Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Salaam wakuu,
Binafsi ninaamini Aishi S Manula ndiye mlindalango bora wa kitanzania kwa sasa ila kuna jambo ananikera sana.
HAWEZI KUCHELEWESHA MUDA (nimemuona kwenye michezo mingi ikiwemo wa jana dhidi ya Benin) yani timu yake inaongoza bao moja na imeelemewa muda wote wanashambuliwa wao kisha anadaka mpira dk ya 75+ hata kulala halali wala kusingizia ameumia badala yake anainuka na kuanzisha mpira haraka unakera.
Ile kuchelewesha muda huwaudhi wachezaji wa timu pinzani na kusababisha kutoka mchezoni kwa namna fulani.
MANULA BADILIKA.
Binafsi ninaamini Aishi S Manula ndiye mlindalango bora wa kitanzania kwa sasa ila kuna jambo ananikera sana.
HAWEZI KUCHELEWESHA MUDA (nimemuona kwenye michezo mingi ikiwemo wa jana dhidi ya Benin) yani timu yake inaongoza bao moja na imeelemewa muda wote wanashambuliwa wao kisha anadaka mpira dk ya 75+ hata kulala halali wala kusingizia ameumia badala yake anainuka na kuanzisha mpira haraka unakera.
Ile kuchelewesha muda huwaudhi wachezaji wa timu pinzani na kusababisha kutoka mchezoni kwa namna fulani.
MANULA BADILIKA.