Aisee kumbe Mawakili wa Raila Odinga ni vilaza kiasi hiki?

Aisee kumbe Mawakili wa Raila Odinga ni vilaza kiasi hiki?

Mpare wa Kenya huyo lazima amor Ruto ushindi.
Bwanake ni Amos Wako amabaye alikua mojawepo wa watetezi wa BBI ambayo iliyltupiliwa mbali na Mahakama hii yenye bibiyake yupo , kamamaa hakapendi mchezo na kazi
ExrPLhmWUAQ10Of.jpg
ExrPMDnXAAA8yzO.jpg

Ez56Ks1XsAE4tBQ.jpg
 
Kura zilikuwa 488 zimeharibika 4 halafu nzuri ziwe 321??
Ukitoa 4 kwenye 488 ndio jibu 321 kweli
 
Kura zilikuwa 488 zimeharibika 4 halafu nzuri ziwe 321??
Ukitoa 4 kwenye 488 ndio jibu 321 kweli
Makosa haya hua yanarekebishwa kwa fomu 34B pale eneo bunge ata kabla ifike Nairobi...
Yani tuseme pale kituoni watu 300 wamepiga kura...
Kwenye fomu 34A imeandikwa
200 ni za Ruto
100 ni za Raila
Alafu pale kwa total afisa wa IEBC ameandika 350 badala ya 300.. Kinachofanyika ni RO ambaye ndo mkubwa wa bunge akijaza fomu 34B anachukua kura 200 za Ruto na 100 za Raila kutoka kwa hicho kituo kimoja na kuchanganya na kura za vituo vyengine kutoka eneo bunge (kwahivyo hayo makosa ya hesabu za total hayataingia kwa hesabu yake -hatahivyo, kuna mahali kwenye tovuti ya iebc ataandika ile total ya kimakosa anayoiona pale for accountability and transparency) akimaliza anajumlisha za raila ni ngapi na za ruto ni ngapi ..... Akimaliza hio hesabu anachapisha form 34B kisha kuchukua originals zote 34A kutoka eneo bunge na kuenda nazo Nairobi.... Ikifika Nairobi wanachofanya ni kulinganisha nambari zilizoko kwa original 34A na zile zimeandikwa kwa 34B, wakiona ni hivyo basi wanakusanya 34B za maeneo bunge yote na kujumlisha kwa fomun 34C.....
Ninachojaribu kusema ni kwamba kunazo mbinu za kurekebisha makosa ya hesabu, chenye hakiwezi kurekebishwa ni pale panaposema mgombea huyu amepata kura 46 na mwengine kapata 50 hapo hairuhusiwi kurekebishwa kisheria ukienda kujaza form 34B inabidi iandikwe vile vile ilivyo
 
You are talking of LAN my friend which is not the case here. I'm talking about public IP address... You can have 50 devices in an office each with its own unique private IP address but once any of those devices needs to access the internet, they can all use 1 single public IP address... These kiems kits use Safaricom SIM cards.. I bet you not all sim card accessing the internet have unique IP address, that would be a waste of IPv4 protocol, if the internet worked like that we would have run out of IPv4 addresses back in 1998.

Anyways, naona hapo gumzo limegeuka kwa serial numbers.... thats a whole other issue different from 'using the same IP address'
Kusema kweli wewe jamaa unataka kuwadanganya watu... I've experience working with millions devices exchanging data...

First of all KIEMS device can not use all IPv4 IP addresses available in the Network(IP addresses za IEBC zinatumia 10...1 IPs). I've real experience ya devices Ambazo zinatumia Safaricom, hata Safaricom ikitoa SIM cards 2M kwa ajili ya Kiems kits hazitajaa.

Second inaonekana hujui namna Data is communicated between a client and server, all clients connecting to a server should be uniquely identifiable, this is too simple to understand (each client have its different resources needs and what they will do), imagine Safaricom iwape wateja wawili namba za simu ambazo zinafana...
 
