Aisee kumiliki gari kumbe gharama hivi? Nimetumia 505,000/= kufanya service!!

Aisee kumiliki gari kumbe gharama hivi? Nimetumia 505,000/= kufanya service!!

Kwa masikitiko makubwa napenda kukwambia kuwa umepigwa kipigo cha mbwa koko.

1.Oil Seal wamelamba 10K inauzwa
25K
2.Break Pads 35K zile nzuri wamekula 10K
3.Engine oil lazima wamekuwekea 20W 50 maana ndio cheap ni 35K wamelamba 10K
4.Line brake haiwezi kuwa 40K wamekuchapa.
5.Hio hydraulic ni ya kitu gani ya kuuzwa 60K?
6.Gearbox mounting sina hakika.
7.Top engine mounting inaweza kuwa sawa maana mkoa tunapigwa 85-90K

Yani hao mafundi watakuwa wameenda na tabasamu la bashasha kwa wake zao maana kama ni wawili kila mmoja karudi sio chini ya 70K baada ya kugawana 100K na 50K waliokuosha dukani. Watakuwa wamefurahi sana pole sana mkuu! Siku ingine fanya utafiti madukani kwanza ukipewa listi.
Kama hizi ndo bei basi waga napigwa kila siku, ila apo kwenye engine oil utakuwa umekosea sana mzee, maana oil kama synthetic kwenye duka lao kabisa wanauza 68k na oil seal waga nauziw 30 ata ukijarb kuondoka
 
Kama hizi ndo bei basi waga napigwa kila siku, ila apo kwenye engine oil utakuwa umekosea sana mzee, maana oil kama synthetic kwenye duka lao kabisa wanauza 68k na oil seal waga nauziw 30 ata ukijarb kuondoka
Hio seal inategemea na engine maana mie nilinunulia ya engine yangu mkoani ilikuwa 25K tena kwa muhindi.

Synthetic ni sawa ila kwa undezi wa huyu jamaa watakuwa wamemgonga mineral oil ya 35K
 
Hio seal inategemea na engine maana mie nilinunulia ya engine yangu mkoani ilikuwa 25K tena kwa muhindi.

Synthetic ni sawa ila kwa undezi wa huyu jamaa watakuwa wamemgonga mineral oil ya 35K
Itakuwa wamempatia kitu cha SSE 40 siyo..[emoji38][emoji119][emoji119][emoji38]
 
Iyo baby walker kama ni Toyota ..iyo pesa ni nyingi..sana kwenye service.. Iyo gari ulikuwaaa unaenda kuiwaaaa kabisa...duu wewe ulifanya gari kama baiskeli..ni vizuri ukishatembeaa km 3000 au 5000. Gari inatakiwaa iingiee service fasta..wewe ulikuwa hufanyi ivo.. Ndio maana umeuaa gari..vifaa vingi vmehalibika...raiti ungekuwa unafanya service on time..usiingee ingiaa iyo gharama kubwa..

Endeleaa kutumiaa hizo hizo baby walker usijeee gusu gari ya mjerumani (BMW, Audi, benz
Code:
...utaliaaa ukifanya kama unavoifanyia baby walker yako
 
SAE 40 kwa udhamini wa CALTEX mnyamaa[emoji23][emoji23][emoji23]
....kuna nyingine unakuta wamejaza kwenye madumu ya lita 20 au zaidi..mtu anapimiwa oil ambayo haijulikani brand wala vigezo..

Kuna watu majasiri...[emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji38][emoji38]
Mtu anamiliki gari la zaidi ya M 8 anaweka oil ya kupima..
 
....kuna nyingine unakuta wamejaza kwenye madumu ya lita 20 au zaidi..mtu anapimiwa oil ambayo haijulikani brand wala vigezo..

Kuna wstu majasiri...[emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji38][emoji38]
Mtu anamiliki hmgari la zaidi ya M 8 anaweka oil ya kupima..
uchumi wa kati
 
Wamekupiga Balaa..Kosa la Kwanza walishajua wewe hujui haya mambo...Wakishajua hilo wanakupiga Kweli kweli.


Katika hali ya Kawaida Gari Ndogo Hiyo Ingetumia laki 1 na hamsini basi.

Ila Ndio hivyo wameshakupiga.
 
Mlolongo nakumbuka ulinifata inbox ukihitaji gari nakumbuka nilikutumia picha zake ukasema gari Yangu ni Carina ti ni ya kizamani,sasa sijui umepigwa gari tena ambayo umeanza kutumia pesa kiasi hicho...
Mkuu hiyo gari yako umenunua ya Aina gani?
Huyo chalii ndiye anayetumia id ya Mama Debora kama ulikua hujui mzee baba.
 
Back
Top Bottom