Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sanaHataa shost, nimeibiwaga mpaka akili ikanikaa sawa asee[emoji848]
kuna takataka kidogo niiweke ndani jumanne hii.wanaonaga watu mambugila sana hawa madogo!!!Wale jamaa ukiingia kwenye 18 zao wanakupiga kisawa sawa 😀
Wazo zuri sana...Nayo sio mbaya
Mwenzio mwaka mpya nataka kuagiza gari mpya, but be4 this, hii miezi miwili iliyobaki nataka nikae na rafiki yangu pale NIT, anipige brush kuhusu kifaa cha gari kikiharibika, huu mtumba mpya ukiingia bongo nakuwa expert sikanyagi kwa fundi tena, zaidi ya kufungua nut na kupachika kifaa kipya
Uzuri porini siendi mwenyewe[emoji1]Wazo zuri sana...
Ukishakuwa na gari au usafiri, kuna DIY ambazo kqma una muda unatakiwa kufanya mwenyewe.[emoji28][emoji28]..kwa mfano
1.... Kubadilisha ENGINE oil na oil filter
2....kubadilisha Spark plugs
3.....kubadilisha air cleaner.....
[emoji38][emoji38]route za porini hapo pembeni kunakuwa na Mr. uhakika..Uzuri porini siendi mwenyewe[emoji1]
Fundi mkweli kinyozi mzee..hao wengne ata akiwa ndugu yako utalizwa tuuMazee naona mnaniandama kinoma.
Mbona fundi wangu namuamini sana. Kweli atakua kanipiga hata mimi classmate wake? Tena alikua hadi ananisaidia kugalaliza bei za vifaa.
Asante kwa kutuhamasisha tubaki na Anita zetu mkuuJuzi fundi aliniuliza mara ya mwisho kufanya service gari langu. Nikamwambia mie tangu niagize nikaanza kutembea nayo sijawahi kufanya intensive service mpaka ipate tatizo ndio naileta kwako...
Sio kama ndio alikua anaingizwa kwenye ulimwengu wa magari 😀,akikua ataacha swahiba 😀Duuh!! Wabaya sana hao watu Swahiba.
😀😀Sio kama ndio alikua anaingizwa kwenye ulimwengu wa magari 😀,akikua ataacha swahiba 😀
Hydraulic mim nanunua 115-120k..ya nissanKwa masikitiko makubwa napenda kukwambia kuwa umepigwa kipigo cha mbwa koko.
1.Oil Seal wamelamba 10K inauzwa
25K
2.Break Pads 35K zile nzuri wamekula 10K...
Bajeti kaka.sio kila mtu anapenda gar anayoendeshaKawaida Mkuu Kwenye kufanya uchaguzi wa Magari kila mmoja huwa anapenda gari za Aina Fulani