Ajali iliyohusisha Magari Nane, maelezo ya Polisi yanatia shaka

Hawa polisi wetu akili zao wanazijua wenyewe, maneno "Ashok Leyland" aliyoandika manufacturer ni kama hayatoshi wametumia pesa kurudia maandishi yaleyale wakati kuna magari yao mengine yanakosa spare na service

 
Tatizo hawa wenzetu wa PT wanajifanyaga wapo Juu ya sheria
 
Ukisoma maelezo ambayo kimsingi yameandikwa na kupitishwa na mtu mwenye cheo kikubwa ni lazima ukubaliane na hoja ya Prof. Assad juu ya ile hoja yake ya 60% ya wafanyakazi wa umma.

Pia inatoa picha ya upande wa pili ambayo ni mbaya zaidi kuwa ndugu zetu wengi walioko magerezani makosa yao yanahukumiwa kwenye tukio (kama dereva wa lori) kutegemea utashi wa ofisa aliyepo hata kama ushahidi unasupport kiasi gani uko wazi kama hizi picha zilivyo.

God have mercy on us
 
Ukisoma maelezo ambayo kimsingi yameandikwa na kupitishwa na mtu mwenye cheo kikubwa ni lazima ukubaliane na hoja ya Prof. Assad juu ya ile hoja yake ya 60% ya wafanyakazi wa umma.
Naomba nikumbushe tafadhali
 
kwa maelezo tajwa, dereva na lori lilihusishwa kuovertake halipo hapo..ukisoma tela no according to hiyo report na ukiangalia trailer iliyopo pichani haziwiani usajili.. huyo aliyehama na kwenda kubusanisha vyuma alitanua kulia badala ya kushoto baada ya gari ya mbele yake kusimama ghafla.. ishu kubwa hapo ni mwendo waliokuwa nao walinda usalama wa raia na mali zao, walikuwa mwendo wa msafara bila kisafisha njia wala strobes ..yaani mtaani tunasema walikuwa wanamwaga moto bila king'ora wala vimulimuli. hivyo basi, huyo deree aliyeacha zahma huko nyuma (inasemekana aliosha yaani chap kwa haraka )asibebeshwe zigo lote ..makosa ya kibinadamu yalitokea pande zote ..situation awareness and defensive driving haikukamilika kotekote.
 
Peleka upumbavu wako huko,kusoma hujui hata picha ?

Gari lenye tela ambalo liko kwenye njia yake siyo lililotajwa kwenye ripoti ya polisi kwa mjibu wa namba za tela hilo.

Je unafikiaje mwafaka hapo?
Kuwa makini na majibu yako na kuwa mtulivu unaposoma maelezo ya wenzio.

Usipende uwezo wako wa kufikiri uwe ndo wa wengine. Toa maoni yaki kwa kadri ya uwezo wako inatosha.

Huyu unaemwona hapo amegonga lori inawezekana siyo chanzo cha ajali yenyewe, yeye kwa spidi aliyokuwanayo ametoka nyuma ya leyland/bus akaingia kulia ili kuepusha kuingia nyuma ya basi mwenzake na kukutana na lori.

Hizi ni static pictures, tuwe makini.

Kama unaweza tafuta namba ya tela tajwa kwenye ripoti kama utaipata hapo. Hivyo, kuna vitu haviko sawa kama ukisoma ripoti vs picha.

Ni kweli kuwa ukiingia/kugonga nyuma ya gari la mbele yako bado makosa ni yako kwa kuhusisha umbali vs spidi yako.
 
Ila huyo dereva wa howo ni muhuni sana kawaachia mapoti waseme na tela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaaa naona aliona wanakuja kwa mbwebwe akawaachia tela
 
Hiyo HOWO ikowapi kwani naona kila mtu dereva wa HOWO mara hivi mara vile kwenye hizo picha mi nimeona kichwa cha lorry ni FAW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…