Aisha alipigwa, kuvuliwa nguo zote na Kurekodiwa, Na kwamba akisema kwamba alitekwa Picha zake zitavujishwa Mitandaoni na kumuua

Aisha alipigwa, kuvuliwa nguo zote na Kurekodiwa, Na kwamba akisema kwamba alitekwa Picha zake zitavujishwa Mitandaoni na kumuua

Hawa si ndio walikuwa wanaimba "hakuna muuaji km Samia" walimpa na tuzo wakachapisha na khanga.. sasa jini limetoka kwenye chupa ninawalamba mmoja mmoja.
 
Alivuliwa au alivua mwenyewe? Kibiti kilimpeleka nini? Mwanamke wa kiislamu wa kizanzibari? Mmmmm

Isije kuwa hakukulipwa akaamua kuwawashia moto hao waliokataa kumlipa baada ya kumaliza mambo yao
unaweza ongea kwa kubeza kwa kuwa aliye fanyiwa hana undugu, ujirani ama mahusiano yoyote na wewe ila amini haya mabezo yatakuja kulipwa kwako ama mtu ambaye ana mahusiano ya damu
 
Hapa ndipo Tanzania ya Nyerere ilipofikishwa na Watukufu aliowaachia ambao wamejipa Uungu Mtu, Ngoja tuone Mwisho wao.
================

Mwenezi wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Aisha Machano, ambaye anadaiwa kutekwa na kuteswa na baadae kuokotwa kwenye pori la Kibiti, akizungumza tukio zima mara baada ya kuachwa porini Kibiti na kisha kujikuta Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mwananyamala ambapo alipatiwa matibabu.

Tukio hilo la kutekwa na kuokotwa kwa kiongozi huyo wa Baraza la Wanawake la Chadema Taifa, lilitokoa jana tarehe 19 Oktoba 2024, Kibiti mkoani Pwani na tayari jeshi la polisi limeshatoa taarifa ya kuanza kwa uchunguzi wa tukio hilo.

mbona kama kuna dalili za kuzima au kuficha fumanizi hivi 🐒
 
Nadhani humo kwenye Chama cha CDM kuna mamluki wanaotoa siri za safari za viongozi kwa sababu hata Mzee alikibao alifuatiliwa hivyo hivyo na Alipanda na wauaji wake kwenye Basi sasa hawawatekaji wanajuaje nyendo za hawa viongozi kwa vyovyote kuna informer ndani ya chama na wasipo mshtukia mapema watakuwa wanatwanga maji kwenywe kinu
🚮 🚮
Kwamba hao watekaji hawana akili wala weledi wa kufuatilia wanayemtaka?
 
hospitali ya Mwananyamala nilipopelekwa madaktari na manesi walinikakuga mwili wote kuona kipigo nikichopata ili waweze kunipa huduma sahihi na kunipeleka chumba cha X-Ray kuona majeraha ya ndani ya mwili ...
1729435617935.jpeg
 
Idara ya Usakama wa Taifa ipo chini ya Ofisi ya Rais, hivyo chini ya amiri jeshi mkuu na kama wakielekezwa vizuri, wakisimamiwa wafuate maadili, kupewa rasilimali zote fedha na watu wazuri, hawa watu wasiojulikana wanaweza kupatikana kwa haraka na kuchukuliwa hatua za kisheria kufikishwa Mahakamani.
Amiri jeshi na rais madaraka tofauti. Ni kama rais halafu anakuwa mwenyekiti wa chama. Rais ni mkuu wa serikali(dola) na Amiri jeshi ni mamlaka ya juu ndani ya jeshi la ulinzi. Ili kulifanya jeshi liwajibike kwenye utawala wa kiraia cheo cha amiri jeshi kimetoka jeshini na kukabidhiwa kwa mamlaka ambayo iko chini ya rais ndio maana kwa Tanzania rais anapoapishwa tu na hapo hapo anakuwa amiri jeshi. Ila katiba ikibadilishwa cheo hicho kinarudi jeshini. Mamlaka ya amiri jeshi kinahusu jeshi la ulinzi tu. Vyombo vya usalama viko chini ya rais kama mkuu wa utawala wa kiraia.

Kwenye utawala wa kiraia anaitwa rais na huko ndiko kuna uhamiaji, magereza, polisi, takukuru nk

Kwenye utawala wa kijeshi anaitwa amiri jeshi. Kwa katiba ya Tz, amiri jeshi ni lazima pia awe rais aliyepo madarakani lakini ni mamlaka mbili tofauti kwenye sarafu moja.
 
