Ajabu: Aliyejitambulisha kama mfanyakazi wa Airtel huduma kwa wateja kanitukana!

Ajabu: Aliyejitambulisha kama mfanyakazi wa Airtel huduma kwa wateja kanitukana!

BIG UP mkuu, sijui kwa nini wengine hukimbilia tu kutuma anachokifikiri kabla ya kuchukua hata sekunde tano za kuelewa mada husika.
Huyu anajua kabisa na si chizi kama unavyomfikiria. Amemjibu maswali yake safi kabisa akijua anaongea na tapeli wa mtandaoni. Anachouliza je TCRA wanafanya nini kuhusu kuzuia tatizo hili. Ameleta ujumbe huu kuwatahadharisha watumiaji wa simu za mkononi kwamba utapeli bado upo pale pale.
 
Back
Top Bottom