Ajali: Basi la Asante Rabbi lagonga Canter maeneo ya mzani wa Njiku Singida usiku huu

Ajali: Basi la Asante Rabbi lagonga Canter maeneo ya mzani wa Njiku Singida usiku huu

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Tumepita sasa hivi hapo, Basi la Asante Rabbi linalofanya safari zake Arusha Mwanza, limegonga Canter baada ya dereva wa basi hilo kujaribu ku-overtake.

Mtu mmoja mwanaume amelala chini pembezoni mwa ajali huku akiwa hajitambui.

Maafisa wa jeshi la polisi wamefika eneo la tukio.

Taarifa zaidi watazitoa wenye mamlaka
 
Hakuna ulimwengu wa roho una ratibu ajali hizi kweli?Kipagani kabla ya safari pita kwa mganga akuangalizie njia.Nje na hapo madereva tutawalaumu sana lakini kama ulimwengu wa roho una mpango dereva tutamlaumu bure kwani naye siye chanzo bali anatumiwa kama ilivotabiriwa kuzaliwa kwa YESU kupitia kwa bikira yule Mariamu.
 
Madereva kuovertake hawaachi kabisa.Adhabu ziwe kali Kwa wa overtake wafungiwe leseni zao mwaka mmoja
 
Back
Top Bottom