Wazungu na Wahindi wanatembea migongo na matumbo wazi

Pale kwa King Mswazi wanatembea matiti nje

Ila Iran ni tofauti Sana

Nadhani umeelewa 🐼
Kutembea kwao hivyo ni tofauti na kuvuliwa nguo zote na kurekodiwa

Kufanya hivyo kwa Mwanamke au Mwanaume yeyote ni Dhambi no matter ni wa Dini ipi
 
Aache kiherehere. Alipewa kanga kama zawadi akakipokea, Kisha anaenda kuichoma hadharani. Kama alikuwa haitaki angeichomea ndani mwake au akapigia deki. Sasa kiherehere Cha kujionesha Wacha akomeshwe. Tena amekomeshwa kidogo! KUMBAVU!!
Chawa naona mmepata tabu bibi muuaji uuaji wake kuwekwa hadharani. Naona mlitaka bibi mkojani abaki na taswira nzuri kwenye jamii, wakati kiukweli yeye ndio anayeaigizza kutekwa na kuuwawa wapinzani. Uzuri ujumbe umefika kuwa 4R ni porojo za mdomoni, lakini uhalisia unakataa.
 
Alivuliwa au alivua mwenyewe? Kibiti kilimpeleka nini? Mwanamke wa kiislamu wa kizanzibari? Mmmmm

Isije kuwa hakukulipwa akaamua kuwawashia moto hao waliokataa kumlipa baada ya kumaliza mambo yao
Huu nao ni uungwana?
Hata ukiweka unazi wa kivyama mbele, akili inaweza kukuelekeza kuwa chama chako kinafaidika sana ukiyasema haya?

Ubinaadam wako uo wai
 
Hapa ndipo Tanzania ya Nyerere ilipofikishwa na Watukufu aliowaachia ambao wamejipa Uungu Mtu, Ngoja tuone Mwisho wao.
================

Mwenezi wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Aisha Machano, ambaye anadaiwa kutekwa na kuteswa na baadae kuokotwa kwenye pori la Kibiti, akizungumza tukio zima mara baada ya kuachwa porini Kibiti na kisha kujikuta Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mwananyamala ambapo alipatiwa matibabu.

Tukio hilo la kutekwa na kuokotwa kwa kiongozi huyo wa Baraza la Wanawake la Chadema Taifa, lilitokoa jana tarehe 19 Oktoba 2024, Kibiti mkoani Pwani na tayari jeshi la polisi limeshatoa taarifa ya kuanza kwa uchunguzi wa tukio hilo.

Soma Pia: Aisha Machano, Katibu mwenezi BAWACHA Taifa, alitekwa na kupigwa sana, ameokotwa porini akiwa na hali mbaya

Pia soma:Kuelekea 2025 - Aisha Machano, Katibu mwenezi BAWACHA Taifa, alitekwa na kupigwa sana, ameokotwa porini akiwa na hali mbaya


Mama Samia mwongo mwongo hata kuomba ripoti hawezi tena maana ni uzushi tu yeye anafurahia haya. Polisi wote wapo tu
 
Hapa ndipo Tanzania ya Nyerere ilipofikishwa na Watukufu aliowaachia ambao wamejipa Uungu Mtu, Ngoja tuone Mwisho wao.
================

Mwenezi wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Aisha Machano, ambaye anadaiwa kutekwa na kuteswa na baadae kuokotwa kwenye pori la Kibiti, akizungumza tukio zima mara baada ya kuachwa porini Kibiti na kisha kujikuta Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mwananyamala ambapo alipatiwa matibabu.

Tukio hilo la kutekwa na kuokotwa kwa kiongozi huyo wa Baraza la Wanawake la Chadema Taifa, lilitokoa jana tarehe 19 Oktoba 2024, Kibiti mkoani Pwani na tayari jeshi la polisi limeshatoa taarifa ya kuanza kwa uchunguzi wa tukio hilo.

Soma Pia: Aisha Machano, Katibu mwenezi BAWACHA Taifa, alitekwa na kupigwa sana, ameokotwa porini akiwa na hali mbaya

Pia soma:Kuelekea 2025 - Aisha Machano, Katibu mwenezi BAWACHA Taifa, alitekwa na kupigwa sana, ameokotwa porini akiwa na hali mbaya
Chadema hadi mjambe cheche ...niliwaambia msifurahie kifo cha jpm hadi mjue kama kauliwa au la ..tena niliwaonya kuhusu walio nyuma ya hicho kifo ila nyinyi mkawageuza marafiki ...nchi imetekwa nyara na Raia feki wapo.kuvuna ubilionea kwao mtanganyika ni sisimizi tu
 
Back
Top Bottom