Aisee kuna mtu nambembeleza huku chakula hakipiti

Aisee kuna mtu nambembeleza huku chakula hakipiti

Issue simple tu aende kijijin atafute mtot mbiichii apime mashine atangaze ndoa jina libadilishwe tu chap simple aende na muda alikuwa anataka kuvaa bomu
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ hii kwenye soka tunaita super sub
 
bora amejua kabla ya ndoa aina ya huyo mwanamke ndiyo wale wenye kuwapa waume zao watoto wasio wao kwa kisingizio cha kitanda hakizai haramu, mwambie apige konde moyo asonge mbele.
 
Nafikiri unasumbuliwa na:

uongo

1.
tabia ya kudanganya

2.maneno yasiyo na ukweli
















Hakuna uongo wowote hayo ni matukio ya kweli ukitaka ushahidi upo
 
Back
Top Bottom