Aisha alipigwa, kuvuliwa nguo zote na Kurekodiwa, Na kwamba akisema kwamba alitekwa Picha zake zitavujishwa Mitandaoni na kumuua

Aisha alipigwa, kuvuliwa nguo zote na Kurekodiwa, Na kwamba akisema kwamba alitekwa Picha zake zitavujishwa Mitandaoni na kumuua

Hapa ndipo Tanzania ya Nyerere ilipofikishwa na Watukufu aliowaachia ambao wamejipa Uungu Mtu, Ngoja tuone Mwisho wao.
================

Mwenezi wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Aisha Machano, ambaye anadaiwa kutekwa na kuteswa na baadae kuokotwa kwenye pori la Kibiti, akizungumza tukio zima mara baada ya kuachwa porini Kibiti na kisha kujikuta Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mwananyamala ambapo alipatiwa matibabu.

Tukio hilo la kutekwa na kuokotwa kwa kiongozi huyo wa Baraza la Wanawake la Chadema Taifa, lilitokoa jana tarehe 19 Oktoba 2024, Kibiti mkoani Pwani na tayari jeshi la polisi limeshatoa taarifa ya kuanza kwa uchunguzi wa tukio hilo.

Soma Pia: Aisha Machano, Katibu mwenezi BAWACHA Taifa, alitekwa na kupigwa sana, ameokotwa porini akiwa na hali mbaya

Pia soma:Kuelekea 2025 - Aisha Machano, Katibu mwenezi BAWACHA Taifa, alitekwa na kupigwa sana, ameokotwa porini akiwa na hali mbaya
Mama Ni Jembe.....na kadiri anavyowasabua nguvu yao ya kuua inapungua...kwa Jina la Mwenyezi Mungu hawataweza.

She survived to tell the tale.
 
Wanatekana wenyewe hao kuleta fitna, pattern inaonesha wanaotekwa chadema ni Waislam tu. Kwanza Mohamed, sasa Aisha.
Mrembo,
Wewe naye unaungana na watesi wa wananchi, watekaji na wauaji kwa gia ya udini na uongo?!

Kwani wametekwa wawili tu?

Kwa mfano, wafuasi wa Chadema, FRANK MBISE na DEUSDEDIT SOKA waliotekwa karibuni ni wa dini gani?!!

 
Viongozi wa dini walivyo wanafki wako kimya. Wakisikia Chadema wanataka kuandamana kupinga uhuni huo wanaibuka na kuanza kuhubiri amani. Mambo kama hayo yanawagawa watanzania na kujengeana chuki kwa sababu za kutofautiana mitazamo ya kisiasa tu.
Wapuuzi sana
 
Huyu mama kama anatudanganya haya ni Maigizo, yaani mtu upewe kipigo cha Nguvu leo uitishe press, uongee kwa namna ile, Chadema acheni drama hili igizo lenu mmfail..
 
Ccm wana Dhani ukisha ua ndio basi tena kumbe wanajidanganya kufa bado sio mwisho wa maisha
 
Back
Top Bottom