Aisee kumbe Unywaji wa Pombe unaleta Raha namna hii?

Aisee kumbe Unywaji wa Pombe unaleta Raha namna hii?

Mie nikiwaga bataka kulitafakari jambo kwa kina, huenda bar nakunywa serengeti lite taratibu peke yangu, nakaa meza ya peke yangu pembeniiii, isiwe bar ya makelele, aisee hapo napataga majibu yote. Nikishamaliza naweka ktk note ya simu yangu kwa mpangilio, nakazia na mdudu na ndizi za mwaisa za kuponda hapo napata kafriji ka kufutia simu janja yangu.
Hahaa......mbona hatukustuana mapema aisee
 
Daaaaa mm km mm nimshukuru tu yule malaya nilikutana nae telegram,kiukwel km c yeye mpk Leo ningekuwaa mlevi ila ss Nina mwaka na miezi mitatu pombee sigusi...

Ubarikiwee wardat popote ulipo [emoji120][emoji120]
 
Daaaaa mm km mm nimshukuru tu yule malaya nilikutana nae telegram,kiukwel km c yeye mpk Leo ningekuwaa mlevi ila ss Nina mwaka na miezi mitatu pombee sigusi...

Ubarikiwee wardat popote ulipo [emoji120][emoji120]
Alifanya nini hadi akakutoa kwenye Raha hii
 
Daaaaa mm km mm nimshukuru tu yule malaya nilikutana nae telegram,kiukwel km c yeye mpk Leo ningekuwaa mlevi ila ss Nina mwaka na miezi mitatu pombee sigusi...

Ubarikiwee wardat popote ulipo [emoji120][emoji120]
Mkuu alikufanyaje, alikimbia na wallet nn ukaapa kutokupiga ulabu
 
Back
Top Bottom