Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #21
Hahaa......mbona hatukustuana mapema aiseeMie nikiwaga bataka kulitafakari jambo kwa kina, huenda bar nakunywa serengeti lite taratibu peke yangu, nakaa meza ya peke yangu pembeniiii, isiwe bar ya makelele, aisee hapo napataga majibu yote. Nikishamaliza naweka ktk note ya simu yangu kwa mpangilio, nakazia na mdudu na ndizi za mwaisa za kuponda hapo napata kafriji ka kufutia simu janja yangu.
Hehee......Ndio raha yake hasumbui mtu. Anaamua kujiondokeaJamaa anaishi peke Yake nyumbani kwake,alipoutwika akaanza kugonga hodi aliporudi kwake.Jirani Yake akamwambia wenyewe hawapo nae huyo akaondoka.
I cant solve your problems but i can help you be happy for a while..Ila walevi ni watu flani wa ajabu sana. Yuko ladhi akununulie smirnoff 6 @ 5000 = 30k. Ila ukamuomba 10k akunyime
Sasa kama wewe mweenyewe yamekushinda Pombe ndio itaweza? At least happynsss.I cant solve your problems but i can help you be happy for a while..
People value things differently, sisi walevi beer means a lot more than anything..😃Sasa kama wewe mweenyewe yamekushinda Pombe ndio itaweza? At least happynsss.
Kabisa yaaniPeople value things differently, sisi walevi beer means a lot more than anything..😃
Alifanya nini hadi akakutoa kwenye Raha hiiDaaaaa mm km mm nimshukuru tu yule malaya nilikutana nae telegram,kiukwel km c yeye mpk Leo ningekuwaa mlevi ila ss Nina mwaka na miezi mitatu pombee sigusi...
Ubarikiwee wardat popote ulipo [emoji120][emoji120]
Hawawezi kabisaWashinda njaa hawaelewi raha ya kulewa
Mkuu alikufanyaje, alikimbia na wallet nn ukaapa kutokupiga ulabuDaaaaa mm km mm nimshukuru tu yule malaya nilikutana nae telegram,kiukwel km c yeye mpk Leo ningekuwaa mlevi ila ss Nina mwaka na miezi mitatu pombee sigusi...
Ubarikiwee wardat popote ulipo [emoji120][emoji120]
Chukua formula iyo utaja nishukuru baadaye.Hahaa......mbona hatukustuana mapema aisee
Achana na walokole na ndugu zao wasabato, hao ni cult ya wajinga wajinga flani tu ambao tuishi nao kwa kuwachukulia kama special group.Yaani Mtu anywe bia unafananisha na Mwasherati, Mzinzi, muaji, fisadi, mla Rushwa, mfiranaji?
Unamuomba akiwa kashalewa au akiwa sober??Ila walevi ni watu flani wa ajabu sana. Yuko ladhi akununulie smirnoff 6 @ 5000 = 30k. Ila ukamuomba 10k akunyime