Ajabu: Aliyejitambulisha kama mfanyakazi wa Airtel huduma kwa wateja kanitukana!

Ajabu: Aliyejitambulisha kama mfanyakazi wa Airtel huduma kwa wateja kanitukana!

Wewe ni chizi yaani umeshindwa kujua kuwa unawasiliana na tapeli?
Huyu anajua kabisa na si chizi kama unavyomfikiria. Amemjibu maswali yake safi kabisa akijua anaongea na tapeli wa mtandaoni. Anachouliza je TCRA wanafanya nini kuhusu kuzuia tatizo hili. Ameleta ujumbe huu kuwatahadharisha watumiaji wa simu za mkononi kwamba utapeli bado upo pale pale.
 
😁😁😁 kwahiyo tukusaidie kuviringisha hiyo milion1?
 
Mara nyingine wanasikiliza sauti ya alipokea simu,ukipokea kingosha ngosha atazungumza utumbo wake wa kitapeli,ukipokea kijanja anakaa kimya na kukata simu.
 
Mm kuna siku wakanipigia bana wakaniambia oohh samahani kuna salio limetumwa kimakosa kwenye account yako!!??
swali la pili wakaniuliza kwani akaunti yako ilikuwa na kiasi gani?
nikawajibu bilioni moja....
nikasikia tusi, ku.ma nyoko....simu ikakatwa....
na Mimi sikukubali nikachukua simu nyingine nikawapigia wakapokea....
nikawatukana mik.undu yenu....
wezi wakubwa nyie nikakata simu..
 
Bulungutu la milioni moja hata kama ni efu kumi kumi uliviringishe halafu ulitie mk...uni sidhani kama utakua salama[emoji23][emoji23]

Je zikiwa buku 5 au buku mbili mpwa hahahaaa hawa jamaa ni wagunduzi wa matusi
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nimetafakari sana hilo tusi, nikabaki naugulia maumivu ya mbavu

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Hawa wajinga wanamatusi mazito, mkishindwa kuelewana bora kata simu mapema kwani atakushushia matusi halafu hakati simu mpaka utakata mwenyewe
mimi alinipigia simu mmoja ana lafudhi ya watu wa kaskazini.. nikawa namskiliza nakumjibu kama anavyotaka.
akaongea kunielekeza nikatoe hela kwa wakala blaa blaa
kibao kama kawaida yao.

mwisho nikamchana acha utapeli
akaanza kunishushia matusi
bwana bwana mi pia matusi nayajua
nilimtukana akaita mwenzie
nae alikula za uso na simu sikukata
walikata wao
 
Haijalishi umeshauriwa nini na huyo ndugu please please usijaribu kuiviringisha milioni iwe kama sigara mzingo wake ni mnene mno
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mm kuna siku wakanipigia bana wakaniambia oohh samahani kuna salio limetumwa kimakosa kwenye account yako!!??
swali la pili wakaniuliza kwani akaunti yako ilikuwa na kiasi gani?
nikawajibu bilioni moja....
nikasikia tusi, ku.ma nyoko....simu ikakatwa....
na Mimi sikukubali nikachukua simu nyingine nikawapigia wakapokea....
nikawatukana mik.undu yenu....
wezi wakubwa nyie nikakata simu..
Hahahaha

Ova
 
hapo mwisho unasema TCRA wameshindwa kabisa kuzuia wizi huu.... sasa mkuu umekwisha jua ni wezi sasa kwanini
unasema mfanyakazi wa airtel kakutukana?
Mkuu, nadhani ungenielewa kwa kufahamu maana ya neno AJABU. Mie nilimtambua kama ni tapeli ndo maana nikawanamjibu hivo. Na hii ni kuufahamisha umma kuwa hawa matapeli wapo kazini mpaka sasa licha ya juhudi zote za usajili wa 'lines' zetu.
 
Huyo Ni Tapeli nasio mfanyakazi wa Airtel
Sawia mkuu, hii ni kuchukua tahadhari kuwa matapeli wa mbinu hii wapo kazini mpaka sasa kwa kuzichafua kampuni za simu.
 
Back
Top Bottom