Ajabu: Aliyejitambulisha kama mfanyakazi wa Airtel huduma kwa wateja kanitukana!

Ajabu: Aliyejitambulisha kama mfanyakazi wa Airtel huduma kwa wateja kanitukana!

Hahaha...nimekuana na hii kesi mida tu, alimpiga dem wangu ila katikati ya maongezi yao nikaitikia ndo mvua ya matusi ilipoanza, kiujumla nimempanikisha sana hadi akakata simu mwenyewe maana kwasasa matusi yao sio kitu kipya tena.
 
Bulungutu la milioni moja hata kama ni efu kumi kumi uliviringishe halafu ulitie mk...uni sidhani kama utakua salama😂😂

Je zikiwa buku 5 au buku mbili mpwa hahahaaa hawa jamaa ni wagunduzi wa matusi
 
Kupitia namba hii 0789348104 mara mbili kanipigia cm saa sita na dakika tatu na saa sita na dakika thelathini na moja akijitambulisha kama ni mfanyakazi wa kampuni ya Airtell kitengo cha Huduma kwa Wateja anaitwa C. Haule ( jina la mwanzo sikulikariri vizuri ila linaanza na hiyo herufi ).

12:03 kwa mara ya kwanza alinipigia na kujitambulisha hivo na aliponiuliza mie nikamwambila naitwa Juma na nipo Kariakoo, akaniuliza kama nimepata ujumbe wowote wa 'Airtell money', nikamwambia ndio nimepokea ( simu ni ya ofisini na haitumiki kwa mambo ya kupokea wala kutuma pesa ), akaniuliza ni kiasi gani nimepokea, nikamweleza nimekisahau mpaka niangalie kwenye simu na kwa kuwa tunaongea inakuwa vigumu ila anisaidie yeye kuiona hiyo pesa, duh!!!!! jamaa akiniambia ninat.....bwa na k.... ya mama yangu.

12:31 akapiga tena na kama mwanzo alijitambulisha hivohivo mie safari hii nikamwambia naitwa Hamisi nipo Mpwapwa. Akaniuliza kama mwanzo kupata ujumbe wa pesa nikamweleza ndio tena shilingi milioni moja basi jamaa akaniambia niende kwa wakala nikaitoe halafu niivingilishe iwe kama sigara na niiiweke ndani ya makalio yangu na akakata simu.
Mara zote kila akimaliza kwa kunitukana anakuwa mkali kwelikweli, najiuliza TCRA wameshindwa kabisa kabisa kuzuia wizi huu?
Umetukana matapeli wakipiga tena ongeza matusi mengine mkuu
 
Kupitia namba hii 0789348104 mara mbili kanipigia cm saa sita na dakika tatu na saa sita na dakika thelathini na moja akijitambulisha kama ni mfanyakazi wa kampuni ya Airtell kitengo cha Huduma kwa Wateja anaitwa C. Haule ( jina la mwanzo sikulikariri vizuri ila linaanza na hiyo herufi ).

12:03 kwa mara ya kwanza alinipigia na kujitambulisha hivo na aliponiuliza mie nikamwambila naitwa Juma na nipo Kariakoo, akaniuliza kama nimepata ujumbe wowote wa 'Airtell money', nikamwambia ndio nimepokea ( simu ni ya ofisini na haitumiki kwa mambo ya kupokea wala kutuma pesa ), akaniuliza ni kiasi gani nimepokea, nikamweleza nimekisahau mpaka niangalie kwenye simu na kwa kuwa tunaongea inakuwa vigumu ila anisaidie yeye kuiona hiyo pesa, duh!!!!! jamaa akiniambia ninat.....bwa na k.... ya mama yangu.

12:31 akapiga tena na kama mwanzo alijitambulisha hivohivo mie safari hii nikamwambia naitwa Hamisi nipo Mpwapwa. Akaniuliza kama mwanzo kupata ujumbe wa pesa nikamweleza ndio tena shilingi milioni moja basi jamaa akaniambia niende kwa wakala nikaitoe halafu niivingilishe iwe kama sigara na niiiweke ndani ya makalio yangu na akakata simu.
Mara zote kila akimaliza kwa kunitukana anakuwa mkali kwelikweli, najiuliza TCRA wameshindwa kabisa kabisa kuzuia wizi huu?
Heading ingekuwa, jinsi tapeli wa njia ya mtandao alivyofeli mipango
 
Matapeli tunasoma Uzi kimya kimya ili tu update matusi
Tusaidie basi mnajuaje kwamba huyu mtu amefanya Transactions? maana karibu muda wote niliowahi kufanya transfer au kuingiziwa pesa (bila kujali aina ya mtandao niliotumia) ndio muda na nyie mliponipigia simu na majaribu yenu ya kitapeli .

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Hivi hawa TCRA wapo humu!? Au haya matatizo hayaripotiwi kwao!?Ina maana hadi leo hii wanaruhusu namba zisizosajiliwa kuendelea kutumika!?? Au kama zimesajiliwa,wanashindwaje kuwakamata hawa watu!? Na kama hizi mamba hazijasajiliwa uzembe no was nano!? Wao TCRA au mitandao ya simu!? kama no mitandao ya simu kwanini wasowajibishwe kwa kulipishwa faini kubwa ili kukomesha huu usumbufu kwa wananchi au kama jukumu no lao TCRA mkurugenzi wa TCRA, naibu na waziri husika wanafanya kazi gani??
 
Tusaidie basi mnajuaje kwamba huyu mtu amefanya Transactions? maana karibu muda wote niliowahi kufanya transfer au kuingiziwa pesa (bila kujali aina ya mtandao niliotumia) ndio muda na nyie mliponipigia simu na majaribu yenu ya kitapeli .

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Usinitafutie kesi bobu au nikupe matusi😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom