Ajabu na Kweli, Eti UKAWA Wanaogopa Kununuliwa na CCM

Ajabu na Kweli, Eti UKAWA Wanaogopa Kununuliwa na CCM

Kati ya watu niliokuwa nafikiri wana busara kidogo ni huyu Buchanan lakini kwa post hii umejiacha uchi, unaonyesha ujitambui na hujui nini mahudhui ya UKAWA.

Tiba
 
and you call this thread??

hakika kuitetea CCM inahitaji uwe na akili ya maiti.
 
Ndugu zangu, watu aina ya Buchanan ni kuachana nao haya na matokeo ya rushwa na elimu duni...Msameheni bure huyu Buchanan wakati ukifika atajifunza. ..there is no permanent situation.
 
jamani hivi bado ccm wanawahitaji ukawa?si wameshasema watatunga katiba wenyewe sasa ukawa wa nini tena??watuache na ukawa wetu!
 
jamani hivi bado ccm wanawahitaji ukawa?si wameshasema watatunga katiba wenyewe sasa ukawa wa nini tena??watuache na ukawa wetu!

hahahaha...ukawaaaaa tisha kama ebolaaaa
 
Naomba kujua umri wa mleta thread maana nataka naimjibu kulingana na umri wake ili iwe fair kwake.
 
Kati ya watu niliokuwa nafikiri wana busara kidogo ni huyu Buchanan lakini kwa post hii umejiacha uchi, unaonyesha ujitambui na hujui nini mahudhui ya UKAWA.

Tiba
UKAWA wakirudi Bungeni ndio nitawaelewa!
 
jamani hivi bado ccm wanawahitaji ukawa?si wameshasema watatunga katiba wenyewe sasa ukawa wa nini tena??watuache na ukawa wetu!
Sheria ndio inawataka wawe Bungeni, sio CCM! Tena Sheria yenyewe walichangia kuitunga wana-UKAWA, sasa sijui walikuwa wanamtungia nani hiyo Sheria huku wenyewe wakikimbilia kutafuta huruma ya wananchi!
 
Naomba kujua umri wa mleta thread maana nataka naimjibu kulingana na umri wake ili iwe fair kwake.
Ulizia kwanza umri wa wana-UKAWA ulinganishe na tabia zao za kukiuka Sheria walizotunga wenyewe!
 
Warudi Bungeni kujadili rasimu ya ccm? Hiyo haiwezekani. Tunataka rasimu ya Warioba na si vinginevyo.
Acha upotoshaji, hakuna kitu kinaitwa "Rasimu ya CCM!" Hiyo hiyo ya Warioba inajadiliwa na kubadilishwa kisha kupitishwa kulingana na hoja za Wajumbe!
 
Acha upotoshaji, hakuna kitu kinaitwa "Rasimu ya CCM!" Hiyo hiyo ya Warioba inajadiliwa na kubadilishwa kisha kupitishwa kulingana na hoja za Wajumbe!

Hiyo kitu inaitwa serikali 2 iko kwenye rasimu ya Warioba? Acha kujilipua wewe!!!!

Tiba
 
Ndugu zangu, watu aina ya Buchanan ni kuachana nao haya na matokeo ya rushwa na elimu duni...Msameheni bure huyu Buchanan wakati ukifika atajifunza. ..there is no permanent situation.
Mkuu,
Ungelijua ninavyoichukia rushwa ungekaa kimya!
 
Kati ya watu niliokuwa nafikiri wana busara kidogo ni huyu Buchanan lakini kwa post hii umejiacha uchi, unaonyesha ujitambui na hujui nini mahudhui ya UKAWA.

Tiba
bora mchawi kuliko mnafiki huyu Buchunan ni mgonjwa akili hajui anachokiandika kabisa naunga na wewe kumdharau na kumupuzia kuanzia leo
 
and you call this thread??

hakika kuitetea CCM inahitaji uwe na akili ya maiti.
Tatizo lenu mnawaza kivyama zaidi! Ukifuatilia Post zangu za huko nyuma utasema mimi ni CHADEMA damu damu, kumbe mimi nafuatilia hoja na kuiunga mkono au kuikataa bila kujali imeletwa na nani. Mnaofia vyama nawapa pole sana!
 
Katika nchi za wengine ulitakiwa uwe wodi ya vichaa

Katika nchi nyingine Wajumbe wa Bunge Maalum la Kutunga Katiba wangekaa Bungeni na kutunga Katiba badala ya kutumia muda mwingi kuzurura mtaani!
 
bora mchawi kuliko mnafiki huyu Buchunan ni mgonjwa akili hajui anachokiandika kabisa naunga na wewe kumdharau na kumupuzia kuanzia leo
Ingekuwa ni bora kujadili hoja kuliko unavyoleta dharau zisizo na maana yoyote!
 
Back
Top Bottom