camargo, kuwa ndio hacker mkuu aliyewateulia Wakenya rais wao, viongozi na wafuasi wa Azimio wote ni kukomaa na hilo jina

Sasa kumbe jina lenyewe halikuwa hata limeandikwa kwenye fomu, bali lilikuwa kwenye bahasha za kufungia matokeo, na huyo Jose Camargo alikuwa ndio muandaaji wa hizo bahasha ambapo IEBC ilimpa tenda bila kificho, kwenye kupiga picha ndio fomu ndio ikatokea na jina la Jose Camargo likatokea kwa sababu fomu ilikuwa juu ya bahasha

Ila swali simple tu, hata kama hilo jina lilikuwa kwenye fomu kweli, ni hacker mjinga kiasi gani ata hack na kubadili matokeo kisha aandike jina lake kwenye fomu za matokeo?🤣🤣

Matoke yaliyopo kwenye hiyo fomu ndio matokeo yaliyobandikwa kwenye kituo cha kupigia kura na ndio matokeo waliyopewa mawakala wa Odinga, sasa hilo jina linaathiri vipi matokeo?

View attachment 2343326


View attachment 2343327
Mnatu-mix sasa kipi ni kipi
 
Propaganda zinateka watu wengi sana akili zao.
Team Raila walikuwa wameshikilia vyombo vya habari na mass media kueneza quotes za uwongo.
Nguvu nyingi zilitumika kudanganganya kuwa kuna hacking. Mahakama i eruhusu kurudia kuhesabu kura majimbo 45 yaliyochaguliwa na mawakili wa Raila, ikaonekana kila kitu kiko sawa.
Porojo zotee zinamalizwa na ukweli huu. Nacheka ninapokumbuka mabox ya ushahidi (feki) yaliyobebwa
 
Kuna wakili wa Odinga anaitwa Julie Soweto, huyu wakili tangia siku ya kwanza ya kesi alikuwa akitoa data za hatari bila woga ambapo kwa mtu wa kawaida ukimsikiliza bila ku fact check madai yake basi utaamini uchaguzi uliibiwa waziwazi

Leo tena huyu wakili kaja na kituko kingine, kwenye kuchambua fomu za matokeo yaliyopo kwenye mtandao wa IEBC basi ikaonekana kwa mbali juu ya fomu kuna jina limeandikwa Jose Camargo basi kama kawaida yake akasema huyo mtu mwenye hilo jina ndio ali hack mtandao huo na kupakia fomu feki za matokeo na ushahidi ni jina aliloacha kwenye fomu hizo feki..!

Sasa mtandaoni kote kukalipuka, kila mahali anatajwa tu huyo Jose Camargo, kuwa ndio hacker mkuu aliyewateulia Wakenya rais wao, viongozi na wafuasi wa Azimio wote ni kukomaa na hilo jina

Sasa kumbe jina lenyewe halikuwa hata limeandikwa kwenye fomu, bali lilikuwa kwenye bahasha za kufungia matokeo, na huyo Jose Camargo alikuwa ndio muandaaji wa hizo bahasha ambapo IEBC ilimpa tenda bila kificho, kwenye kupiga picha ndio fomu ndio ikatokea na jina la Jose Camargo likatokea kwa sababu fomu ilikuwa juu ya bahasha

Ila swali simple tu, hata kama hilo jina lilikuwa kwenye fomu kweli, ni hacker mjinga kiasi gani ata hack na kubadili matokeo kisha aandike jina lake kwenye fomu za matokeo?🤣🤣

Matoke yaliyopo kwenye hiyo fomu ndio matokeo yaliyobandikwa kwenye kituo cha kupigia kura na ndio matokeo waliyopewa mawakala wa Odinga, sasa hilo jina linaathiri vipi matokeo?

View attachment 2343326


View attachment 2343327
Mkuu hapo mahakamani wanasheria wa Odinga wanafanya spinning, ili mwisho wa siku dierhard fans wa Raila waingie barabarani. Mi nilitegemea ushahidi mzito kwa lile lori kilichotokea nimeshangaa.

Pia watanzania wengi nimegundua ni watu wanaopenda kelele kuliko facts... same applies to Odinga diehard fans!
 
Propaganda zinateka watu wengi sana akili zao.
Team Raila walikuwa wameshikilia vyombo vya habari na mass media kueneza quotes za uwongo.
Nguvu nyingi zilitumika kudanganganya kuwa kuna hacking. Mahakama i eruhusu kurudia kuhesabu kura majimbo 45 yaliyochaguliwa na mawakili wa Raila, ikaonekana kila kitu kiko sawa.
Porojo zotee zinamalizwa na ukweli huu. Nacheka ninapokumbuka mabox ya ushahidi (feki) yaliyobebwa
Raila alikua anatafuta uchochoro wa kuingizia fujo Kenya. Nimemdharau sana this time.
 
