kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,491
JAMANI ZARI NI HELA ZAKE ANA UHURU WA KUZITUA ATAKAVYOKwani Diamond alitamka kua ulikua ajali? Mbona wenyewe wamejielezea vizuri sana ila kinachowauma ma Dada wengi wa kibongo ni kuona zile raha na starehe anazopata zari hazimpati hamisa, basi ndio tunazidi kuchonganisha ila vijiroho mbaya si vizuri