Mbuli yaza
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 711
- 683
kama wanachunguza wewe hilo la ugoni umelitoa wapi?hatua zingechukuliwaje wakati badala ya kuripoti, maelezo tu yanajidhihirisha nalikuwa anasema uongo mtupu sasa polisi wanachunguza ngoja muone mnavyoumbuka
Ninazo ndo maana namiliki hela,Huna akili
Kama polisi wamekupigia wife wako tulia, usilete chuki uku.Polisi mtakufa na kuhama huku mtaani shauri yenu, kiama chenu kitawafikia.
Mnajua kipigo ninyi, huyu muongo.Haya mambo hayana, mwisho mzuri kwetu kama Taifa.
Kumbe alifanya kashfa kwa serikali hadharani? Mhh jmn msiyatake wenyewe haya mambo fanyeni siasa safi harakati hazina maana hapa TanzaniaAache kiherehere. Alipewa kanga kama zawadi akakipokea, Kisha anaenda kuichoma hadharani. Kama alikuwa haitaki angeichomea ndani mwake au akapigia deki. Sasa kiherehere Cha kujionesha Wacha akomeshwe. Tena amekomeshwa kidogo! KUMBAVU!!
Watz kwa vikauli vya mikwara mhhNakumbuka ile kauli kuwa mfungie paka chumbani halafu mtese sana huku ukiwa na silaha nyepesi. Atalia, atanung'unika..... Kisha utaona nini kitatokea. Kwa sasa ndicho kinachoendelea.
Sioni utofauti wako na hao wengine waliokuwa na Magufuli.Chadema hadi mjambe cheche ...niliwaambia msifurahie kifo cha jpm hadi mjue kama kauliwa au la ..tena niliwaonya kuhusu walio nyuma ya hicho kifo ila nyinyi mkawageuza marafiki ...nchi imetekwa nyara na Raia feki wapo.kuvuna ubilionea kwao mtanganyika ni sisimizi tu
KARMA !Ukisha kuwa binadamu utayashuhudia ya upande wako ukiwa bado ungali hai
HAPANA.Natangaza kukudharau moja kwa moja katika siku zako zote chache zilizosalia hapa duniani
Kwa hiyo unakiri huyo mtu wa CHADEMA kaadhibiwa na Samia kwa kosa la kuchoma vitenge vyake!Pole yake ila Hawa Jamaa ndio wale walikuwa wanaimba SSH muuaji na wakachoma vitenge alivyovitoa?
Haya mambo Huwa wanaoyataka wenyewe Kwa Kushindwa kutumia akilalamika na busara
Sijui ila kama Hawa ndio walikuwa wanaimba hivyo na kuchana nguo Wacha wapate stahiki zao ,siwezi sympathise na watu wajinga ,hata Watoto hawafanyi hivyo.Kwa hiyo unakiri huyo mtu wa CHADEMA kaadhibiwa na Samia kwa kosa la kuchoma vitenge vyake!
Nikikueleza akili yako ni fupi sana hutaki kuelewa. Uchawa umekufanya upoteze akili yako kabisa?
Unatia aibu sana!Sijui ila kama Hawa ndio walikuwa wanaimba hivyo na kuchana nguo Wacha wapate stahiki zao ,siwezi sympathise na watu wajinga ,hata Watoto hawafanyi hivyo.
Na wewe kuwa chawa ufaidi.
Why?Unatia aibu sana!
Tumia akili JPM alijua vema kuwa adui no .moja ni ccm ndiyo maana alikuwa tofauti na wanafiki wote ...waovu waliokuwa ndani ya ccm walimchukia na kuwatum8a chadema kupambana naye ...wenye akili tuliwakumbusha chadema watambue kwanini jpm anapigwa vita hadi na watu ndani ya ccm ...kwa kifupi chadema ni wapumbavuSioni utofauti wako na hao wengine waliokuwa na Magufuli.
Hapa unalalamikia CHADEMA "kufurahia" kifo cha Magufuli; lakini hao wenzako waliomo ndani ya CCM na ambao ndio hawa hawa wanaofanya maovu juu ya nchi hii unaona wao ni bora kuliko CHADEMA?
Hii ni akili gani hii!
FaizaFoxyDuh
Kumrekodi mama wa Kiislam akiwa mtupu ni Dhambi mbaya Mno mbele ya maulana 🐼
Kumbe hatakuwa hafahamu kwamba mauwaji yakitokea chini ya utawala wake yanayofanywa na watu wake yeye ndo mwajibikaj?Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ambaye ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yeye muheshimiwa hajawahi kudhuru mtu iweje vikosi vya usalama wa raia kudhuru raia ... ni mategemeo yetu rais atatoa maelekezo kwa vyombo vya usalama chini ya serikali ya chama dola kongwe CCM ...
View: https://m.youtube.com/watch?v=HFezooN_hMQ
Kwani Wakristo sio dhambi? Na wasio n dini wenyewe kawaida?Duh
Kumrekodi mama wa Kiislam akiwa mtupu ni Dhambi mbaya Mno mbele ya maulana 🐼