Kuna swali gumu kidogo hapo. Picha zote hizi zimepigwa ndani ya kituo cha kupigia kura. Je hiyo document yenye jina la mvenezuela imetoka wapi wakati wakala hatakiwi kuwa na doc nyingine yeyote tofauti na doc za uchaguzi? Au IEBC iseme hiyo siyo document yake. Pia doc iliyotumwa kama picha iligeukaje kuwa PDF?
 
Angalia vizuri hyo form! Mwisho upande wa kulia Kuna tarehe hapo huoni kuwa zimekosewa? lkn pia angalia hiyo form hapo na stamp yake Vs Original form ya hyo!

angalia pia hizo namba alizosema Soweto, huoni hizo nane nane zilikuwa tano na zimefojiwaa? STUKA chukua hatua
 
Makosa katika uchaguzi yanaweza kuwa mengi, hasa chaguzi zinazofanyika mataifa yaliyomo barani humu. Wakuu wa tume za chaguzi wanaweza kuamua nani awe mshindi au nani asiwe, hivyo Odinga anajua anachokifanya kwa sababu katika hali ya kawaida huwezi kuenda mahakamani ikiwa huna ushahidi wa kutosha ukizibgatia mchakato ulivyo mgumu.
 
Kuna wakili wa Odinga anaitwa Julie Soweto, huyu wakili tangia siku ya kwanza ya kesi alikuwa akitoa data za hatari bila woga ambapo kwa mtu wa kawaida ukimsikiliza bila ku fact check madai yake basi utaamini uchaguzi uliibiwa waziwazi

Leo tena huyu wakili kaja na kituko kingine, kwenye kuchambua fomu za matokeo yaliyopo kwenye mtandao wa IEBC basi ikaonekana kwa mbali juu ya fomu kuna jina limeandikwa Jose Camargo basi kama kawaida yake akasema huyo mtu mwenye hilo jina ndio ali hack mtandao huo na kupakia fomu feki za matokeo na ushahidi ni jina aliloacha kwenye fomu hizo feki..!

Sasa mtandaoni kote kukalipuka, kila mahali anatajwa tu huyo Jose Camargo, kuwa ndio hacker mkuu aliyewateulia Wakenya rais wao, viongozi na wafuasi wa Azimio wote ni kukomaa na hilo jina

Sasa kumbe jina lenyewe halikuwa hata limeandikwa kwenye fomu, bali lilikuwa kwenye bahasha za kufungia matokeo, na huyo Jose Camargo alikuwa ndio muandaaji wa hizo bahasha ambapo IEBC ilimpa tenda bila kificho, kwenye kupiga picha ndio fomu ndio ikatokea na jina la Jose Camargo likatokea kwa sababu fomu ilikuwa juu ya bahasha

Ila swali simple tu, hata kama hilo jina lilikuwa kwenye fomu kweli, ni hacker mjinga kiasi gani ata hack na kubadili matokeo kisha aandike jina lake kwenye fomu za matokeo?[emoji1787][emoji1787]

Matoke yaliyopo kwenye hiyo fomu ndio matokeo yaliyobandikwa kwenye kituo cha kupigia kura na ndio matokeo waliyopewa mawakala wa Odinga, sasa hilo jina linaathiri vipi matokeo?

View attachment 2343326


View attachment 2343327
Soma tarehe walizosaini mawakala, Ndio tarehe mliyofanya uchaguzi

Fomu uliyoweka ina tarehe tofauti na tarehe ya uchaguzi
 
Odinga anatafuta sababu ionekane uchgauzi ulikua na ghilba lakini hatoweza.ngoma ishapigwa imeisha iyo Ruto ndo ataapishwa Urais.
Angalia tarehe za hizo fomu sio siku ya uchaguzi hiyo
 
Propaganda zinateka watu wengi sana akili zao.
Team Raila walikuwa wameshikilia vyombo vya habari na mass media kueneza quotes za uwongo.
Nguvu nyingi zilitumika kudanganganya kuwa kuna hacking. Mahakama i eruhusu kurudia kuhesabu kura majimbo 45 yaliyochaguliwa na mawakili wa Raila, ikaonekana kila kitu kiko sawa.
Porojo zotee zinamalizwa na ukweli huu. Nacheka ninapokumbuka mabox ya ushahidi (feki) yaliyobebwa
Angalia jinsi mlivyowajinga, Tarehe za hizo fomu hata original ni forgery tu, Uchaguzi haukufanyika tarehe hiyo
 
Mkuu hapo mahakamani wanasheria wa Odinga wanafanya spinning, ili mwisho wa siku dierhard fans wa Raila waingie barabarani. Mi nilitegemea ushahidi mzito kwa lile lori kilichotokea nimeshangaa.

