chiziwafursa
JF-Expert Member
- May 22, 2024
- 558
- 827
Hapo sawaHahah....ni utani tu wala hawana shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawaHahah....ni utani tu wala hawana shida
Ama pale Karume walikua na mtindo wanakuonesha jeans ingine kesha wanakufungia ingine ilokua nusu yani imekatwa.Sitasahau nilipouziwa kipande cha UDONGO kwa tsh 60000/= kariakoo badala ya Nokia N70...ilikuwa mwaka 2010 😂😂😂
Kuibiwa na kutapeliwa vina uhusiano ? Elimu kidogo hapo tafadhari niko njia pandaMie nimewahi kuibiwa ila sio kama huyo jamaa.
Huyo bro kaibiwa kizembe sana aisee.
We ni msemaji wa matapeli? Au😎😎Uzuri wa daslam mafala wanaingia kila siku toka mikoani,kwahyo utapeli hautakaa uishe,na siku hizi mbinu zimebadilika kuendana na wakati .
Sio kila kuibiwa ni kutapeliwa ila kutapeliwa ni sehemu ya kuibiwa.Kuibiwa na kutapeliwa vina uhusiano ? Elimu kidogo hapo tafadhari niko njia panda
Hiyo ni kawaida unapopoteza kitu ndipo utajua kuwa limepotezea kijinga, hapo hapo akili inarudi na kuona njia zote ambazo zingeweza kuzuia hilo tukio.Unatapeliwa huku unaona kawaida ila baadae majuto na kujilaumu kuhusu haka kakitu KUAMINI
Yes sirAbort the fakin mission and return to the base now!
Umenikumbusha mamaangu alirudi home analia.Daresalaam mtu akikusalimia mtu yeyote usiyemjua awe mtoto mdogo, mwanamke mrembo kijana shababi au mzee au mbibi kitu cha kwanza mchukulie kama tapeli.
Kitu cha pili hulazimiki kumwitikia salamu yake na unaweza kuendelea na safari au kazi yako.
Kiungwana ukimwitikia usiongee chochote kwake.
Akikikuongezea manane kama hayakuhusu mwambie mimi sijui, na endelea na mambo yako.
Ukimsikiliza akikuhusisha tu na mambo yake au ya kwako tambua kuwa huyo ni tapeli
Mfano anakuuliza "naenda Kekoko mwonyeshe daladala za huko zilipo.
Ukisikia "nisindikize" huyo ni tapeli.
Kuna visichana vinakuongelesha kana kwamba vimepotea hivi, vielekeze kituo cha polisi cha karibu ili aende au viende vyenyewe hasa sehemu ambayo huwajui watu
Kama kuna watu unawajua washirikishe kwenye tatizo lake.
Daresalaam usifanye chochote wala kumpa ushirikiano yeyote usiye mjua.
Unaweza kutoa dakika moja tu umsikiliza mtu usiye mjua na isizidi hapo.
Ukijifanya mwema Dar, umetapeliwa.
Daresalaam usiye mjua yeyotechukulie kama tapeli.
Nawasilisha.
Ndio maana yake,ukija bila gadi,tunagawa wastani kwa idadi😂We ni msemaji wa matapeli? Au😎😎
Kama wewe ndio tapeli kwangu huchomoki kabisaa sijui utapitia angle ipi ? Labda uhack simuNdio maana yake,ukija bila gadi,tunagawa wastani kwa idadi😂
Tena wewe kama ID yako umekaa kifursa fursa..kuwapiga easy sana...na mkipigwa huwa hamsemi kwa aibu😂😂Kama wewe ndio tapeli kwangu huchomoki kabisaa sijui utapitia angle ipi ? Labda uhack simu
Sioni kwangu lamaana utafaidika kwanza hela sina sijui kingine labda sms za simu🤭🤭🤭Tena wewe kama ID yako umekaa kifursa fursa..kuwapiga easy sana...na mkipigwa huwa hamsemi kwa aibu😂😂