Aisee nimeamini wanawake ni watu wa hovyo

Aisee nimeamini wanawake ni watu wa hovyo

Sasa demu unataka ule mbususu kavu na ushaambiwa anachakatwa na wauza mitumba unafanyaje hapo? Utauza tu mechi ukute demu mwenyewe wa kawaidaaa
Na wewe unachakata kwani wats so special about u
 
Modes naona mashabiki wa Yanga wamevurugwa..huu Uzi huku kwenye ujenzi unafanya nini?
 
Watoto wapo likizo sasa ujenzi na mifumanizi wap na wap

au ujenz unaingi apo kweny vitu vya ndani
 
Jamaa yako mwambie ashtuke, badala ya kuhangaika na biashara yeye anahangaika na mapenzi.

Hana hata wadogo zake awape mitaji!
 
Wa hovyo kama mamako.
🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌
📌📌📌📌📌📌📌📌

🔧🔧🔧🔧🔧🔧🔧🔧🔧🔧🔧🔧🔧🔧🔧🔧🔧🔧

🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️

🛠️🛠️🛠️🛠️🛠️

😍😍😍😍😍
 
Tunajua ni wewe Polesana mapenz hayatabiriki
Bora uachane na mtu ulimpenda Kwa makosa yoyote lakin sio usaliti na ukaushuhudia haielezek
Mm huko nyuma sikuwahi kujua kama usaliti unauma imenitokea mara moja aisee inauma sana ni zaidi ya mwak lakini maumivu hayapoi kunawakat unasahau Kuna siku yanaibuka moyo unauma sana omba Mungu akupe moyo wa uvumilivu na kuamini hakuwa wako Bora umejua ukweli move on kumpenda kwako hakuna maana kwake usilazimishe inauma ila yataisha maisha yataendelea.
 
Tunajua ni wewe Polesana mapenz hayatabiriki
Bora uachane na mtu ulimpenda Kwa makosa yoyote lakin sio usaliti na ukaushuhudia haielezek
Mm huko nyuma sikuwahi kujua kama usaliti unauma imenitokea mara moja aisee inauma sana ni zaidi ya mwak lakini maumivu hayapoi kunawakat unasahau Kuna siku yanaibuka moyo unauma sana omba Mungu akupe moyo wa uvumilivu na kuamini hakuwa wako Bora umejua ukweli move on kumpenda kwako hakuna maana kwake usilazimishe inauma ila yataisha maisha yataendelea.
Pole sana mkuu
 
Sema Nini,sijui kwanini,yani sijui nisemeje mwee? .... mwanaume akiwa na mkwanja hata Kwa bed haishi hamu. Anyway, mwambie asimwache haraka ahakikishe amemla sana then atembee....game la hasira ni very sweet
Hahaha. To yeye amesema, ila nilichokiona hapo ni marudio tu ya yale ambayo yapo mtaani. Nawaambiaga watu kila mara hakuna mwanamke au mwanaume wa pekee yako. Kitu ningeweza mshauri ni kutemana na huyo dada na aachane na ishu za kuoa badala yake ajikite kutafuta pesa. Ndoa zenyewe za siku hizi ni ndoa basi, tunafurahisha wanawake wetu ila hakuna cha maana mwanaume ananufaika akifunga ndoa. Mwanaume akifunga ndoa anaka ameuza uhuru wake, ndoto zake na mipango pia. Kama ulikuwa na ndoto, basi kabla ya kuoa itimize kwanza, ukioa hutaweza kutimiza hayo kwani baada ya kuoa hutakua unajihesabu wewe kama bali unajihesabu na midomo unayolisha.

Kitu kingine nimejifunza, Mwanamke ukiona anafanya mambo ambayo wewe umekataza jua tu kuwa hauko pekee yako. Kuna njemba inamjaza upwiru huko na ahadi lukuki. Mwanamke asipokusikiliza, jua huna chako.
 
Back
Top Bottom