witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Twinnnnn upoooGawana ridhiki na wenzio jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twinnnnn upoooGawana ridhiki na wenzio jamani
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] siku nyingi mbona twinTwin umeanza lini kuwa Hater?[emoji23][emoji23][emoji23]
Twinnnnn upooo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] siku nyingi mbona twin
We ulijua kumiliki gari ni kama vile PEKE unazaliwa nazo😂😂!Mke wa pili huyo.Juzi fundi aliniuliza mara ya mwisho kufanya service gari langu. Nikamwambia mie tangu niagize nikaanza kutembea nayo sijawahi kufanya intensive service mpaka ipate tatizo ndio naileta kwako...
What is PEKE?
[/QUOTE
Kama ni jinsia ME,ni ayo yanayoning'ia😂😂
Ndio mkuu😂😂aka masulupweteMapumbu?
Kama hizi ndo bei basi waga napigwa kila siku, ila apo kwenye engine oil utakuwa umekosea sana mzee, maana oil kama synthetic kwenye duka lao kabisa wanauza 68k na oil seal waga nauziw 30 ata ukijarb kuondokaKwa masikitiko makubwa napenda kukwambia kuwa umepigwa kipigo cha mbwa koko.
1.Oil Seal wamelamba 10K inauzwa
25K
2.Break Pads 35K zile nzuri wamekula 10K
3.Engine oil lazima wamekuwekea 20W 50 maana ndio cheap ni 35K wamelamba 10K
4.Line brake haiwezi kuwa 40K wamekuchapa.
5.Hio hydraulic ni ya kitu gani ya kuuzwa 60K?
6.Gearbox mounting sina hakika.
7.Top engine mounting inaweza kuwa sawa maana mkoa tunapigwa 85-90K
Yani hao mafundi watakuwa wameenda na tabasamu la bashasha kwa wake zao maana kama ni wawili kila mmoja karudi sio chini ya 70K baada ya kugawana 100K na 50K waliokuosha dukani. Watakuwa wamefurahi sana pole sana mkuu! Siku ingine fanya utafiti madukani kwanza ukipewa listi.
Kweli bna ka Ti ni ka kizamani mno aseeMlolongo nakumbuka ulinifata inbox ukihitaji gari nakumbuka nilikutumia picha zake ukasema gari Yangu ni Carina ti ni ya kizamani,sasa sijui umepigwa gari tena ambayo umeanza kutumia pesa kiasi hicho...
Mkuu hiyo gari yako umenunua ya Aina gani?
Hio seal inategemea na engine maana mie nilinunulia ya engine yangu mkoani ilikuwa 25K tena kwa muhindi.Kama hizi ndo bei basi waga napigwa kila siku, ila apo kwenye engine oil utakuwa umekosea sana mzee, maana oil kama synthetic kwenye duka lao kabisa wanauza 68k na oil seal waga nauziw 30 ata ukijarb kuondoka
Itakuwa wamempatia kitu cha SSE 40 siyo..[emoji38][emoji119][emoji119][emoji38]Hio seal inategemea na engine maana mie nilinunulia ya engine yangu mkoani ilikuwa 25K tena kwa muhindi.
Synthetic ni sawa ila kwa undezi wa huyu jamaa watakuwa wamemgonga mineral oil ya 35K
SAE 40 kwa udhamini wa CALTEX mnyamaa😂😂😂Itakuwa wamempatia kitu cha SSE 40 siyo..[emoji38][emoji119][emoji119][emoji38]
....kuna nyingine unakuta wamejaza kwenye madumu ya lita 20 au zaidi..mtu anapimiwa oil ambayo haijulikani brand wala vigezo..SAE 40 kwa udhamini wa CALTEX mnyamaa[emoji23][emoji23][emoji23]
uchumi wa kati....kuna nyingine unakuta wamejaza kwenye madumu ya lita 20 au zaidi..mtu anapimiwa oil ambayo haijulikani brand wala vigezo..
Kuna wstu majasiri...[emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji38][emoji38]
Mtu anamiliki hmgari la zaidi ya M 8 anaweka oil ya kupima..
Huyo chalii ndiye anayetumia id ya Mama Debora kama ulikua hujui mzee baba.Mlolongo nakumbuka ulinifata inbox ukihitaji gari nakumbuka nilikutumia picha zake ukasema gari Yangu ni Carina ti ni ya kizamani,sasa sijui umepigwa gari tena ambayo umeanza kutumia pesa kiasi hicho...
Mkuu hiyo gari yako umenunua ya Aina gani?