Aiseee maisha haya; Nimelima ekari 2, nimevuna gunia 6 tu

Aiseee maisha haya; Nimelima ekari 2, nimevuna gunia 6 tu

Nilikuwa nimelima mahindi ekari 2, Jana nimeenda kuvuna haya mahindi nimempata gunia 6.

Nimeagiza Bajaji/ Toyo la mizigo kuja kubeba haya magunia 6 ya mahindi ambayo bado sijayapukuchua toka kwenye magunzi.

Cha ajabu kwangu ni ajabu bajaji/ Toyo limefika kijijini kuna zuio la mtendaji wa kijiji anaomba ushuru wa Mazao yangu ambayo ni chakula cha nyumbani kwangu
Hayo Mahindi uliyafanyia Management zote Vizuri?

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa nimelima mahindi ekari 2, Jana nimeenda kuvuna haya mahindi nimempata gunia 6.

Nimeagiza Bajaji/ Toyo la mizigo kuja kubeba haya magunia 6 ya mahindi ambayo bado sijayapukuchua toka kwenye magunzi.

Cha ajabu kwangu ni ajabu bajaji/ Toyo limefika kijijini kuna zuio la mtendaji wa kijiji anaomba ushuru wa Mazao yangu ambayo ni chakula cha nyumbani kwangu

Upo Halmashauri ipi?
 
Back
Top Bottom