AJABU: Vyombo vya Habari Tanzania na Watanzania tunavyofuatilia uchaguzi Kenya, tuna maslahi gani haswa?

AJABU: Vyombo vya Habari Tanzania na Watanzania tunavyofuatilia uchaguzi Kenya, tuna maslahi gani haswa?

Wana JF nisaidieni.

Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho...
Umejidharirisha sanaaaa kwa hili bandiko..
 
Uungwana huanzia nyumbani usiwe mwoga wa kufikiri mzembe wewe! rekebisha ya kwako nyumbani kwako kwanza sio kushobokea mambo ya jirani yako!
Wewe hata huelewi kwamba kurekebisha ya nyumbani kutafanikiwa vizuri zaidi kama tukiangalia wenzetu, majirani zetu tunaofanana nao kwa mengi, wameweza vipi pale ambapo sisi bado panatutatiza.

Kenya wana wagombea binafsi, sisi hatuna.

Kenya wana katiba mpya, sisi hatuna.

Kenya wana uwazi mkubwa kwenye kutangaza matokeo, sisi hatuna.

Kenya washapinga matokeo ya uchaguzi wa urais, sisi hatuwezi.

Kenya wamekitoa chama tawala kilichowaongoza tangu uhuru, KANU, sisi hatujaweza.

Kenya wana uraia pacha, sisi hatuna.

Sasa mpaka hapo huoni tu kwamba hata kama tunataka kubadilisha mambo nyumbani tunaweza kujifunza Wakenya wamewezaje kufanya yote hayo ambayo sisi hatujaweza?

Yani unaona nongwa kujifunza kwa jirani yako aliyekuzidi kwa sababu una kiburi cha kutotaka kujifunza kwa wengine tu?
 
Wana JF nisaidieni.

Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho...
Mpuuzi ni Wewe, unaye fikiria kila kitu lazima kiwe na masilahi!
 
Wana JF nisaidieni.

Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho?

Ingelikuwa Marekani ama Uingereza ama China naam maana hawa Wababe wana maslahi kwetu! Misaada, Rushwa, Ulinzi nk.

Kwa uchambuzi wa haraka huenda hii ni dalili ya mnyonge unayetamani hayo ya mwenzako yangeonekena kwako! Ume ya miss mno.. unafurahia na kuburudika anavyofanya mwenzio na mwishowe unashusha pumzi ya nguvu baada ya matokeo ya mwisho na kusema Aaaah! Kweli walichuana.

Sioni labda Wajaluo ama Wamasai walioko Tz wenye ndugu zao Kenya ndio wakafaidika vipi

Hebu tuache ushamba na tuache upuuzi huo!
Kwani kuna shida kujua kinachoendelea kwa jirani???
 
Hebu tuache ushamba
Wakenya wanasema (nukuu kutoka kwa mtangazaji wa KTN), kati ya Matajiri wakubwa sana 100 hapa Ulimwenguni, 50 kati yao wamewekeza Kenya. Sasa nasubiri maelezo ya watangazaji wetu hapa nyumbani wanaiheshimisha vipi Tanzania .
====
Mleta mada ningekuona umeleta hoja ya maana sana kama ungekuja na hoja ya kuifanya Tanzania sehemu nyeti na muhimu katika kukuza uchumi wake na na kuvutia nchi nyingine kuwa na imani kufanya kazi na Tanzania katika kuimarisha maendeleo ya kiuchumi, kisiasa, kidiplomasia, kiteknolojia na kadhalika badala ya kuja na hoja za kusimanga watu!!
 
Wana JF nisaidieni.

Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho...
Halafu inawezekana nawewe una watoto wanakuita Baba,au nawewe huwa unatoa ushauri kwenye vikao vya familia/ukoo
 
Wana JF nisaidieni.

Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya...
Zamani nilikuwa nafuatilia kweli kweli ila saizi sina huo mda maana unakuta tv ya Tzn iko busy na uchaguzi wa Kenya as if hakuna vitu vya maana vya coverage hapa Tanzania..

