Umejidharirisha sanaaaa kwa hili bandiko..Wana JF nisaidieni.
Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho...
Kwani covid19 walivyojidhalilisha Unaonaje,Kila anayeongea ukweli una mwona mbaya 🤔Umejidharirisha sanaaaa kwa hili bandiko..
Wewe hata huelewi kwamba kurekebisha ya nyumbani kutafanikiwa vizuri zaidi kama tukiangalia wenzetu, majirani zetu tunaofanana nao kwa mengi, wameweza vipi pale ambapo sisi bado panatutatiza.Uungwana huanzia nyumbani usiwe mwoga wa kufikiri mzembe wewe! rekebisha ya kwako nyumbani kwako kwanza sio kushobokea mambo ya jirani yako!
Mpuuzi ni Wewe, unaye fikiria kila kitu lazima kiwe na masilahi!Wana JF nisaidieni.
Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho...
Mbona Malawi au Congo hamfuatilii hivyoWewe kama unaona ni ushamba na upuuzi endelea na ujenzi wa taifa, pengine huna elimu ya uraia vya kutosha. Chaguzi zote zinafuatiliwa na watu...
Kwani kuna shida kujua kinachoendelea kwa jirani???Wana JF nisaidieni.
Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho?
Ingelikuwa Marekani ama Uingereza ama China naam maana hawa Wababe wana maslahi kwetu! Misaada, Rushwa, Ulinzi nk.
Kwa uchambuzi wa haraka huenda hii ni dalili ya mnyonge unayetamani hayo ya mwenzako yangeonekena kwako! Ume ya miss mno.. unafurahia na kuburudika anavyofanya mwenzio na mwishowe unashusha pumzi ya nguvu baada ya matokeo ya mwisho na kusema Aaaah! Kweli walichuana.
Sioni labda Wajaluo ama Wamasai walioko Tz wenye ndugu zao Kenya ndio wakafaidika vipi
Hebu tuache ushamba na tuache upuuzi huo!
Wakenya wanasema (nukuu kutoka kwa mtangazaji wa KTN), kati ya Matajiri wakubwa sana 100 hapa Ulimwenguni, 50 kati yao wamewekeza Kenya. Sasa nasubiri maelezo ya watangazaji wetu hapa nyumbani wanaiheshimisha vipi Tanzania .Hebu tuache ushamba
Halafu inawezekana nawewe una watoto wanakuita Baba,au nawewe huwa unatoa ushauri kwenye vikao vya familia/ukooWana JF nisaidieni.
Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho...
Zamani nilikuwa nafuatilia kweli kweli ila saizi sina huo mda maana unakuta tv ya Tzn iko busy na uchaguzi wa Kenya as if hakuna vitu vya maana vya coverage hapa Tanzania..Wana JF nisaidieni.
Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya...
Tunafurahia jinsi SANNDUKU la kura linavyoheshimiwa.Wewe kama unaona ni ushamba na upuuzi endelea na ujenzi wa taifa, pengine huna elimu ya uraia vya kutosha. Chaguzi zote zinafuatiliwa na watu, hata serikali yetu inafuatilia nani atashinda kwasababu ya sera za chama chake na msimamo wake binafsi, kila siku unasikia nchi Sasa imefunguka Ina maana Kuna mtu alikuwa na sera ya kufunga nchi, Kuna mtu sera sake hazikuwa rafiki kwa diplomasia ya kimataifa.
Amekuja mwingine kwenye chama hicho hicho ana msimamo tofauti na Sasa anafungua alipofunga mwenzake. Hata hivyo Kuna mengi ya kujifunza uhuru wa tume na wa vyombo vya habari, na hakuna matumizi ya nguvu na vitisho kutoka vyombo vya dola.
Mwisho tusipangiane Cha kufuatilia wewe kama unapenda maigizo endelea nayo.
Tuna maslahi makubwa sana na nchi yoyote jirani. Kujua kiongozi wao ajaye ni jambo muhimu kwetu kama ilivyo muhimu kwao.Wana JF nisaidieni.
Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho?
Ingelikuwa Marekani ama Uingereza ama China naam maana hawa Wababe wana maslahi kwetu! Misaada, Rushwa, Ulinzi nk.
Kwa uchambuzi wa haraka huenda hii ni dalili ya mnyonge unayetamani hayo ya mwenzako yangeonekena kwako! Ume ya miss mno.. unafurahia na kuburudika anavyofanya mwenzio na mwishowe unashusha pumzi ya nguvu baada ya matokeo ya mwisho na kusema Aaaah! Kweli walichuana.
Sioni labda Wajaluo ama Wamasai walioko Tanzania wenye ndugu zao Kenya ndio wakafaidika vipi
Hebu tuache ushamba na tuache upuuzi huo!
Kwa sababu wewe ni mjinga huwezi ona faida ya kufuatilia uchaguzi wa Kenya.Wana JF nisaidieni.
Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho?
Ingelikuwa Marekani ama Uingereza ama China naam maana hawa Wababe wana maslahi kwetu! Misaada, Rushwa, Ulinzi nk.
Kwa uchambuzi wa haraka huenda hii ni dalili ya mnyonge unayetamani hayo ya mwenzako yangeonekena kwako! Ume ya miss mno.. unafurahia na kuburudika anavyofanya mwenzio na mwishowe unashusha pumzi ya nguvu baada ya matokeo ya mwisho na kusema Aaaah! Kweli walichuana.
