peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
RTO Mtwara watanzania wanasubiri majibu ya swali hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu speed sio tatizo mama,hawa politicians na watendaji wasikufanye na wewe uwe unapenda majibu rahisi, tatizo letu barabara zetu ni mbovu, magari mengi yapo unroadworthy, overloading, law enforces wengi wana cancer ya rushwa, miaka ya 80s buses hasa route ya Dar to Iringa yalikuwa yanatumia 10hrs kwa sababu barabara zilikua Safi, na matengenezo Safi,nakumbuka bus za railways zilikuwa zikifika mikumi lazima ziende garage zikaangaliwe,utaratibu huu ulikua ni standard na zile za kwenda mbeya na kyela lazima zikaguliwe tena pale Iringa workshop, nini kiliua hili shirika na standard hizi ni debate for another day, Speed SIO tatizo pekee otherwise wasingetuwekea speed ya 200 kwenye magariHata mwendo wa mabasi yetu ni hatarishi Sana, mabasi ni majeneza yanayotembea. Sijui speed limit iliishia wapi??
Ni HIACE...RTO Mtwara watanzania wanasubiri majibu ya swali hili.
Watoto 30 sawa na watu wazima 15, waunganishe watoto wawili wawili mmoja chini mwingine mpandishe mabegani kwa mwenzake kisha wapime uzito utakuta wana kilo 50.RTO Mtwara watanzania wanasubiri majibu ya swali hili.
Askari hawakuionaRTO Mtwara watanzania wanasubiri majibu ya swali hili.
Hata mwendo wa mabasi yetu ni hatarishi Sana, mabasi ni majeneza yanayotembea. Sijui speed limit iliishia wapi??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu hii chai sasaKibongobongo hiace inabeba mpaka abiria 100
Ova
Mkuu speed sio tatizo mama,hawa politicians na watendaji wasikufanye na wewe uwe unapenda majibu rahisi, tatizo letu barabara zetu ni mbovu, magari mengi yapo unroadworthy, overloading, law enforces wengi wana cancer ya rushwa, miaka ya 80s buses hasa route ya Dar to Iringa yalikuwa yanatumia 10hrs kwa sababu barabara zilikua Safi, na matengenezo Safi,nakumbuka bus za railways zilikuwa zikifika mikumi lazima ziende garage zikaangaliwe,utaratibu huu ulikua ni standard na zile za kwenda mbeya na kyela lazima zikaguliwe tena pale Iringa workshop, nini kiliua hili shirika na standard hizi ni debate for another day, Speed SIO tatizo pekee otherwise wasingetuwekea speed ya 200 kwenye magari
Serikali iweke miundombinu bora.Hata mwendo wa mabasi yetu ni hatarishi Sana, mabasi ni majeneza yanayotembea. Sijui speed limit iliishia wapi??
Speed Kali ndio tatizo kuu la ajali zote zinazotokea nchini !! Kama barabara ni mbovu maana yake ndio hutakiwi kabisa kuendesha kwa speed kubwa !Mkuu speed sio tatizo mama,hawa politicians na watendaji wasikufanye na wewe uwe unapenda majibu rahisi, tatizo letu barabara zetu ni mbovu, magari mengi yapo unroadworthy, overloading, law enforces wengi wana cancer ya rushwa, miaka ya 80s buses hasa route ya Dar to Iringa yalikuwa yanatumia 10hrs kwa sababu barabara zilikua Safi, na matengenezo Safi,nakumbuka bus za railways zilikuwa zikifika mikumi lazima ziende garage zikaangaliwe,utaratibu huu ulikua ni standard na zile za kwenda mbeya na kyela lazima zikaguliwe tena pale Iringa workshop, nini kiliua hili shirika na standard hizi ni debate for another day, Speed SIO tatizo pekee otherwise wasingetuwekea speed ya 200 kwenye magari
Hadhari ni muhimu sana kutunza maisha ya watu ambao wamekabidhi maisha yao uyaendeshe. Barabara za sasa ni nzuri kuliko za zamani zile za vumbi na mchanga. Mwaka 1967 ukitoka Iringa saa 2 asubuhi kamili unafika Dar saa 2 usiku kama gari halijakwama njiani kwenye matope. Vituo vilikuwa Mikumi (saa moja kwa ajili ya chakula), Morogoro na Chalinze (kwa ajili ya chai pale kwenye misufi kwa Mwarabu). Ila safari ilikuwa salama. Dereva wa bus ya Railway alikuwa hakabidhiwi kuendesha bus mpaka awe kaendesha magari ya mizigo, ikiitwa Goods, si chini ya miaka 10 na mshahara wa dereva wa bus wakati huo anawazidi makarani ofisini! Kusafiri ilikuwa raha kama "outing" . Standards (viwango) zilikuwa hazitaniwi kama sasa.Mkuu speed sio tatizo mama,hawa politicians na watendaji wasikufanye na wewe uwe unapenda majibu rahisi, tatizo letu barabara zetu ni mbovu, magari mengi yapo unroadworthy, overloading, law enforces wengi wana cancer ya rushwa, miaka ya 80s buses hasa route ya Dar to Iringa yalikuwa yanatumia 10hrs kwa sababu barabara zilikua Safi, na matengenezo Safi,nakumbuka bus za railways zilikuwa zikifika mikumi lazima ziende garage zikaangaliwe,utaratibu huu ulikua ni standard na zile za kwenda mbeya na kyela lazima zikaguliwe tena pale Iringa workshop, nini kiliua hili shirika na standard hizi ni debate for another day, Speed SIO tatizo pekee otherwise wasingetuwekea speed ya 200 kwenye magari