Ajali Korogwe: Madaktari walipigiwa simu saa nne usiku wakafika saa kumi na moja

Povu limukutoka ukisikia jina la mwamba huwa unachanganyikiwa sana. Alikufanya nn huyu Baba!??
ama akikuachia kachanga!?
Hatumpunzishi huyu bazazi kamwe. Alitaka kuharibu nchi yetu kwa kuleta chuki za Kirundi. Halafu usimwite mwamba, àngekuwa mwamba asingekufa kwa kamasi corona
 
Sawa mzee, ila tambua kwamba kusifia kupitiliza na kukosoa kupitiliza vyote ni ukosefu wa akili
Kila mmoja ashinde mechi zake, wa kusifia sifieni, sisi hatumpumzishi DIKTETA
 
Procurement procedure ziko intact
 
Sijui ni mimi ndio nimeielewa hii habari vibaya au kuna watu wana matatizo ya akili

Nahisi nimemsikia RC anadai Doctors waliitwa Hospital sio eneo la accident
Anashutumiwa DMO na Medical Officer In charge hawakufika ontime, swali la kujiuliza, kwani bila wao huduma za matibabu hazitolewi?? Hapo hospitalini hakuwepo na daktari wa zamu usiku huo? kama madaktari wa zamu walikuwepo na majeruhi wamepewa huduma, sidhani kama DMO atakuwa na hatia ukizingatia yeye role yake ni more managerial than attending patients.
 
Huko rombo wazee wanasema wifi Yao inaonyesha kulikuwa na shida kubwa Sasa sijui tuanzie wapi
 
Duh
 
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Omari Mgumba aliye wasimamisha kazi DMO na Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Korogwe ametenguliwa kwa mujibu wa mkeka wa leo.

Waiokuuwa wanatetea maamuzi ya kuwasimamisha hawa Maofisa, njooni kwenye huu Uzi msome ujinga wenu tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…