Ni upuuzi tu !! Kwani masaa ya kazi hayajulikani? Hata uwapigie simu siyo lazima waje muda huo, kwani hawana shughuli nyingine waliyokuwa wanafanya? Eti asingekuwa Magufuli wasingefanya hivyo? UJINGA MTUPU.
Mbona yeye mwenyewe KAFA akiwa Rais? Kwa nini watu hawakumuogopa kuwa atakufa.
Wewe ni mk×*du!
Hospitali lazima iwe na. Kitengo cha dharula....kama daktari ameajiriwa kuufanya udaktari!
Hiyo kazi nyingine ambayo hawezi kuiacha na kuwahi kuokoa uhai wa watu kwa dharula ni ipi?
Nchi hii kwa sasa tunaipeleka kike kike tu!
Pumbavu zao hao madaktari!
Sasa wacha wakapambane na hali zao mitaani!
Tunao vijana mitaani wamekalia CV"S kwa maelfu!
Watajaza hizo nafasi chap!
Sasa hawa wazembe,unaowatetea wewe
Stuxnet wachukuweni wawatumikie nyinyi wapinga Magufuli!
Au wakawe madaktari wa Lissu!
Inawezekana hata wao walikuwa vyeti feki kama wewe
Stuxnet
Mleta mada yuko sahihi,kipindi cha ...
Magufuli (R.I.P ) huu upumbavu ulikoma kabisa!
Sasa ni enzi ya Wazembe,Mafisadi na watoto wajingawajinga wa Single Mama!
View attachment 2508985