You are talking of LAN my friend which is not the case here. I'm talking about public IP address... You can have 50 devices in an office each with its own unique private IP address but once any of those devices needs to access the internet, they can all use 1 single public IP address... These kiems kits use Safaricom SIM cards.. I bet you not all sim card accessing the internet have unique IP address, that would be a waste of IPv4 protocol, if the internet worked like that we would have run out of IPv4 addresses back in 1998.

Anyways, naona hapo gumzo limegeuka kwa serial numbers.... thats a whole other issue different from 'using the same IP address'
Pia sijui in which context unazungumzia Public IP hapa...
 
Makosa katika uchaguzi yanaweza kuwa mengi, hasa chaguzi zinazofanyika mataifa yaliyomo barani humu. Wakuu wa tume za chaguzi wanaweza kuamua nani awe mshindi au nani asiwe, hivyo Odinga anajua anachokifanya kwa sababu katika hali ya kawaida huwezi kuenda mahakamani ikiwa huna ushahidi wa kutosha ukizibgatia mchakato ulivyo mgumu.
Odinga hakujua anachokifanya mkuu, mambo yote 9 hakuna ushahidi wowote
 
Sema huja skiliza kesi yote. .kazi kuropoka tu kwa hints za kuokoteza.

Kwahiyo Chebukati kuprint Form 2 za aina 1 na zote kuzi sambaza vituoni alikuwa na lengo gani?
KIEMS Kits ku retrieve matokeo kwa IP address moja akati kila moja ina IP address yake unadhani ni siasa ee?
Form walio peleka UDA eti OG kwa Judge kupinga hiyo ulio weka hapa na kujikuta ime sainiwa tarehe 7/08/22 b4 election una dhani ni mchezo?

Katika sample ya vituo 15 sampled. 57% kulikuwa na mapungufu makubwa!!

Log ins za Wavenezuela from July hadi 29/08 una dhani ma judge ni wapumbavu ee?eti maintenance.

Kesi kabla haija amuliwa usijipe feki Hopes. Subiri J3.
Vipi mkuu matokeo ya kesi? Umeamini mawakili walikuwa vilaza?
 
Kusema kweli wewe jamaa unataka kuwadanganya watu... I've experience working with millions devices exchanging data...

First of all KIEMS device can not use all IPv4 IP addresses available in the Network(IP addresses za IEBC zinatumia 10...1 IPs). I've real experience ya devices Ambazo zinatumia Safaricom, hata Safaricom ikitoa SIM cards 2M kwa ajili ya Kiems kits hazitajaa.

Second inaonekana hujui namna Data is communicated between a client and server, all clients connecting to a server should be uniquely identifiable, this is too simple to understand (each client have its different resources needs and what they will do), imagine Safaricom iwape wateja wawili namba za simu ambazo zinafana...
The fact that you keep on insisting on this shows just how little you know about networking and NAT....
10.x are part of Class A private IP addreses... From 10.0.0.0 - 10.255.255.255 i.e These are not routable addresses, they cannot be used to access the internet... So hapo tayari ushauma nje!
Safaricom did not allocate IEBC 46,000 unique IP public routable addresses, that would be ludicrous...


Public IP addresses using NAT work using Port forwarding...I.e different computers using the same router as the gateway might use the same ip address but each request is made through a unique port number and when the server is replying the reply would come to the same IP but through the same port thus find itself going to the same computer that made the tcp request because of the port number.

See the NAT table below, each device on the left has a unique Private IP address but they all use the same public IP address but each request from a different computer has a unique random port number after the ':' This is how the internet and IPv4 works and this is how a server would differentiate one computer/request from another using the port/socket number even though the requests come from the same IP address. Its also how a single web browser is able to fetch multiple pages at the same time bcoz each request from the same IP is assigned a random and unique port number
what-is-nat-network-address-translation-2.png

So as far as the internet is concerned in this ☝🏾 figure, there is only 1 unique Public IP address which is 200.1.1.45
 
MKUU

The state ikimtaka mtu WAO hata ukileta za kuleta hutomshinda muhusika!!

Achana na hayo!

Imba WIMBO HUU hapa;-
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Back
Top Bottom