Aishi Manula augua ghafla Uwanja wa Ndege dakika chache kabla ya safari ya Algeria

Aishi Manula augua ghafla Uwanja wa Ndege dakika chache kabla ya safari ya Algeria

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Mlinda Mlango Aishi Manula sio sehemu ya kikosi kilichoelekea Algeria baada ya changamoto ya Kiafya akiwa Airport

==

Klabu ya Simba imetoa taatifa kuwa mlinda mlango Aishi Manula alishindwa kusafiri kuelekea Algeria baada ya kupata hitilafu ya kiafya dakika chache kabla ya kuondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Maelezo zaidi kuhusu hali yake yanatarajiwa kutolewa.
IMG_1248.jpeg
Manula alikuwa sehemu ya kikosi cha nyota 22 wa Simba ambao wameanza safari yao alfajiri ya leo Disemba 4, kuifuata CS Constantine nchini Algeria, kwa ajili ya mechi ya pili ya Kundi A CAFCC.
IMG_1247.jpeg
Pia, Soma: Nyota 22 Simba kuifuata CS Constantine Algeria, CAFCC
 
Klabu ya Simba imetoa taatifa kuwa mlinda mlango Aishi Manula alishindwa kusafiri kuelekea Algeria baada ya kupata hitilafu ya kiafya dakika chache kabla ya kuondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Maelezo zaidi kuhusu hali yake yanatarajiwa kutolewa.View attachment 3168806
View attachment 3168805

hahaha hapo lazima wabongo tukapige tunguli wakati labda ana njaa tu hajala cha kutosha siku nzima kwa maandalizi ya safari 😀 😀 😀 😀 😀
 
Wakuu

Mlinda Mlango Aishi Manula sio sehemu ya kikosi kilichoelekea Algeria baada ya changamoto ya Kiafya akiwa Airport

==

Klabu ya Simba imetoa taatifa kuwa mlinda mlango Aishi Manula alishindwa kusafiri kuelekea Algeria baada ya kupata hitilafu ya kiafya dakika chache kabla ya kuondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Maelezo zaidi kuhusu hali yake yanatarajiwa kutolewa.View attachment 3168806
Manula alikuwa sehemu ya kikosi cha nyota 22 wa Simba ambao wameanza safari yao alfajiri ya leo Disemba 4, kuifuata CS Constantine nchini Algeria, kwa ajili ya mechi ya pili ya Kundi A CAFCC
View attachment 3168805
Pia, Soma: Nyota 22 Simba kuifuata CS Constantine Algeria, CAFCC
Kagoma naye nasikia kafuta kila kitu kuhusu Simba, hii ndiyo ubaya ubwela ama nini😂🤣
 
Manula acha kumjaribu Camara,kila kombora utakalompiga litakurudia wewe mwenyewe.......
 
Uyu mchezaji hakutaka kusafiri na timu na ameamua kutafuta njia sahihi ya kubaki bila malumbano.
 
Manula acha kumjaribu Camara,kila kombora utakalompiga likurudia wewe mwenyewe.......

Kwanini tunaamini sana katika ushirikina?

Yaaani hapa mtataka mtu asipelekwe hospitali kuchunguzwa shida iko wapi kwa vile ni ushirikina?
 
Ni kuugua kwa kawaida tu. Ina maana wote waliopo hospitali leo wanerogwa?
 
Back
Top Bottom