Ajali Korogwe: Madaktari walipigiwa simu saa nne usiku wakafika saa kumi na moja

Ajali Korogwe: Madaktari walipigiwa simu saa nne usiku wakafika saa kumi na moja

Wewe ni mk×*du!

Hospitali lazima iwe na. Kitengo cha dharula....kama daktari ameajiriwa kuufanya udaktari!

Hiyo kazi nyingine ambayo hawezi kuiacha na kuwahi kuokoa uhai wa watu kwa dharula ni ipi?

Nchi hii kwa sasa tunaipeleka kike kike tu!

Pumbavu zao hao madaktari!

Sasa wacha wakapambane na hali zao mitaani!

Tunao vijana mitaani wamekalia CV"S kwa maelfu!
Watajaza hizo nafasi chap!

Sasa hawa wazembe,unaowatetea wewe Stuxnet wachukuweni wawatumikie nyinyi wapinga Magufuli!

Au wakawe madaktari wa Lissu!

Inawezekana hata wao walikuwa vyeti feki kama wewe Stuxnet

Mleta mada yuko sahihi,kipindi cha ...
Magufuli (R.I.P ) huu upumbavu ulikoma kabisa!

Sasa ni enzi ya Wazembe,Mafisadi na watoto wajingawajinga wa Single Mama!
View attachment 2508985
Kamfufue
 
Wapi nimeandika wahanga wewe pimbi?
Matusi haijawahi kuwa njia sahihi ya kufikisha ujumbe! Otherwise utaonekana mpumbavu tu! Nimeandika kumrejea uliyemnukuu ungejila muda ungeelewa kabla ya kunifananisha na mnyama pimbi
 
Matusi haijawahi kuwa njia sahihi ya kufikisha ujumbe! Otherwise utaonekana mpumbavu tu! Nimeandika kumrejea uliyemnukuu ungejila muda ungeelewa kabla ya kunifananisha na mnyama pimbi
Kaka hujui kuandika halafu unakosoa wenzio "ungejila"
 
Typing

Ukikoncentrate kwenye hizo typing error badala ya kujadili mada iliyopo mezani unadhihirisha how narrow minded you are! Jikite kwenye Mada ndugu
Mbona wewe ulikomaa na yangu moja halafu unashangaa mimi kukomaa na zako nyingi, kama unakosoa wenzio kubali kukosolewa
 
Hivi kwani Zimamoto kama jeshi la uokoaji kazi yao ni ipi.?..Nafikiri sasa Tuamke Tuanzishe vitengo kama Paramedic kwenye Jeshi letu ili tuepuke kusingizia watu mambo yasiyowahusu.

Kwa maana sioni haja ya Kumlaumu DMO kutofika eneo la tukio kwani Miongozo yake haimruhusu kutuma kikosi cha mdaktari kutibia nje ya Hospitali.. hii sasa inayofanywa ni siasa baada ya kuona Mapungufu na wananchi kulalamika
NCHI za wenzetu kwenye ajali wanafika watu wa uokoaji na vifaa vyao vya uokozi km misumeno na cranes. Madaftari wameonewa tu. Hii ni kazi ya Fire and Rescue Unit.
 
Wapuuzi wengi humu mnafoka foka kutokana na heading tu mliyosoma.

Tafuteni habari kamili. Daktari anakaa umbali wa dk tano kutoka hospitali ila alifika saa kumi na moja kumuona mgonjwa. maana yake nini
 
Taarifa ilisema kwenye eneo la ajali ni watu sita walifia palepale.

Wengine walikuwa kwenye hali mbaya

Wakakimbizwa hosp, Doctors wakawa wanakula usingizi na mabinti wa ki Tanga.

Hii ofcourse itawagharimu, better wangeenda tu hosp na upombe pombe wao hivyo hivyo, hata kama wasingezuia chochote.
 
Taarifa ilisema kwenye eneo la ajali ni watu sita walifia palepale.

Wengine walikuwa kwenye hali mbaya

Wakakimbizwa hosp, Doctors wakawa wanakula usingizi na mabinti wa ki Tanga.

Hii ofcourse itawagharimu, better wangeenda tu hosp na upombe pombe wao hivyo hivyo, hata kama wasingezuia chochote.
Na hiki ndo kilichotokea. Sasa kosa la wao kuwajibishwa liko wapi hadi watu wanailaumu serikali kwa kuwasimamisha kazi. Wamepata walichostahili. Ndio sababu ya kupewa nyumba karibu na hospitali wao wanafanya kazi kwa mazoea.
 
Taarifa ilisema kwenye eneo la ajali ni watu sita walifia palepale.

Wengine walikuwa kwenye hali mbaya

Wakakimbizwa hosp, Doctors wakawa wanakula usingizi na mabinti wa ki Tanga.

Hii ofcourse itawagharimu, better wangeenda tu hosp na upombe pombe wao hivyo hivyo, hata kama wasingezuia chochote.
Konyagi siyo mchezo wasingefanya chochote
 
Taarifa ilisema kwenye eneo la ajali ni watu sita walifia palepale.

Wengine walikuwa kwenye hali mbaya

Wakakimbizwa hosp, Doctors wakawa wanakula usingizi na mabinti wa ki Tanga.

Hii ofcourse itawagharimu, better wangeenda tu hosp na upombe pombe wao hivyo hivyo, hata kama wasingezuia chochote.
Konyagi siyo mchezo wasingefanya chochote
 
Ni upuuzi tu !! Kwani masaa ya kazi hayajulikani? Hata uwapigie simu siyo lazima waje muda huo, kwani hawana shughuli nyingine waliyokuwa wanafanya? Eti asingekuwa Magufuli wasingefanya hivyo? UJINGA MTUPU.

Mbona yeye mwenyewe KAFA akiwa Rais? Kwa nini watu hawakumuogopa kuwa atakufa.
Ungeuliza kwanza taratibu za kazi za watu uelekezwe, usije ukafikiri utaratibu wa kufanya kazi wa Daktari upo kama wa Fundi ujenzi
 
Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:

Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.

Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.

Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.

"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"

USSR
magu alikuwa mkurupukaji ndio maana wengi wao aliokuwa akiwatumbua kwa kusikiza watu bila uchunguzi sasa wanaenda mahakamani wanashitaki na kulupwa fidia na kurudishwa kazini

hajari ya tenki la mafuta msavu ilio uwa watu uzembe mkubwa ulisababishwa na polisi huyo baba yako magu aliwafanya nini?
 
Back
Top Bottom