Sioni labda Wajaluo ama Wamasai walioko Tanzania wenye ndugu zao Kenya ndio wakafaidika vipi
Hebu tuache ushamba na tuache upuuzi huo!
Kwa sababu wewe ni mjinga huwezi ona faida ya kufuatilia uchaguzi wa Kenya.Wana JF nisaidieni.
Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho?
Ingelikuwa Marekani ama Uingereza ama China naam maana hawa Wababe wana maslahi kwetu! Misaada, Rushwa, Ulinzi nk.
Kwa uchambuzi wa haraka huenda hii ni dalili ya mnyonge unayetamani hayo ya mwenzako yangeonekena kwako! Ume ya miss mno.. unafurahia na kuburudika anavyofanya mwenzio na mwishowe unashusha pumzi ya nguvu baada ya matokeo ya mwisho na kusema Aaaah! Kweli walichuana.
Sioni labda Wajaluo ama Wamasai walioko Tanzania wenye ndugu zao Kenya ndio wakafaidika vipi
Hebu tuache ushamba na tuache upuuzi huo!
Safi sana.Kenya ni jirani yako na hapa ni Africa utakua mpuuzi kupuuzia yanayoendelea kwa jirani yako ambayo yanaweza kukuathiri mambo ya kinda vibaya. Kumbuka pia tuko na kenya ndani ya EAC.
Kuna ya kujifunza kutokana na uchaguzi unavyo endeshwa kwa jirani yako. Kuna wanaotaka kutuaminisha kwamba hapa kwetu mambo yako poa na kama wewe hawataki tujue kinacho endelea huko.
Tunafuatilia wenye siasa za kistaarabu sio zile za yule kichaa!Wana JF nisaidieni.
Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho?
Ingelikuwa Marekani ama Uingereza ama China naam maana hawa Wababe wana maslahi kwetu! Misaada, Rushwa, Ulinzi nk.
Kwa uchambuzi wa haraka huenda hii ni dalili ya mnyonge unayetamani hayo ya mwenzako yangeonekena kwako! Ume ya miss mno.. unafurahia na kuburudika anavyofanya mwenzio na mwishowe unashusha pumzi ya nguvu baada ya matokeo ya mwisho na kusema Aaaah! Kweli walichuana.
Sioni labda Wajaluo ama Wamasai walioko Tanzania wenye ndugu zao Kenya ndio wakafaidika vipi
Hebu tuache ushamba na tuache upuuzi huo!
Uchambuzi ulioenda shule huu.Tuna maslahi makubwa sana na nchi yoyote jirani. Kujua kiongozi wao ajaye ni jambo muhimu kwetu kama ilivyo muhimu kwao.
Kenya yenye amani, utulivu na uchumi imara ni faida kwetu.
Jaribu hata kuangalia mapato ya serikali kupitia TRA katika vituo vya mipakani na Kenya kama vile Sirari, Namanga, Holili, Tarakea na Horohoro. Hapo ni makusanyo tu. How about faida kwa wananchi na makampuni ya Tanzania?
Kenya ni soko kubwa kwa bidhaa za Tanzania za Chakula na mboga mboga.
Hata sehemu kubwa ya mifugo inayofugwa kaskazini mwa Tanzania, soko lake kubwa ni Kenya.
Kwa hiyo kinachoendelea Kenya, sio uchaguzi tu, chochote, kinatuhusu.
Kuna ccm anayejifunza kitu. Ni sawa na kumkuta shetani anasali rozari!Labda Mahera atajifunza kitu.. Ataacha wizi. Na kuficha kura za rais
Yaani hii kitu ya kupita bila kupingwa ni upumbavu mkubwa Sana, halafu huwa hawana aibu kusema hivyo. Rubbish kabisa!Na mwisho wa siku hata hatujifunzi kitu na tunaendelea na mambo ya kupita bila kupingwa.
Vy kwenu si mlizuia visitangaze habari yoyote ya Upinzani?Wana JF nisaidieni.
Asubuhi mchana usiku taarifa za maendeleo ya Uchaguzi Kenya katika vyombo vya habari hapa Tz hadi kushangaza. Labda niko nyuma ya wengine lakini najiuliza ni lipi hasa la kutufanya tushabikie na kushobokea uchaguzi wa wenzetu kwa kiasi hicho?
Ingelikuwa Marekani ama Uingereza ama China naam maana hawa Wababe wana maslahi kwetu! Misaada, Rushwa, Ulinzi nk.
Kwa uchambuzi wa haraka huenda hii ni dalili ya mnyonge unayetamani hayo ya mwenzako yangeonekena kwako! Ume ya miss mno.. unafurahia na kuburudika anavyofanya mwenzio na mwishowe unashusha pumzi ya nguvu baada ya matokeo ya mwisho na kusema Aaaah! Kweli walichuana.
Sioni labda Wajaluo ama Wamasai walioko Tanzania wenye ndugu zao Kenya ndio wakafaidika vipi
Hebu tuache ushamba na tuache upuuzi huo!
Na wanafurahia kabisa.Yaani hii kitu ya kupita bila kupingwa ni upumbavu mkubwa Sana, halafu huwa hawana aibu kusema hivyo. Rubbish kabisa!