Aisee kumbe Unywaji wa Pombe unaleta Raha namna hii?

Hahaa......mbona hatukustuana mapema aisee
 
Daaaaa mm km mm nimshukuru tu yule malaya nilikutana nae telegram,kiukwel km c yeye mpk Leo ningekuwaa mlevi ila ss Nina mwaka na miezi mitatu pombee sigusi...

Ubarikiwee wardat popote ulipo [emoji120][emoji120]
 
Daaaaa mm km mm nimshukuru tu yule malaya nilikutana nae telegram,kiukwel km c yeye mpk Leo ningekuwaa mlevi ila ss Nina mwaka na miezi mitatu pombee sigusi...

Ubarikiwee wardat popote ulipo [emoji120][emoji120]
Alifanya nini hadi akakutoa kwenye Raha hii
 
Daaaaa mm km mm nimshukuru tu yule malaya nilikutana nae telegram,kiukwel km c yeye mpk Leo ningekuwaa mlevi ila ss Nina mwaka na miezi mitatu pombee sigusi...

Ubarikiwee wardat popote ulipo [emoji120][emoji120]
Mkuu alikufanyaje, alikimbia na wallet nn ukaapa kutokupiga ulabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…