Nandy alianzisha video production yake akatengeneza video ya jay melody ilikuwa 😂😂😂Hili Pepo la wasanii kuwakimbia maproduzer na wengine kuanzisha productions zao wenyewe linahamia taratibu Kwa music video directors..mambo yanaanza kwenda mrama mdogomdogo,soon mambo yatakuwa mabaya sn Kwa bahadhi ya directors
Ule niliupenda sana. Sema jamaa yuko down to earthWimbo wa back off,aliyekuwa mkewe alienda kumshitaki usipigwe maredioni unamdhalilisha..aliimba baada ya mkewe kutembea na Yule dogo aliyekuwa mshikaji wake na kumpora na kukimbia nae kabisa Hadi mimba akapata huko nje
Nadhani hiyo Nayo ni sababu ya kutosikika,Ila mm ninao kwenye device yangu,ni mkali sn
Belle 9 alichomoka mwenyewe na hit song "sumu ya penzi" nadhani 2009 and since then akawa anapandishia hit after hit, hiyo dear gambe ilikuja baadae sanaImekuwa ni kawaida katika siasa, biashara, michezo, muziki, filamu na mitindo, kila anayefanya vizuri upande huo, kuna mtu alimshika mkono au kumvutia kufanya mojawapo kati ya hayo machache.
Je, kwenye muziki wa Bongofleva hali ipoje? Wasanii wamekuwa wakishirikishwa kwenye nyimbo kila siku, lakini kuna wale ambao kufanya hivyo
Tatizo ni kwamba monopoly ya Muziki imeruhusu kundi dogo la watu kukua kuliko wengine na kibaya zaidi wasanii wengine nao wameingia mtegoni.Hili Pepo la wasanii kuwakimbia maproduzer na wengine kuanzisha productions zao wenyewe linahamia taratibu Kwa music video directors..mambo yanaanza kwenda mrama mdogomdogo,soon mambo yatakuwa mabaya sn Kwa bahadhi ya directors
Kuna watu wataanza kurekod Kwenye vipaimara ha haa ...tatizo jingine technolojia ya camera inakimbia Sana aisee , camera ya million 2 ina 4k , Kideo kinaonekana swaaafi kabisa, ukipitisha kwenye editing program kitu kinatoka mswano Sana .... Kwa nini uende Kwa mtu akupige sjui video million 10 ......Hili Pepo la wasanii kuwakimbia maproduzer na wengine kuanzisha productions zao wenyewe linahamia taratibu Kwa music video directors..mambo yanaanza kwenda mrama mdogomdogo,soon mambo yatakuwa mabaya sn Kwa bahadhi ya directors
Hivi Alisema na Kabwela ipi ilitangulia?Imekuwa ni kawaida katika siasa, biashara, michezo, muziki, filamu na mitindo, kila anayefanya vizuri upande huo, kuna mtu alimshika mkono au kumvutia kufanya mojawapo kati ya hayo machache.
Je, kwenye muziki wa Bongofleva hali ipoje? Wasanii wamekuwa wakishirikishwa kwenye nyimbo kila siku, lakini kuna wale ambao kufanya hivyo k
Ahahah Kaka kuna video sasa hivi haziitaji tena makamera ya bei mbaya..kitakachkfanya wasanii wqkimbilie kwako si kamera Kali Bali ni creativity ya director husikaKuna watu wataanza kurekod Kwenye vipaimara ha haa ...tatizo jingine technolojia ya camera inakimbia Sana aisee , camera ya million 2 ina 4k , Kideo kinaonekana swaaafi kabisa , ukipitisha kwenye editing program kitu kinatoka mswano Sana .... Kwa nini uende Kwa mtu akupige sjui video million 10 ......
Belle 9 alichomoka mwenyewe na hit song "sumu ya penzi" nadhani 2009 and since then akawa anapandishia hit after hit, hiyo dear gambe ilikuja baadae sana
Very true mkuuTatizo ni kwamba monopoly ya Muziki imeruhusu kundi dogo la watu kukua kuliko wengine na kibaya zaidi wasanii wengine nao wameingia mtegoni.
Kila msanii akifanya interview anamzunguzia Diamobd, Alikiba au Harmonize. Maana yake hapo anamfanyia endorsement huku akidogosha brand yake.
Ndio maana wasanii wengine hata kama hawajatoa ngoma wanasikika tu.
Hali hiyo imesababisha baadhi ya wasanii kumiliki pesa na hivyo kuwa na nguvu ya kumiliki mpaka kampuni za video productions.
Msanii akishakuwa na studio, video production tayari wewe kama producer au video director unaishiwa nguvu ya maamuzi.