Sijui wananufaika hasa watu wa habari au laa ila mambo ya maendeleo hakuna anaehangaika kuwahabarisha watu..

Vyombo hivyo vinasubiria Yanga na Simba na ajali zitokee, upuuzi mtupu..
 
Wewe kama unaona ni ushamba na upuuzi endelea na ujenzi wa taifa, pengine huna elimu ya uraia vya kutosha. Chaguzi zote zinafuatiliwa na watu, hata serikali yetu inafuatilia nani atashinda kwasababu ya sera za chama chake na msimamo wake binafsi, kila siku unasikia nchi Sasa imefunguka Ina maana Kuna mtu alikuwa na sera ya kufunga nchi, Kuna mtu sera sake hazikuwa rafiki kwa diplomasia ya kimataifa.

Amekuja mwingine kwenye chama hicho hicho ana msimamo tofauti na Sasa anafungua alipofunga mwenzake. Hata hivyo Kuna mengi ya kujifunza uhuru wa tume na wa vyombo vya habari, na hakuna matumizi ya nguvu na vitisho kutoka vyombo vya dola.

Mwisho tusipangiane Cha kufuatilia wewe kama unapenda maigizo endelea nayo.
Tunafurahia jinsi SANNDUKU la kura linavyoheshimiwa.

Katiba mpya tutaidai Hadi tuipate.

Majirani watuambukize Ari ktk kudai na KUSIMAMIA HAKI ktk Nchi.

Ameeeeen
 
Wana JF nisaidieni.

Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho?

Ingelikuwa Marekani ama Uingereza ama China naam maana hawa Wababe wana maslahi kwetu! Misaada, Rushwa, Ulinzi nk.

Kwa uchambuzi wa haraka huenda hii ni dalili ya mnyonge unayetamani hayo ya mwenzako yangeonekena kwako! Ume ya miss mno.. unafurahia na kuburudika anavyofanya mwenzio na mwishowe unashusha pumzi ya nguvu baada ya matokeo ya mwisho na kusema Aaaah! Kweli walichuana.

Sioni labda Wajaluo ama Wamasai walioko Tanzania wenye ndugu zao Kenya ndio wakafaidika vipi

Hebu tuache ushamba na tuache upuuzi huo!
Tuna maslahi makubwa sana na nchi yoyote jirani. Kujua kiongozi wao ajaye ni jambo muhimu kwetu kama ilivyo muhimu kwao.
Kenya yenye amani, utulivu na uchumi imara ni faida kwetu.
Jaribu hata kuangalia mapato ya serikali kupitia TRA katika vituo vya mipakani na Kenya kama vile Sirari, Namanga, Holili, Tarakea na Horohoro. Hapo ni makusanyo tu. How about faida kwa wananchi na makampuni ya Tanzania?
Kenya ni soko kubwa kwa bidhaa za Tanzania za Chakula na mboga mboga.
Hata sehemu kubwa ya mifugo inayofugwa kaskazini mwa Tanzania, soko lake kubwa ni Kenya.
Kwa hiyo kinachoendelea Kenya, sio uchaguzi tu, chochote, kinatuhusu.
 
Wana JF nisaidieni.

Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho?

Ingelikuwa Marekani ama Uingereza ama China naam maana hawa Wababe wana maslahi kwetu! Misaada, Rushwa, Ulinzi nk.

Kwa uchambuzi wa haraka huenda hii ni dalili ya mnyonge unayetamani hayo ya mwenzako yangeonekena kwako! Ume ya miss mno.. unafurahia na kuburudika anavyofanya mwenzio na mwishowe unashusha pumzi ya nguvu baada ya matokeo ya mwisho na kusema Aaaah! Kweli walichuana.

Sioni labda Wajaluo ama Wamasai walioko Tanzania wenye ndugu zao Kenya ndio wakafaidika vipi

Hebu tuache ushamba na tuache upuuzi huo!
Kwa sababu wewe ni mjinga huwezi ona faida ya kufuatilia uchaguzi wa Kenya.
 
Wana JF nisaidieni.

Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho?

