Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Wale wazee wa road trip ambao mmepanga kutumia barabara ya Morogoro.
Wale wakazi wa kuanzia Kimara Mwisho kuelekea Mbezi Mwisho.
Kuna ajali ya lori maeneo ya Kimara Mwisho usawa wa kituo cha BRT kiasi kwamba inalazimu magari yanayotoka mjini kutumia Lane ya BRT kuingilia Kimara Korogwe.
Hivyo kama hupendi kugamble unaweza ukatumia barabara mbadala za Goba/Kinyerezi kukufikisha Mbezi Mwisho na ukanyoosha mguu kutafuta Morogoro na kuendelea.
Wale wakazi wa kuanzia Kimara Mwisho kuelekea Mbezi Mwisho.
Kuna ajali ya lori maeneo ya Kimara Mwisho usawa wa kituo cha BRT kiasi kwamba inalazimu magari yanayotoka mjini kutumia Lane ya BRT kuingilia Kimara Korogwe.
Hivyo kama hupendi kugamble unaweza ukatumia barabara mbadala za Goba/Kinyerezi kukufikisha Mbezi Mwisho na ukanyoosha mguu kutafuta Morogoro na kuendelea.