Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Si ndio hapo?.Mahindi ambayo hajapukuchuliwa yanalipiwa ushuru?
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio hapo?.Mahindi ambayo hajapukuchuliwa yanalipiwa ushuru?
Hayo Mahindi uliyafanyia Management zote Vizuri?Nilikuwa nimelima mahindi ekari 2, Jana nimeenda kuvuna haya mahindi nimempata gunia 6.
Nimeagiza Bajaji/ Toyo la mizigo kuja kubeba haya magunia 6 ya mahindi ambayo bado sijayapukuchua toka kwenye magunzi.
Cha ajabu kwangu ni ajabu bajaji/ Toyo limefika kijijini kuna zuio la mtendaji wa kijiji anaomba ushuru wa Mazao yangu ambayo ni chakula cha nyumbani kwangu
Kumbuka hizo gunia hajapukuchua. Akipukuchua anapata 2Ekali 2 Junia 6...mh! Pole kamanda
Nilikuwa nimelima mahindi ekari 2, Jana nimeenda kuvuna haya mahindi nimempata gunia 6.
Nimeagiza Bajaji/ Toyo la mizigo kuja kubeba haya magunia 6 ya mahindi ambayo bado sijayapukuchua toka kwenye magunzi.
Cha ajabu kwangu ni ajabu bajaji/ Toyo limefika kijijini kuna zuio la mtendaji wa kijiji anaomba ushuru wa Mazao yangu ambayo ni chakula cha nyumbani kwangu
Naendelea miwa siachi labda waniueeeMjep uliacha Kulima zao la miwa?
Makaburi gani mkuu? Usichukulie serious kilakitu...huyu ni mtani wangu mkuuIla JF kwa kufukua 'makaburi' 🙌
🤣🤣🤣🤣miss you aiseeNaendelea miwa siachi labda waniueee
Aya☺️ umemaindi?Makaburi gani mkuu? Usichukulie serious kilakitu...huyu ni mtani wangu mkuu
Miss you more sweetheart🤣🤣🤣🤣miss you aisee
Nataka nikudokeze jambo! D u allow me?Miss you more sweetheart
Nidokeze mchumbaNataka nikudokeze jambo! D u allow me?
Nimeacha kuanzia sasaHuwezi stop chat selfika?
Yeah,u deserve more than thatNimeacha kuanzia sasa
Asante sana🙏Yeah,u deserve more than that
AmiinAsante sana🙏