Aisee kumiliki gari kumbe gharama hivi? Nimetumia 505,000/= kufanya service!!

Ukitafuta mwenyewe ukiwa huna papara hupigwi mkuu mie soea nanunua mwenyewe fundi anaenda funga tu kabla sijachukua naeza zunguka hata masaa matatu nafanisha bei hadi mtandaoni ndio nafanya uamuzi
 
Ukitafuta mwenyewe ukiwa huna papara hupigwi mkuu mie soea nanunua mwenyewe fundi anaenda funga tu kabla sijachukua naeza zunguka hata masaa matatu nafanisha bei hadi mtandaoni ndio nafanya uamuzi
Yani uzunguke masaa matatu ili uokoe elfukumi au 20?

Unaokoa 50 masaa 3 kazini kwako unapigwa laki 2 au zaidi.

Kujua sanaaa kuna leta uboya pia
 
Hydraulic ni ATF mzee mafundi wa mtaani ndo wanaita hivyo
 
Service imeshawahi kunigonga 1.2m na nilienda kufanya service ya kawaida tu gari ilikuwa normal kulikuwa na fault zilizoniwashia check engine. Mzee baki huko huko ukiwa na stress na pesa hivi vyuma vya mjerumani unaweza kujikuta umetumia milioni kwa ajili ya kuangaika kuzima zima vitaa vinavyowaka kwenye dashboad🤣🤣
 
Juzi fundi aliniuliza mara ya mwisho kufanya service gari langu. Nikamwambia mie tangu niagize nikaanza kutembea nayo sijawahi kufanya intensive service mpaka ipate tatizo ndio naileta kwako...
Hongera kwa kufanya service...japo kwenda na fundi si kigezo cha kutokupigwa....nasikitika kutangaza rasmi kuwa umepigwa kiasi..

Anyway, ndiyo kujifunza...ukishapata uzoefu nunua spea mwenyewe mpelekee fundi akufungie..
 
Juzi fundi aliniuliza mara ya mwisho kufanya service gari langu. Nikamwambia mie tangu niagize nikaanza kutembea nayo sijawahi kufanya intensive service mpaka ipate tatizo ndio naileta kwako...
Mwanamke mrembo naye gharama yake huwa hivyo ,ndio maana wanaume tunawasisitiza mtafute hela
 
Juzi fundi aliniuliza mara ya mwisho kufanya service gari langu. Nikamwambia mie tangu niagize nikaanza kutembea nayo sijawahi kufanya intensive service mpaka ipate tatizo ndio naileta kwako....
Break nini?
 
Ukiwaachia gari kwenda kufata spare dukani wanatoa kifaa kizima, then wanakuchomekea kifaa kibovu, ukirudi unakutana na stori mpya tena

Mimi nawaitaga nyumbani na ni baada ya kufanya whole check up ya gari youtube, then namwambia tatizo..
Heheheh wee dada nomaa
Au fundi gari mwenyewe?.!!
 
Nunua na overall kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…