Ajabu na Kweli, Eti UKAWA Wanaogopa Kununuliwa na CCM

Ajabu na Kweli, Eti UKAWA Wanaogopa Kununuliwa na CCM

The Beautiful Tanzania Is Never Urs Forever,Take Or Leave It
UKAWA wanataka kugawanya nchi yetu, tuwapinge kwa nguvu zote!
Wao ukiwadodosa sana wanadai kuwa "wanaimarisha Muungano!"
Ni wanafiki hakuna mfano!
 
Wewe ndo msemaji wa UKAWA? Mbona msimamo na sababu zao zinajulikana wazi, sasa hii unayoeleza umeitoa wapi? You can fool some/all the people for some time; but you can't fool all the people all the time.
 
Wewe ndo msemaji wa UKAWA? Mbona msimamo na sababu zao zinajulikana wazi, sasa hii unayoeleza umeitoa wapi? You can fool some/all the people for some time; but you can't fool all the people all the time.
Wanaogopa kununuliwa, only that! Hizo zingine ni sarakasi tu!
 
Mi siwezi kufikiria hivyo kwa sababu simchukulii mwanamke kama commodity. Wewe mawazo yako ni kuwa mwanamke ni bidhaa ya kununulika lakini kwa mtu yeyote mwenye akili anamheshimu mwanamke. Mind you... huyo mwanamke unayemtolea mfano wa kununulika hapa anaweza kuwa mama yako, dada yako nk...

Jifunze kuheshimu dogo...

Ukawa ni wachumiatumba wanajifanya kutumia sisi wanchi kama shield ili wafanikishe mambo yao wameliwa!
 
UKAWA wanataka kugawanya nchi yetu, tuwapinge kwa nguvu zote!
Wao ukiwadodosa sana wanadai kuwa "wanaimarisha Muungano!"
Ni wanafiki hakuna mfano!

Mi nilichokua najua walisema ni watetezi wa wananchi baadae nikaona wanaanza kujichanganya kumbe hata wewe umewashtukia?
 
endelea kupiga kelele mwizi tunamfukuza kimya kimya
UKAWA hamuwafahamu vizuri. Hawa ni watu wachache wenye uchu wa madaraka hata kuliko vyama vingine wanvyovisingizia. Ukitaka kuwafahamu vizuri angalia wenyeviti wao walivyokaa madarakani na wengine wamevunja rekodi katika kugombea urais. Hebu subiri kidogo unisikilizie watakavyoanza kupingana a kupigana vikumbo kwenye majimbo. Kwenye Urais huko ndo balaa. Kwamfano Chadomo wanajiona ni bora kuliko vyama vyote vya upinzani. Cufuri wanajiona mwalim mkuu wao profeza Lee- Pumba ndiye anafaa kuwa Rais na ndo mana kagombea zaidi ya mara nne urais na naishia kuokoteza vikura viwili vitatu. Achana na wachumia tumbo hawa.
 
Back
Top Bottom