Ajali Korogwe: Madaktari walipigiwa simu saa nne usiku wakafika saa kumi na moja

Ajali Korogwe: Madaktari walipigiwa simu saa nne usiku wakafika saa kumi na moja

Taarifa inasema hospital walifika saa 11 hospital alafu ishu kubwa ni kumdharau DC
Ni sawa kabisa mkuu nikwamba ata mzee angekuwepo bado lingeweza kutokea
Hayo ni madhara ya ukosefu wa nidhamu kazinii na hili linatakiwa kutengenezwa ndani ya taasisi
Taasisi nyingi zina huduma mbovu sababu wanafanya kazi kimazoeya
 
VIPI NA WALE WA AJALI YA PRECISION mbona nao Walichelewa kwanini hawakusimamishwa?
Hata majeruhi wa precision BIMA imewalipa mamilioni. Hao wabarabarani hata mia hawapati. Dunia haipo fair
 
Usinipangie cha kuandika. Magufuli alipanda chuki na anavuna chuki.

Wewe mwenye unataka kuandika aliyofanya Dikteta nawe andika kwa wakati wako
Kama kutokukubaliana na ulichokiandika ni kukupangia cha kuandika ina maana sawa na wewe kuwapangia watu cha kusema maana umewapinga waliomsifia jiwe.... kwenye haya maisha ukitaka kuishi kwa raha acha chuki kupitiliza au mahaba kupitiliza, kila mwanadamu huwa ni lazima afanye mazuri na mabaya ila kwako inaonekana magufuli kafanya mabaya total ambapo kihalisia sivyo. Punguza chuki haitakusaidia.
 
Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:

Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.

Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.

Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.

"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"

USSR
Itakuwa walikuwa tungi
 
Madaktari wazembe wanasubiri watu wafe kwanza alafu wao ndio wajitokeze ili wachukue pesa za Mochwari,
Kweni anayemwita Dr I/C kuja kuona majeruhi ni nani? Nurse i/c on duty? Clinical officer/Dr i/c on duty? DMO yeye ni mtawala zaidi na msaada wake labda ni organization kwenda sekta zingine, nafikiri jambo la muhimu ni kujipima je tumejiandaa kikamilifu kuunda Emergency preparedness team ktk kila wilaya na vifaa vinavyohusika viwepo sio brabra za kisiasa
 
Bavicha mbona mna ututusa mwingi

Umeambiwa madaktari hawakuwepo hospital ingawa walipigiwa Simu kwamba kuna wahanga wa ajali wanaletwa

Hai madaktari Wanaishi Kwenye kota za hospital hapo hapo

Ilibidi DC ambaye siyo Daktari kitaaluma atoe referral kwa wale wenye hali Mbaya

Acheni ujinga!
Huyo DC kapata wapi mafunzo ya kufanya Triage? Wanasiasa wafanye siasa na ya madaktari waachiwe Drs, ni kichekesho kuaminisha watu kuwa DC alikuwa anatoa referrals wakati madaktari wengine walikuwepo hospitalini kuhudumia wagonjwa,
 
Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:

Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.

Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.

Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.

"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"

USSR
Kwahiyo walitaka saa hiyohiyo waje kwa njia ya WhatsApp au
 
Wabongo hawajifunzi wala hawakomi

Matukio kama haya yanajirudiarudia tu

Ova
 
Daktari kwenye Job Description yake Hana activity ya kufanya kwenye accident scene. Yaani hata ungewapeleka pale mabingwa wote wa MUHIMBILI wangekuwa watazamaji tu.

Hivi unafanyaje procedure ya dawa ya usingizi pale barabarani? Unawekaje monitors mbalimbali kwenye barabara? Hebu tutumie akili alizotupa Mungu kidogo
Unaandika vitu vya ajabu sana, sijui mawazo yako umeacha wapi.

"Daktari mwenye job description hana activity ya kufanya kwenye accident scene"

Really??

Hata kumfunga bandeji mgonjwa ili kumzuia asipoteze damu nyingi inayoweza pelekea akapoteza maisha hawezi kufanya kwasababu sio description yake🫣🫣

Unatetea uzembe.
 
Ni sawa kabisa mkuu nikwamba ata mzee angekuwepo bado lingeweza kutokea
Hayo ni madhara ya ukosefu wa nidhamu kazinii na hili linatakiwa kutengenezwa ndani ya taasisi
Taasisi nyingi zina huduma mbovu sababu wanafanya kazi kimazoeya
🙏🙏🙏🙏
 
Unaandika vitu vya ajabu sana, sijui mawazo yako umeacha wapi.

"Daktari mwenye job description hana activity ya kufanya kwenye accident scene"

Really??

Hata kumfunga bandeji mgonjwa ili kumzuia asipoteze damu nyingi inayoweza pelekea akapoteza maisha hawezi kufanya kwasababu sio description yake🫣🫣

Unatetea uzembe.
Inawezekana huyu ni daktari mzembe
 
Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:

Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.

Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.

Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.

"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"

USSR

Ajali ya lori la mafuta Morogoro ilikuwa enzi za JPM, nani aliwajibishwa? Kibaya zaidi hadi waziri mkuu akaunda tume na aliahidi kuweka ripoti hadharani, hadi leo hakuna ripoti wala, hatua zozote.

Tena kama sio Magufuli kulazimisha uzalendo uchwara wakatibiwe hapo muhimbili watu wengi wasingefariki.
 
Issue haikua suala la wao "madaktari" kufika eneo la tukio, la hasha! Issue ilikua mwitikio wa hao "madaktari" kufika hospitalini kwa wakati.

Kwa maelezo ya mkuu wa mkoa, licha ya kwamba mmoja wa hao madaktari kuishi karibu/jiranibna hospitali, kila alipokua akipigiwa simu na mkuu wa wilaya alikua akijibu kuwa anayo taarifa ya ajali hiyo na ameipata mapema.

Mkuu wa mkoa ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa, kuchelewa kufulika kwao hospitali ilipelekea mpaka rufaa kwa wagonjwa kutolewa kwa amri na utashi wa mkuu wa wilaya, kitu ambacho ni kinyume na utaratibu wa kitabibu.

Misingi na sababu za kusimamishwa ipo hapo.
Yah nimesikia alivotoa ufafanuzi nimeelewa zaidi ila sio alivyosema USSR
 
Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:

Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.

Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.

Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.

"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"

USSR
Sasa walitakiwa wawahi kwenda kwenye ajali au wawahi kwenda kwenye ajali??


Na hata wangewahi kwenye eneo la tukio vipi vitendea kazi na wangejuaje vifaa vingehitajika vya aina ganiZ???
 
Back
Top Bottom