nlrejea mishale mibaya kabisa,nkaambulia kipigo haswa lakin nkawa huru kuanzia hapo,nkawa nkienda band naaga,na sijaacha kwenda naenda mpaka leo.hujamalizia.. enh!! ulivotoroka ulilala hukohukoo au ndo ulirejea mishale mibaya kwa kunyata kama kibaka..