DMmasi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 561
- 900
Ni sawa kabisa mkuu nikwamba ata mzee angekuwepo bado lingeweza kutokeaTaarifa inasema hospital walifika saa 11 hospital alafu ishu kubwa ni kumdharau DC
Hayo ni madhara ya ukosefu wa nidhamu kazinii na hili linatakiwa kutengenezwa ndani ya taasisi
Taasisi nyingi zina huduma mbovu sababu wanafanya kazi kimazoeya