Ingelikuwa Marekani ama Uingereza ama China naam maana hawa Wababe wana maslahi kwetu! Misaada, Rushwa, Ulinzi nk.

Kwa uchambuzi wa haraka huenda hii ni dalili ya mnyonge unayetamani hayo ya mwenzako yangeonekena kwako! Ume ya miss mno.. unafurahia na kuburudika anavyofanya mwenzio na mwishowe unashusha pumzi ya nguvu baada ya matokeo ya mwisho na kusema Aaaah! Kweli walichuana.

Sioni labda Wajaluo ama Wamasai walioko Tanzania wenye ndugu zao Kenya ndio wakafaidika vipi

Hebu tuache ushamba na tuache upuuzi huo!
Kwa sababu wewe ni mjinga huwezi ona faida ya kufuatilia uchaguzi wa Kenya.
Kenya ni jirani yako na hapa ni Africa utakua mpuuzi kupuuzia yanayoendelea kwa jirani yako ambayo yanaweza kukuathiri mambo ya kinda vibaya. Kumbuka pia tuko na kenya ndani ya EAC.

Kuna ya kujifunza kutokana na uchaguzi unavyo endeshwa kwa jirani yako. Kuna wanaotaka kutuaminisha kwamba hapa kwetu mambo yako poa na kama wewe hawataki tujue kinacho endelea huko.
Safi sana.
 
Wana JF nisaidieni.

Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho?

Ingelikuwa Marekani ama Uingereza ama China naam maana hawa Wababe wana maslahi kwetu! Misaada, Rushwa, Ulinzi nk.

Kwa uchambuzi wa haraka huenda hii ni dalili ya mnyonge unayetamani hayo ya mwenzako yangeonekena kwako! Ume ya miss mno.. unafurahia na kuburudika anavyofanya mwenzio na mwishowe unashusha pumzi ya nguvu baada ya matokeo ya mwisho na kusema Aaaah! Kweli walichuana.

Sioni labda Wajaluo ama Wamasai walioko Tanzania wenye ndugu zao Kenya ndio wakafaidika vipi

Hebu tuache ushamba na tuache upuuzi huo!
Tunafuatilia wenye siasa za kistaarabu sio zile za yule kichaa!
 
Tuna maslahi makubwa sana na nchi yoyote jirani. Kujua kiongozi wao ajaye ni jambo muhimu kwetu kama ilivyo muhimu kwao.
Kenya yenye amani, utulivu na uchumi imara ni faida kwetu.
Jaribu hata kuangalia mapato ya serikali kupitia TRA katika vituo vya mipakani na Kenya kama vile Sirari, Namanga, Holili, Tarakea na Horohoro. Hapo ni makusanyo tu. How about faida kwa wananchi na makampuni ya Tanzania?
Kenya ni soko kubwa kwa bidhaa za Tanzania za Chakula na mboga mboga.
Hata sehemu kubwa ya mifugo inayofugwa kaskazini mwa Tanzania, soko lake kubwa ni Kenya.
Kwa hiyo kinachoendelea Kenya, sio uchaguzi tu, chochote, kinatuhusu.
Uchambuzi ulioenda shule huu.
 
Wana JF nisaidieni.

Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho?

Ingelikuwa Marekani ama Uingereza ama China naam maana hawa Wababe wana maslahi kwetu! Misaada, Rushwa, Ulinzi nk.

Kwa uchambuzi wa haraka huenda hii ni dalili ya mnyonge unayetamani hayo ya mwenzako yangeonekena kwako! Ume ya miss mno.. unafurahia na kuburudika anavyofanya mwenzio na mwishowe unashusha pumzi ya nguvu baada ya matokeo ya mwisho na kusema Aaaah! Kweli walichuana.

Sioni labda Wajaluo ama Wamasai walioko Tanzania wenye ndugu zao Kenya ndio wakafaidika vipi

Hebu tuache ushamba na tuache upuuzi huo!
Vy kwenu si mlizuia visitangaze habari yoyote ya Upinzani?

Sasa yako wapi.

Dunia tunapita.
 
Back
Top Bottom