Ajabu na Kweli, Eti UKAWA Wanaogopa Kununuliwa na CCM

Ajabu na Kweli, Eti UKAWA Wanaogopa Kununuliwa na CCM

Buchanan

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2009
Posts
13,192
Reaction score
1,972
Wewe fikiria kwamba eti mwanamke anaogopa kuonana na mwanaume kisa ni kuogopa kuwa akionana naye tu na jamaa akamwaga sera huyo mwanamke anahisi kwamba hawezi kumkatalia, kwa hiyo dawa yake ni kumkwepa! Huyu mwanamke LAZIMA atakuwa ni DHAIFU kuliko maelezo! By the way, ukiona mwanamke ni mkali sana hasa ukimtaka ujue huyo ni mrahisi kuliko maelezo!

Sasa nirudi kwa habari ya kile kikundi kinachojiita UKAWA, wanajifanya kuwa ni ngangari na ni wazalendo hasa pale wanapotetea "maoni ya wananchi walio wengi" yaani wale 17,000! UKAWA wameenda mbali sana kwenda "kushtaki kwa wananchi," ili mradi tu kutetea kile wanachoamini kuwa nia sahihi!

Ukiangalia kwa haraka haraka utadhani kuwa UKAWA ni dude moja linatisha sana hata ku-capture attention ya watu wengi, lakini hawa jamaa ni wadhaifu hakuna mfano!

Eti wanachoogopa wakirudi pale mjengoni baadhi yao "watanunuliwa na CCM!"

Cha kujiuliza ni hiki: Kama mtu anaweza kununulika kiasi kwamba anaogopa hata eneo la mnada na sio wanunuzi sasa uzalendo wake uko wapi?
Ana tofauti gani na wale walionunuliwa ili kusaini mikataba mibovu ya madini iliyoliingizia taifa hasara?

In short: UKAWA members are just like anyone else, no specialty, weaker than it can be imagined!
You will know them by their DEEDS!
 
Mi siwezi kufikiria hivyo kwa sababu simchukulii mwanamke kama commodity. Wewe mawazo yako ni kuwa mwanamke ni bidhaa ya kununulika lakini kwa mtu yeyote mwenye akili anamheshimu mwanamke. Mind you... huyo mwanamke unayemtolea mfano wa kununulika hapa anaweza kuwa mama yako, dada yako nk...

Jifunze kuheshimu dogo...
 
mwehu huyu sijapata kuona nilitamani sana nafasi ya kuelimisha watu kama ww nimeipata acha nikuambie jifunze mengi kujua vingi
 
mwehu huyu sijapata kuona nilitamani sana nafasi ya kuelimisha watu kama ww nimeipata acha nikuambie jifunze mengi kujua vingi

Kawaelimishe kile kikundi cha UKAWA kiheshimu kazi waliyopewa kwa mujibu wa Sheria!
 
Mzungu Mndali bana....hahaha
 
Mbona CCM wanaogopa kura ya siri! sasa ni nani anaogopa kati ya Ukawa na ccm??
 
Mi siwezi kufikiria hivyo kwa sababu simchukulii mwanamke kama commodity. Wewe mawazo yako ni kuwa mwanamke ni bidhaa ya kununulika lakini kwa mtu yeyote mwenye akili anamheshimu mwanamke. Mind you... huyo mwanamke unayemtolea mfano wa kununulika hapa anaweza kuwa mama yako, dada yako nk...

Jifunze kuheshimu dogo...

Tuseme hujawahi kusikia kuwa mwanamke kahongwa na mwanaume au unatuzingua tu mkuu! Au tuseme hujawahi kusikia kuna watu wanajiuza?
 
Duuuh ,hawa ndio wanaccm
yaweza kuwa hata waziri wa kikwete kaandika hapa
 
Katika nchi za wengine ulitakiwa uwe wodi ya vichaa
Nchi gani hiyo ya ajabu hivyo? Yaani wanaomtukana mwasisi wa taifa hili wasipelekwe kwenye hizo wodi nipelekwe mimi mtoto wa watu msema ukweli?
 
Tuseme hujawahi kusikia kuwa mwanamke kahongwa na mwanaume au unatuzingua tu mkuu! Au tuseme hujawahi kusikia kuna watu wanajiuza?

Ilikuwa na mantiki gani kusema "fikiria mwanamke"? ...kwa nini usingesema "fikiria watu wanaojiuza". Kubali tu kwamba una una dhana potofu juu ya mwanamke na ujifunze kuwaheshimu mama/dada zako...
 
Kwa uelewa wako wa Kiccm unaona sahihi; lakini neno Siri siku zote ni kama sala ya mtu makini kwa wakati wake!!
Wanaojifanya wana siri wanaogopa "kulimbokwa!" Laiti kama Hayati Nelson Mandela angekuwa na roho kama ya wana-UKAWA mpaka leo ubaguzi wa rangi ungeongezeka sana South Africa!
 
Ilikuwa na mantiki gani kusema "fikiria mwanamke"? ...kwa nini usingesema "fikiria watu wanaojiuza". Kubali tu kwamba una una dhana potofu juu ya mwanamke na ujifunze kuwaheshimu mama/dada zako...
Haya mkuu nimekubali yaishe, kwenye neno "mwanamke" badili mind yako itafsiri kuwa ni "mtu," problem solved!
 
Wanaojifanya wana siri wanaogopa "kulimbokwa!" Laiti kama Hayati Nelson Mandela angekuwa na roho kama ya wana-UKAWA mpaka leo ubaguzi wa rangi ungeongezeka sana South Africa!

Kwa hiyo CCM wametumia kulimboka watu ili katika matukio kama hayo iwalazimishe watu kura ya wazi??? Kura za kuchagua wabunge, rais,madiwani na chaguzi zozote hapa nchini ni siri; iweje hili la kuunda katiba??? ni kwa unafiki tu ccm wanajifaliji!!
 
Hawana bei ndo wanunuliwe, wanaogopa kuzomewa ILA wanatamani sana kurudi hao makuzi tu!
 
Back
Top Bottom