Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni sio watuSitasahau nilipouziwa kipande cha UDONGO kwa tsh 60000/= kariakoo badala ya Nokia N70...ilikuwa mwaka 2010 😂😂😂
Rinda lafala limetatuliwa.Hukuliwa jicho kweli?
Abort the fakin mission and return to the base now!One mana down I repeat one man down
But sir there are still women and ChildrenAbort the fakin mission and return to the base now!
Hey get that weird a$s back to the base now.But sir there are still women and Children
FaakkHey get that weird a$s back to the base now.
It's an orderFaakk
Harafu wajanja wajanja kama nyie mnapigwa vibaya bora huyo niko pale nasubiri hadithi yakoWe jamaa ni fala🤣🤣.
Unatapeliwa vipi kibwege hivyooo!?
Yes sir, mission arboted returning to the base.It's an order
Hahahahahaha daaah wewe jamaa ni fala au???Siku moja nipo kwenye mizunguko yangu ya hapa na pale maeneo ya Ubungo nikakutana na jamaa mmoja baada ya kuzungumza nae kwa muda akaniambia nimelogwa na kuanza kuniambia mambo ya nyumbani kwetu, akaniambia kama huamini tafuna hili karatasi nikatafuna nikatema nywele Daah si nikaanza kumuamini aisee
Akaniambia nimkabidhi pesa zangu nilikuwa na Sh elfu 30 na simu akaniambia chukua hii dawa nenda mpaka pale kituo cha mwendokasi usigeuke nyuma wala kuongea na MTU ukifika itupe pale.
Ile nafika kituo cha mwendokasi akili inarudi kwamba huyu jamaa nimemuamini VP kumuachia simu yangu na pesa, nikageuka nyuma kumcheki simuoni nikaamua kurudi pale kilichofuata ni majonzi na kilio nimetapeliwa
Sitaisahau simu yangu ya Tecno spark 4 asee, niliumia sana siku hiyo
Wanakupa somo kwa vitendo na maumivuWahuni sio watu asee
Hivi wasukuma na wagogo wamewakosea nini hasa?Lazima wewe utakuwa ni Msukuma au Mgogo
Mie nimewahi kuibiwa ila sio kama huyo jamaa.Harafu wajanja wajanja kama nyie mnapigwa vibaya bora huyo niko pale nasubiri hadithi yako
Hahah....ni utani tu wala hawana shidaHivi wasukuma na wagogo wamewakosea nini hasa?
Unatapeliwa huku unaona kawaida ila baadae majuto na kujilaumu kuhusu haka kakitu KUAMINIWengi tushatapeliwa lakini wewe umetapeliwa kiboya sana