Hatumpunzishi huyu bazazi kamwe. Alitaka kuharibu nchi yetu kwa kuleta chuki za Kirundi. Halafu usimwite mwamba, àngekuwa mwamba asingekufa kwa kamasi coronaPovu limukutoka ukisikia jina la mwamba huwa unachanganyikiwa sana. Alikufanya nn huyu Baba!??
ama akikuachia kachanga!?
Uweke hapaUngeuliza kwanza taratibu za kazi za watu uelekezwe, usije ukafikiri utaratibu wa kufanya kazi wa Daktari upo kama wa Fundi ujenzi
Kila mmoja ashinde mechi zake, wa kusifia sifieni, sisi hatumpumzishi DIKTETASawa mzee, ila tambua kwamba kusifia kupitiliza na kukosoa kupitiliza vyote ni ukosefu wa akili
Procurement procedure ziko intactAngekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:
Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.
Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.
Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.
"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"
USSR
Utakuwa mgonjwa ww sio bure!Kila mmoja ashinde mechi zake, wa kusifia sifieni, sisi hatumpumzishi DIKTETA
Anashutumiwa DMO na Medical Officer In charge hawakufika ontime, swali la kujiuliza, kwani bila wao huduma za matibabu hazitolewi?? Hapo hospitalini hakuwepo na daktari wa zamu usiku huo? kama madaktari wa zamu walikuwepo na majeruhi wamepewa huduma, sidhani kama DMO atakuwa na hatia ukizingatia yeye role yake ni more managerial than attending patients.Sijui ni mimi ndio nimeielewa hii habari vibaya au kuna watu wana matatizo ya akili
Nahisi nimemsikia RC anadai Doctors waliitwa Hospital sio eneo la accident
Waliopigiwa simu ni Mganga Mkuu wa wilaya (DMO), Hana zamu ya usiku yeye na wala hatibu wagonjwa.Ingekuwa si yao wangepigiwa?
Kujitia vidole nimekuachia wewekajitie kidole unuse jinsi unavyonuka upumbavu.
Unafananisha kazi za wito na hiyo biashara yako ya kuuza mwili!!!!
DuhMkuu,
Madaktari hawahusiki kufika eneo la tukio, kikosi cha uokozi na zimamoto ndio kazi yao, kazi ya DMO na timu yake ni kuweka sawa mazingira ya kupokea wagonjwa emergency na casuality unit, kufanya triage, kuandaa vyumba vya upasuaji wa dharura, kuandaa dawa, madaktari n.k
Wamewaonea tu, daktari aende huko kufanya nini? Atatundika damu au NS kwenye nini? Anavifaa vya kuvunja nondo, ana vifaa vya kuinulia gani iliyopinduka?
Miongozo ya tiba haipo hivyo. Kama wangetelekeza wagonjwa waliofikishwa hospitalini ingekuwa msala wao, hapo mkuu wa mkoa anafanya siasa tu.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Omari Mgumba aliye wasimamisha kazi DMO na Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Korogwe ametenguliwa kwa mujibu wa mkeka wa leo.Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:
Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.
Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.
Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.
"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"
USSR