Bwanake ni Amos Wako amabaye alikua mojawepo wa watetezi wa BBI ambayo iliyltupiliwa mbali na Mahakama hii yenye bibiyake yupo , kamamaa hakapendi mchezo na kaziMpare wa Kenya huyo lazima amor Ruto ushindi.
Mnakufia mama wa 65years!!🤣🤣🤣Bwanake ni Amos Wako amabaye alikua mojawepo wa watetezi wa BBI ambayo iliyltupiliwa mbali na Mahakama hii yenye bibiyake yupo , kamamaa hakapendi mchezo na kazi
View attachment 2345373View attachment 2345381
View attachment 2345386
Makosa haya hua yanarekebishwa kwa fomu 34B pale eneo bunge ata kabla ifike Nairobi...Kura zilikuwa 488 zimeharibika 4 halafu nzuri ziwe 321??
Ukitoa 4 kwenye 488 ndio jibu 321 kweli
Kusema kweli wewe jamaa unataka kuwadanganya watu... I've experience working with millions devices exchanging data...You are talking of LAN my friend which is not the case here. I'm talking about public IP address... You can have 50 devices in an office each with its own unique private IP address but once any of those devices needs to access the internet, they can all use 1 single public IP address... These kiems kits use Safaricom SIM cards.. I bet you not all sim card accessing the internet have unique IP address, that would be a waste of IPv4 protocol, if the internet worked like that we would have run out of IPv4 addresses back in 1998.
Anyways, naona hapo gumzo limegeuka kwa serial numbers.... thats a whole other issue different from 'using the same IP address'
Pia sijui in which context unazungumzia Public IP hapa...You are talking of LAN my friend which is not the case here. I'm talking about public IP address... You can have 50 devices in an office each with its own unique private IP address but once any of those devices needs to access the internet, they can all use 1 single public IP address... These kiems kits use Safaricom SIM cards.. I bet you not all sim card accessing the internet have unique IP address, that would be a waste of IPv4 protocol, if the internet worked like that we would have run out of IPv4 addresses back in 1998.
Anyways, naona hapo gumzo limegeuka kwa serial numbers.... thats a whole other issue different from 'using the same IP address'
Odinga hakujua anachokifanya mkuu, mambo yote 9 hakuna ushahidi wowoteMakosa katika uchaguzi yanaweza kuwa mengi, hasa chaguzi zinazofanyika mataifa yaliyomo barani humu. Wakuu wa tume za chaguzi wanaweza kuamua nani awe mshindi au nani asiwe, hivyo Odinga anajua anachokifanya kwa sababu katika hali ya kawaida huwezi kuenda mahakamani ikiwa huna ushahidi wa kutosha ukizibgatia mchakato ulivyo mgumu.
Vipi mkuu matokeo ya kesi? Umeamini mawakili walikuwa vilaza?Sema huja skiliza kesi yote. .kazi kuropoka tu kwa hints za kuokoteza.
Kwahiyo Chebukati kuprint Form 2 za aina 1 na zote kuzi sambaza vituoni alikuwa na lengo gani?
KIEMS Kits ku retrieve matokeo kwa IP address moja akati kila moja ina IP address yake unadhani ni siasa ee?
Form walio peleka UDA eti OG kwa Judge kupinga hiyo ulio weka hapa na kujikuta ime sainiwa tarehe 7/08/22 b4 election una dhani ni mchezo?
Katika sample ya vituo 15 sampled. 57% kulikuwa na mapungufu makubwa!!
Log ins za Wavenezuela from July hadi 29/08 una dhani ma judge ni wapumbavu ee?eti maintenance.
Kesi kabla haija amuliwa usijipe feki Hopes. Subiri J3.
She aged fine like wine... Vijana wengi hua hatujui kichagua, tunachagua wanawake ambao wakifika 50 hawaangaliki tena...Mnakufia mama wa 65years!!🤣🤣🤣
The fact that you keep on insisting on this shows just how little you know about networking and NAT....Kusema kweli wewe jamaa unataka kuwadanganya watu... I've experience working with millions devices exchanging data...
First of all KIEMS device can not use all IPv4 IP addresses available in the Network(IP addresses za IEBC zinatumia 10...1 IPs). I've real experience ya devices Ambazo zinatumia Safaricom, hata Safaricom ikitoa SIM cards 2M kwa ajili ya Kiems kits hazitajaa.
Second inaonekana hujui namna Data is communicated between a client and server, all clients connecting to a server should be uniquely identifiable, this is too simple to understand (each client have its different resources needs and what they will do), imagine Safaricom iwape wateja wawili namba za simu ambazo zinafana...