Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 4,116
- 4,979
kilimo ukitazama money one huwezi pata faida6 mara 80,000 unapata 480,000.
Kilimo ni umasikini.
Embue weka ghalama ulizotumia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kilimo ukitazama money one huwezi pata faida6 mara 80,000 unapata 480,000.
Kilimo ni umasikini.
Embue weka ghalama ulizotumia.
Aache ubunge na uwaziri akalimeAlafu kuna kipindi nilimsikia Anthony mavunde kipindi akiwa naibu waziri wa kilimo akisema vijana badala ya kubeti waelekeze nguvu zao kwenye kilimo! Wakati kulima kwenyewe ndio sawa na kubeti kama hivyo mwamba kaweka mkeka wa ekari 2 return ikawa gunia 6 [emoji23][emoji23][emoji23]
Umeambiwa ni gunia 6 hayajapukuchuliwa,6 mara 80,000 unapata 480,000.
Kilimo ni umasikini.
Embue weka ghalama ulizotumia.
Pole sana! Kilimo weka mbali na watotoMbona unanitisha mkuu😥😥
inategemea mkuu,, zile zangu nilivyohudumia vizuri sidhani kama nitakosa labda waniroge😂😂Pole sana! Kilimo weka mbali na watoto
Umempiga ofisa wa serikali? Jiandae kulala ndani kwa kudharau serikali.Sorry ana hitaji USHURU WA MAZAO siyo udhuru kama nilivyoandika hapo juu samahani ni hasira Tu,, ila nikichomfanyia mtanisamehe
DUU YAANI GUNIA 6 ZA MAHINDI YA VIBUNZI KWENYE EKARI 2 EBU ACHA UTANI BX MKUUEkali 2 Junia 6...mh! Pole kamanda
Wapi huko gunia 80,000 nilete mahindi nipige hela,huku ni sh 42,0006 mara 80,000 unapata 480,000.
Kilimo ni umasikini.
Embue weka ghalama ulizotumia.
Nakutakia mafanikio mema. Bora ufunge kwaresma hiiinategemea mkuu,, zile zangu nilivyohudumia vizuri sidhani kama nitakosa labda waniroge😂😂
Kuna wenzio wamepata gunia 2 tunimempata gunia 6.
Ukipukuchua hata kindoo Lita 20 hakijaiDaah, sasa mimi wa heka moja maana yake nitegemee gunia tatu za ngama