Una uchoko mwingiAcha ujinga na unapaswa ujiheshimu ili tukuheshimu
Ni dhambi kwa mwanadamu yeyote awaye,Duh
Kumrekodi mama wa Kiislam akiwa mtupu ni Dhambi mbaya Mno mbele ya ma
Uchoko tena? Mkuu misemo hii siyo mizuri kwa mtu kama wewe kutoka kinywani mwakoUna uchoko mwingi
Mwanamke ni mwanamke tuHuwa naamini Wanawake wa Kiisilamu siyo waongo. Nilidhani na wewe kama Muisilamu unaamini hivyo pia.
Kwa hiyo ni ili Mtu apate Uongozi kuwafanyia wananchi hivi kweli? Mbona ni hatari sana.Hapa ndipo Tanzania ya Nyerere ilipofikishwa na Watukufu aliowaachia ambao wamejipa Uungu Mtu, Ngoja tuone Mwisho wao.
================
Mwenezi wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Aisha Machano, ambaye anadaiwa kutekwa na kuteswa na baadae kuokotwa kwenye pori la Kibiti, akizungumza tukio zima mara baada ya kuachwa porini Kibiti na kisha kujikuta Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mwananyamala ambapo alipatiwa matibabu.
Tukio hilo la kutekwa na kuokotwa kwa kiongozi huyo wa Baraza la Wanawake la Chadema Taifa, lilitokoa jana tarehe 19 Oktoba 2024, Kibiti mkoani Pwani na tayari jeshi la polisi limeshatoa taarifa ya kuanza kwa uchunguzi wa tukio hilo.
Soma Pia: Aisha Machano, Katibu mwenezi BAWACHA Taifa, alitekwa na kupigwa sana, ameokotwa porini akiwa na hali mbaya
Pia soma:Kuelekea 2025 - Aisha Machano, Katibu mwenezi BAWACHA Taifa, alitekwa na kupigwa sana, ameokotwa porini akiwa na hali mbaya
Dhambi wanaijua watu wenye hofu ya uwepo wa Mungu. Lakini kwa chama cha Mapinduzi, kilichosheheni mashetani, kwao uovu na ushenzi ndiyo utukufu wa shetwani.Duh
Kumrekodi mama wa Kiislam akiwa mtupu ni Dhambi mbaya Mno mbele ya maulana 🐼
Wabingo maneno mengi, vitendo zero kama wewe!Unadhani wewe uko salama kabisa huwezi tekwa? Yawezekana huwezi tekwa kisiasa lakini usidharau haya huwa yanajibiwa kabla ya mauti usije laumu kinywa
Wanao weledi na Akili za kumfuatilia wanaye mtaka lakini huu mfumo wanao utumia kwa sasa inaonyesha kama vile wanatonywa kuwa kiongozi fulani mda fulani atakuwa mahali fulani na atakuwa na safari ya kwenda mahali fulani kwa hiyo wanakuwa na mda mzuri wakujipanga, utekaji wa huyu mama na wa Ali kibao ni Tofauti na wakina soka, na sativa kwani hawa walipigiwa simu🚮 🚮
Kwamba hao watekaji hawana akili wala weledi wa kufuatilia wanayemtaka?
wE FOX zinduka! matukio ya huyu dada ni kwa kuwa MCHENGERWA yupo huko kibiti! ndiye anayetembea na kikundi cha utekaji! ipo siku watabebwa ndugu zako we bibi roho mbaya ndio utajuta!Wanatekana wenyewe hao kuleta fitna, pattern inaonesha wanaotekwa chadema ni Waislam tu. Kwanza Mohamed, sasa Aisha.
Kuna fitna kubwa inapikwa hapa.
Kabisa mkuuPolisi ni sehemu ya huo utekaji.
hakuna lolote, huyo kafata nini huko kibiti?wE FOX zinduka! matukio ya huyu dada ni kwa kuwa MCHENGERWA yupo huko kibiti! ndiye anayetembea na kikundi cha utekaji! ipo siku watabebwa ndugu zako we bibi roho mbaya ndio utajuta!
ipo siku nakuambia Mark my words! shuwaini
Kwa hiyo wakihitaji kukuteka wewe kama hakuna mtu wa "kuwatonya" watashindwa?Wanao weledi na Akili za kumfuatilia wanaye mtaka lakini huu mfumo wanao utumia kwa sasa inaonyesha kama vile wanatonywa kuwa kiongozi fulani mda fulani atakuwa mahali fulani na atakuwa na safari ya kwenda mahali fulani kwa hiyo wanakuwa na mda mzuri wakujipanga, utekaji wa huyu mama na wa Ali kibao ni Tofauti na wakina soka, na sativa kwani hawa walipigiwa simu
Tena katika nchi ambayo Rais wake pia ni mwanamke wa Kiislam.Duh
Kumrekodi mama wa Kiislam akiwa mtupu ni Dhambi mbaya Mno mbele ya maulana 🐼
ipo sikuTena katika nchi ambayo Rais wake pia ni mwanamke wa Kiislam.
Mtu mzima hovyo, hujiheshimu, unaongea ujinga hata haya huna, akili umekosa, haya umekosa, utu huna na ubinadamu pia huna hayawani wewehakuna lolote, huyo kafata nini huko kibiti?
Ujinga tu.
Na huyo mwanamke ni mtu wa system siku nyingi, labda hajaisoma mipaka ya system.
ningeweka mambo wazi ila nitamharibia mhusika. mama ni muuaji na anabariki yanayotokea. siongei kama mnywa kahwa. naongea ukweli.Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ambaye ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yeye muheshimiwa hajawahi kudhuru mtu iweje vikosi vya usalama wa raia kidhuru raia ... ni mategemeo yetu rais atatoa maelekezo kwa vyombo vya usalama chini ya serikali ya chama dola kongwe CCM ...
View: https://m.youtube.com/watch?v=HFezooN_hMQ
Kumrekodi mtu yeyote yule akiwa mtupu bila ridhaa yake bila kujali jinsia ama dini ni laana kwa ubinadamu wote.Duh
Kumrekodi mama wa Kiislam akiwa mtupu ni Dhambi mbaya Mno mbele ya maulana 🐼
we bibi ni bure. mambo ya kisiasa yanakupofusha akili. haijalishi awe wa chama gani huyo mama hakustahili alichofanyiwa. kama kuiba waibe bila kuwadhuru watu na kuwauahakuna lolote, huyo kafata nini huko kibiti?
Ujinga tu.
Na huyo mwanamke ni mtu wa system siku nyingi, labda hajaisoma mipaka ya system.
Ni upuuzi kutengeneza mapicha picha juzi ali kibao ameuwawa ina maana hao viongozi wengine bado hawana tahadhari tu na maisha yao!Endelea kudhani uko salama, Mungu siyo fala