Boay Hotay
Senior Member
- Jul 8, 2023
- 103
- 142
Mtu akikushinda Kwa hoja usimteke Bali apewe nafasi aonyeshe uongozi ili taifa lifaidike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Hawa walikuwa wanaimba SSH muuaji na wakachoma kanga Zenye jina lake?Katibu Mwenezi Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano akiwa Kibiti kuendelea na majumu ya Chama ametekwa na kupigwa sana kisha kutupwa porini.
Vijana wa bodaboda wamemuokota akiwa katika Hali mbaya na maumivu makali. Waliomteka walitaka maelezo ni nani aliwaelekeza kuchoma vitenge vilivyogawiwa na Rais
SuluhuSamia katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023 mkoani Kilimanjaro.
Kwa sasa amefikishwa hospitali kwa ajili ya matibabu na ameingizwa chumba maalum cha upasuaji (Theatre) kwa huduma zaidi.Taarifa za kina zitakuja hapo baadaye kadiri ya tutakavyozipokea.
Pia soma:
Demokrasia ni ubatili na ukisirani tubakie na mfumo wa chama kimoja tu tuepushe purukushani na mauaji yasiyo na lazima pamoja na vilemaIfike mahali litoke tamko la kuondoa vyama vingi.
😂😂😂 Acha wautumie vzr sasa wakimaliza watumie na uhuru wa kutekwa 😂😂Hata kuchoma vitenge ni namna mojawapo ya kutumia uhuru wakujieleza..
Alijifanya mhuni wa kuchoma vitenge vyenye picha ya Rais Mama Samia huyo!Katibu Mwenezi Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano akiwa Kibiti kuendelea na majumu ya Chama ametekwa na kupigwa sana kisha kutupwa porini.
Vijana wa bodaboda wamemuokota akiwa katika Hali mbaya na maumivu makali. Waliomteka walitaka maelezo ni nani aliwaelekeza kuchoma vitenge vilivyogawiwa na Rais
SuluhuSamia katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023 mkoani Kilimanjaro.
Kwa sasa amefikishwa hospitali kwa ajili ya matibabu na ameingizwa chumba maalum cha upasuaji (Theatre) kwa huduma zaidi.Taarifa za kina zitakuja hapo baadaye kadiri ya tutakavyozipokea.
Pia soma:
Vyama vingi siyo kuwa na matendo ya kihuni mkuu.Demokrasia ni ubatili na ukisirani tubakie na mfumo wa chama kimoja tu tuepushe purukushani na mauaji yasiyo na lazima pamoja na vilema
Hapana naona wafute tu huo mfumo huoni watu wanaumizana pasipo sababu ya msingi halafu wote tunaongea lugha moja kiswahili na rangi zetu nyeusi na pua pana?Vyama vingi siyo kuwa na matendo ya kihuni mkuu.
Mbona walishaonywa kwenye mkutano mmoja wa nchimbi kulikuwa na ulazima gani kutumia nguvu kwa mtu asie na madhara? Maandiko yako yanasadifu makuzi yako yalikuwa ya namna gani😂😂😂 Acha wautumie vzr sasa wakimaliza watumie na uhuru wa kutekwa 😂😂
Enhe naonekana nmekulia kwa nzinwa kijani ee 😂😂😂Mbona walishaonywa kwenye mkutano mmoja wa nchimbi kulikuwa na ulazima gani kutumia nguvu kwa mtu asie na madhara? Maandiko yako yanasadifu makuzi yako yalikuwa ya namna gani
Hahahaahaha😃😃😃CCM wana mambo ya kitoto sana. Kwa nini sasa wanajikuta wamevurugwa wakisikia tu picha au vitenge vya mwenyekiti wao vimechomwa moto!!
kutoka kibiti amepekelwa hospitali gani? na ka nini avuke hospitali zote mpaka kufika huko anakotibiwa? kuna jambo limefichwaKatibu Mwenezi Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano akiwa Kibiti kuendelea na majumu ya Chama ametekwa na kupigwa sana kisha kutupwa porini.
Vijana wa bodaboda wamemuokota akiwa katika Hali mbaya na maumivu makali. Waliomteka walitaka maelezo ni nani aliwaelekeza kuchoma vitenge vilivyogawiwa na Rais
SuluhuSamia katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023 mkoani Kilimanjaro.
Kwa sasa amefikishwa hospitali kwa ajili ya matibabu na ameingizwa chumba maalum cha upasuaji (Theatre) kwa huduma zaidi.Taarifa za kina zitakuja hapo baadaye kadiri ya tutakavyozipokea.
Pia soma:
Inawezekana aisha machano una undugu kwa namna moja au nyingne sio jambo la kufurahiaEnhe naonekana nmekulia kwa nzinwa kijani ee 😂😂😂
Abdul, Mafwele na Waziri viongozi wa watekaji! Tunawatafuta wanenu, wake zenu au nyie binafsi mkijichanganya tupo nanyi kiulalo ulalo subirini!!huenda wenye kuhitaji vile vitenge vilivyochomwa walipata hasira sana kwamba why this,
ingawa kuchoma vitenge sio jambo la kiungwana lakini pia kumpiga mtu kwa hasira sio jambo zuri pia 🐒
vita vya panzi bana 🤣Abdul, Mafwele na Waziri viongozi wa watekaji! Tunawatafuta wanenu, wake zenu au nyie binafsi mkijichanganya tupo nanyi kiulalo ulalo subirini!!