Na sasa hivi msanii kana Diamond amekuwa na media, hata media personalities na wasanii wenyewe wameshakosa nguvu ya kumchallenge kwa mategemeo kuwa labda watakuja kupata kazi hapo.
Yes, hata ngoma ya I'm sorry feat Kane Brown ni kamera ya iPhone.Ahahah Kaka kuna video sasa hivi haziitaji tena makamera ya bei mbaya..kitakachkfanya wasanii wqkimbilie kwako si kamera Kali Bali ni creativity ya director husika
Kwa hiyo sasa hivi director atapiga pesa Kwa ubunifu na ukali wa video zake Tu
Wimbo wa John legend-good night ulishutiwa na camera ya simu ya Google..imagine bro!!
Ile video iliyoshutiwa pale kurasini beach tope kule kwenye mikoko karibu na daraja la Nyerere?Nandy alianzisha video production yake akatengeneza video ya jay melody ilikuwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani ndo hiyo baada ya hapo production ikawa imeksha hapoIle video iliyoshutiwa pale kurasini beach tope kule kwenye mikoko karibu na daraja la Nyerere?
Hanscana asipoangalia atapotea,sasa hivi kushuti kwenye majengo mazuri kisha unaedit video alafu unategemea ulipwe mamilioni itakuwa ngumu sn Kwa wasanii kufanya hivyoYes, hata ngoma ya I'm sorry feat Kane Brown ni kamera ya iPhone.
Walishoot wakati wa lockdown na ni ngoma kali.
[emoji1787][emoji1787] eti baada ya hapo production ikawa imeisha hapoNadhani ndo hiyo baada ya hapo production ikawa imeksha hapo
Mkuu ilikuwa chink ya kiwango hata mwenye productikn akawa haitak[emoji1787][emoji1787] eti baada ya hapo production ikawa imeisha hapo
Kiukweli Hanscana hana ubunifu wowote. Silaha yake kubwa anayotegemea ni ubora wa CameraHanscana asipoangalia atapotea,sasa hivi kushuti kwenye majengo mazuri kisha unaedit video alafu unategemea ulipwe mamilioni itakuwa ngumu sn Kwa wasanii kufanya hivyo
Aongeze ubunifu..jamaa wa South America ni wakali sn wale watu,wanachoimba sikielewi lkn video zina ubunifu mkubwa sn.Bongo tukijaribu Kuwaiga japo kidogo Tu mambo yatakuwa poa
Mimi naliangalia hili suala la monopoly kwa jicho lingine kidogo, lile la wasanii kutamani uhuru ama kuondoka kwenye maisha ya kuwa tegemezi kwa producer, director hata media house fulani, hivyo kufanya juhudi ya kuweza kujifanyia hivyo wao wenyewe. Hakika wameona pia kwamba kuna pesa inaweza kutengenezeka kwa kutumia wasanii wengine wasio na uwezo wao kwa sasa.Tatizo ni kwamba monopoly ya Muziki imeruhusu kundi dogo la watu kukua kuliko wengine na kibaya zaidi wasanii wengine nao wameingia mtegoni.
Kila msanii akifanya interview anamzunguzia Diamobd, Alikiba au Harmonize. Maana yake hapo anamfanyia endorsement huku akidogosha brand yake.
Ndio maana wasanii wengine hata kama hawajatoa ngoma wanasikika tu.
Hali hiyo imesababisha baadhi ya wasanii kumiliki pesa na hivyo kuwa na nguvu ya kumiliki mpaka kampuni za video productions.
Msanii akishakuwa na studio, video production tayari wewe kama producer au video director unaishiwa nguvu ya maamuzi.
Na sasa hivi msanii kana Diamond amekuwa na media, hata media personalities na wasanii wenyewe wameshakosa nguvu ya kumchallenge kwa mategemeo kuwa labda watakuja kupata kazi hapo.
Nimeangalia shikorobo ya sheta aisee godfather ni mbwa 😀😀 af goma la 2014 huko ....Ila majonjo mle ya director ni nouma Sana .....Sisi madirector hatuna ,Hanscana asipoangalia atapotea,sasa hivi kushuti kwenye majengo mazuri kisha unaedit video alafu unategemea ulipwe mamilioni itakuwa ngumu sn Kwa wasanii kufanya hivyo
Aongeze ubunifu..jamaa wa South America ni wakali sn wale watu,wanachoimba sikielewi lkn video zina ubunifu mkubwa sn.Bongo tukijaribu Kuwaiga japo kidogo Tu mambo yatakuwa poa
Ahahah "sisi madirector hatuna"Nimeangalia shikorobo ya sheta aisee godfather ni mbwa [emoji3][emoji3] af goma la 2014 huko ....Ila majonjo mle ya director ni nouma Sana .....Sisi madirector hatuna ,