Ajabu na Kweli, Eti UKAWA Wanaogopa Kununuliwa na CCM

Ajabu na Kweli, Eti UKAWA Wanaogopa Kununuliwa na CCM

Tatizo lenu mnawaza kivyama zaidi! Ukifuatilia Post zangu za huko nyuma utasema mimi ni CHADEMA damu damu, kumbe mimi nafuatilia hoja na kuiunga mkono au kuikataa bila kujali imeletwa na nani. Mnaofia vyama nawapa pole sana!

ubongo wako umeoza mzee.
consult a doctor please.
 
Hiyo kitu inaitwa serikali 2 iko kwenye rasimu ya Warioba? Acha kujilipua wewe!!!!

Tiba

Tiba

Ifike wakati tuanze kuwaelewa CCM na Watetezi wao. Hawa jamaa wako kwenye 'denial state'. HakunaGa state mbaya ambayo mwanadamu anajipata kama 'denial state'. Humphrey Polepole ni miongoni mwa wanaumizwa sana na hii denial state ya CCM. Hatujui watabaki kwenye hii hali mpaka lini.

Hivyo kuna mawili
1. Tuwaache waendelee kujiumiza na hii denial, sisi tufanye yetu
2. Tuwaelimishe ili walau wafike kwenye 'acceptance state' ili tuendelee na safari pamoja.

Kuitambua 'denial state' ya CCM na WanaCCM kutarahisisha safari inayoonekana ni ndefu na ngumu.
 
Tiba

Ifike wakati tuanze kuwaelewa CCM na Watetezi wao. Hawa jamaa wako kwenye 'denial state'. HakunaGa state mbaya ambayo mwanadamu anajipata kama 'denial state'. Humphrey Polepole ni miongoni mwa wanaumizwa sana na hii denial state ya CCM. Hatujui watabaki kwenye hii hali mpaka lini.

Hivyo kuna mawili
1. Tuwaache waendelee kujiumiza na hii denial, sisi tufanye yetu
2. Tuwaelimishe ili walau wafike kwenye 'acceptance state' ili tuendelee na safari pamoja.

Kuitambua 'denial state' ya CCM na WanaCCM kutarahisisha safari inayoonekana ni ndefu na ngumu.
Kwani UKAWA hawako kwenye "denial state?"
 
Tuseme hujawahi kusikia kuwa mwanamke kahongwa na mwanaume au unatuzingua tu mkuu! Au tuseme hujawahi kusikia kuna watu wanajiuza?

Mfano mzuri ni wewe unayejiuza kwa buku 7 kwa siku hapo lumumba
 
Mwoga ni yule anayeogopa vitu viwekwe hadharani! Mbona unataka kubadili mambo hapo?

kwanini uchaguzi mkuu hatupigi kura za wazi?

unahitaji kusoma sana kuhusu demokrasia na aina zake na application zake.

otherwise unasumbuliwa na mahaba ya kiuchama.
 
UKAWA wangekuwa na bongo wangekuwa wanazurura vijiweni
"kushtaki kwa wananchi?"

sovereignty is from the people, bila kushirikisha umma uliotoa mmalaka inaamaanisha hakuna serikali.
imekuaje jambo la kutumia akili ndogo ya darasa la 3 imekushusha hadhi kiasi hichi??
 
watu wengine mnashindwa kufikiri mambo rahisi mno, kama 17,000 hawatoshi, 400 walioko bungeni wanatoshaje
 

sovereignty is from the people, bila kushirikisha umma uliotoa mmalaka inaamaanisha hakuna serikali.
imekuaje jambo la kutumia akili ndogo ya darasa la 3 imekushusha hadhi kiasi hichi??
Kila jambo na wakati wake! UKAWA wanatakiwa Bungeni wao wako busy na "kushtaki kwa wananchi!" Hawajui kuwa muda wa kwenda kwa wananchi bado haujafika. Hizi ni dalili za woga aisee!
 
kwanini uchaguzi mkuu hatupigi kura za wazi?

unahitaji kusoma sana kuhusu demokrasia na aina zake na application zake.

otherwise unasumbuliwa na mahaba ya kiuchama.
Uchaguzi mkuu ni tofauti na Katiba! Hao wananchi mnaodhani mnawapenda sana wanataka waone kwa uwazi kabisa misimamo yenu ni ipi!
 
Polepole tutamjua Buchanan ni nani !!

Hivi bado hukuelewa Ukawa wanataka nini ili warudi bungeni...!!!? mbali na mambo mengine wanataka kudhibitishiwa pasipo na shaka kuwa mjadala wa katiba mpya bungeni utakuwa juu ya rasimu iliyowasilishwa na Jaji Warioba na si vinginevyo. hilo likitimia wataonekana kwenye viwanja vya Bunge.
 
Back
Top Bottom