Pia watanzania wengi nimegundua ni watu wanaopenda kelele kuliko facts... same applies to Odinga diehard fans!
Angalia tarehe za hiyo fomu original, Tarehe imesainiwa tofauti na si siku ya uchaguzi

Forgery ya kipuuzi sana ya IEBC
 
mkuu
Kuna swali gumu kidogo hapo. Picha zote hizi zimepigwa ndani ya kituo cha kupigia kura. Je hiyo document yenye jina la mvenezuela imetoka wapi wakati wakala hatakiwi kuwa na doc nyingine yeyote tofauti na doc za uchaguzi? Au IEBC iseme hiyo siyo document yake. Pia doc iliyotumwa kama picha iligeukaje kuwa PDF?
Mkuu hata tarehe ya fomu wanaosema origin ni forgery tu, Angalia chini mawakala wamesaini hawakufanya uchaguzi siku hiyo
 
Kuna wakili wa Odinga anaitwa Julie Soweto, huyu wakili tangia siku ya kwanza ya kesi alikuwa akitoa data za hatari bila woga ambapo kwa mtu wa kawaida ukimsikiliza bila ku fact check madai yake basi utaamini uchaguzi uliibiwa waziwazi

Leo tena huyu wakili kaja na kituko kingine, kwenye kuchambua fomu za matokeo yaliyopo kwenye mtandao wa IEBC basi ikaonekana kwa mbali juu ya fomu kuna jina limeandikwa Jose Camargo basi kama kawaida yake akasema huyo mtu mwenye hilo jina ndio ali hack mtandao huo na kupakia fomu feki za matokeo na ushahidi ni jina aliloacha kwenye fomu hizo feki..!

Sasa mtandaoni kote kukalipuka, kila mahali anatajwa tu huyo Jose Camargo, kuwa ndio hacker mkuu aliyewateulia Wakenya rais wao, viongozi na wafuasi wa Azimio wote ni kukomaa na hilo jina

Sasa kumbe jina lenyewe halikuwa hata limeandikwa kwenye fomu, bali lilikuwa kwenye bahasha za kufungia matokeo, na huyo Jose Camargo alikuwa ndio muandaaji wa hizo bahasha ambapo IEBC ilimpa tenda bila kificho, kwenye kupiga picha ndio fomu ndio ikatokea na jina la Jose Camargo likatokea kwa sababu fomu ilikuwa juu ya bahasha

Ila swali simple tu, hata kama hilo jina lilikuwa kwenye fomu kweli, ni hacker mjinga kiasi gani ata hack na kubadili matokeo kisha aandike jina lake kwenye fomu za matokeo?🤣🤣

Matoke yaliyopo kwenye hiyo fomu ndio matokeo yaliyobandikwa kwenye kituo cha kupigia kura na ndio matokeo waliyopewa mawakala wa Odinga, sasa hilo jina linaathiri vipi matokeo?

View attachment 2343326


View attachment 2343327
Inachekesha sana asee, hapo ndo anawafungua akili majaji
 
Unamdharau vipi akati mwenzako anatafuta uraisi.............au unadhani Yuko kwenye punyeto hapo........wewe ndio WA kudharauliwa na ufala wako bure kabisa kama chebukati nyampara
 
Pole

Uhuru si angefanya kama alivyofanyiwa Naibu wa Jecha naada ya Jecha kuitwa Jumba jeupe akasema ngoja mie nikae kwny kiti nimalizie matokeo yaliyobaki hadi akirudi nshamaliza kazi

kilichomkuta hatokisahahu
Unamdharau vipi akati mwenzako anatafuta uraisi.............au unadhani Yuko kwenye punyeto hapo........wewe ndio WA kudharauliwa na ufala wako bure kabisa kama chebukati nyampara
 
Inachekesha sana asee, hapo ndo anawafungua akili majaji
Mkuu mleta mada fomu yake original bado ni forgery tu, Angalia tarehe za agents zimesainiwa sio siku ya uchaguzi ni siku nyingine kabisa, Angalia hata total ya matokeo ni kichekesho sana
 
Back
Top Bottom