Aisee libandari letu la Lamu lakaribia kukamilika!

Lord have mercy!!!
 
Master plan ya bandari ya lamu berths zote 32 zitakapokamilika, itakuwa kama ile ya jebel ali pale dubai, bonge la free port
 
Kazi nzuri. inabidi tuje kujifunza hko jinsi miradi ya aina hiyo inavyofanyika. Huku kwetu bado tunasubiri bandari ya Bagamoyo naona kama haiongelewi tena kwa sasa.
 
Deep sea dredging ( uchimbaji wa channel) inayoendelea

Rais apokea briefing kuhusu progress ya bandari
 
Land reclamation works
Nchi kavu inatengezwa baharini, yaani mchina anatisha kwenye huu mradi na scope of works yake.
 
Nina swali, Bandari ya Lamu itahudumia eneo gani la Kenya/Nje? Yaani Miundo mbinu yake imeunganishwa na wapi? Mombasa najua tayari, lkn Lamu sijajua bado!
Kuwampole utajua tu
 
Naval base? = Growing Chinese influence in Kenya.
 
Nina swali, Bandari ya Lamu itahudumia eneo gani la Kenya/Nje? Yaani Miundo mbinu yake imeunganishwa na wapi? Mombasa najua tayari, lkn Lamu sijajua bado!
Bandari ya lamu ni project moja tu ndani ya mpango mzima wa lapsset, ambayo lengo lake ni kufungua a new transport corridor in kenya.
Pitia huku ujuzwe zaidi http://www.lapsset.go.ke
 
and by the way tanzanians, this port is being built by Kenyan money...not a loan...there is a tanzanian always asking why EA largest economy is taking loans to finance projects...
 
Kwa hiyo unajivunia a foreign military base in your country?

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Dredging and pilling works

Pilling works
 
Causeway to newly reclaimed island
200tonnes crawler crane ikiwa kazini

Soil compaction works
 
Jengo jipya ambalo ndilo makao makuu ya halimashauri ya bandari ya lamu

 
Oil from Lokichar will go through Hoima - Tanga Pipeline. Making this danm port even more huge white elephant.
Lapsset ikianza Uganda alikua hayuko kwa hesabu, na Kenya ilikua haijavumbua oil... So nenda ukajitayarishe upya uje tena..


MUganga hakuwa ndani ya picha kabisa, baadae yeye ndo aliomba kuingizwa kwa mpango lakini hakuwa priority... Hata ukiangalia jina la Lapsset linamaanisha LAmu Port South Sudana & Ethiopia Transport-corridor... Hakuna Uganda hapo kwa hilo jina

Hata ukiangalia official launch, Uganda alikua hayuko kw apicha..

Meles Zenawi wa Ethiopia, Mwai Kibaki wa Kenya na Salva kiir wa S.Sudan




Namuona Kalonzo akifatwa na Naila shati nyeupe alafu Zenawi, Kibaki, Salva kiir... wanaangalia Bandari ya Lamu vile itakavyokua






Hata pia ukiangalia original plan, Bomba la mafuta la Uganda halikuwa kwenye picha
 
Kwa hiyo unajivunia a foreign military base in your country?

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
Foreign millitary bases si jambo jipya kwa ulimwengu wa leo, muingereza ana tayari bases mbili nchini kenya na zimekuwepo muda mrefu tu, nanyuki base (Batuk) na nyingine ya antimine training ambayo ipo nairobi.
Africa - British Army Website
Marekani naye ana base yake hapo hapo lamu eneo la manda bay, yaiitwa camp simba

Israeli defence force air unit nao wana air training unit nairobi pia, so its was only a matter of time mchina naye abishe hodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…