Ajali Korogwe: Madaktari walipigiwa simu saa nne usiku wakafika saa kumi na moja

Ajali Korogwe: Madaktari walipigiwa simu saa nne usiku wakafika saa kumi na moja

Acha uboya uzi wa ile ajari upo kaulize kule huu uzembe unapaswa kukemewa

USSR
kwa hyo wangekuja eneo la tukio kwa miguu? Kama walikuwa hawako zamu na wapo nje ya wilaya? Mrs nan cjui wewe kama vp kamfufue huyo shetan mwenzenu akawatumbue
 
Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:

Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.

Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.

Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.

"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"

USSR
Hii nchi🙌🏼🙌🏼 Kitengo cha emergency hakuna Dr?? #smh
 
Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:

Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.

Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.

Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.

"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"

USSR
Kuandika ulichoandika ni kuoñyesha wewe ni zero bleini.

Madereva wafanye ujinga barabarani halafu lawama ziende kwa madaktari???? Pumbeeeeeervu
 
Ila umekula za uso mpaka umelegea kama kuku kishingo , waeleze madaktari wenzako kuwa jamii inajua upuuzi wao

USSR
Nimekula za uso kivipi wakati post yangu kufika saa hizi Ina likes 19 wakati thread yako ambayo ni main subject ina likes 16?
 
Kama kutokukubaliana na ulichokiandika ni kukupangia cha kuandika ina maana sawa na wewe kuwapangia watu cha kusema maana umewapinga waliomsifia jiwe.... kwenye haya maisha ukitaka kuishi kwa raha acha chuki kupitiliza au mahaba kupitiliza, kila mwanadamu huwa ni lazima afanye mazuri na mabaya ila kwako inaonekana magufuli kafanya mabaya total ambapo kihalisia sivyo. Punguza chuki haitakusaidia.
Sawa nimekubali,
Screenshot_20230201-132543.png
mazuri ndiyo kama haya ya kujianika kwenye mawe kama kenge baridi.
 
Ni upuuzi tu !! Kwani masaa ya kazi hayajulikani? Hata uwapigie simu siyo lazima waje muda huo, kwani hawana shughuli nyingine waliyokuwa wanafanya? Eti asingekuwa Magufuli wasingefanya hivyo? UJINGA MTUPU.

Mbona yeye mwenyewe KAFA akiwa Rais? Kwa nini watu hawakumuogopa kuwa atakufa.
Wewe ni mk×*du!

Hospitali lazima iwe na. Kitengo cha dharula....kama daktari ameajiriwa kuufanya udaktari!

Hiyo kazi nyingine ambayo hawezi kuiacha na kuwahi kuokoa uhai wa watu kwa dharula ni ipi?

Nchi hii kwa sasa tunaipeleka kike kike tu!

Pumbavu zao hao madaktari!

Sasa wacha wakapambane na hali zao mitaani!

Tunao vijana mitaani wamekalia CV"S kwa maelfu!
Watajaza hizo nafasi chap!

Sasa hawa wazembe,unaowatetea wewe Stuxnet wachukuweni wawatumikie nyinyi wapinga Magufuli!

Au wakawe madaktari wa Lissu!

Inawezekana hata wao walikuwa vyeti feki kama wewe Stuxnet

Mleta mada yuko sahihi,kipindi cha ...
Magufuli (R.I.P ) huu upumbavu ulikoma kabisa!

Sasa ni enzi ya Wazembe,Mafisadi na watoto wajingawajinga wa Single Mama!
View attachment 2508985
 

Attachments

  • JamiiForums-689444155.jpg
    JamiiForums-689444155.jpg
    115.4 KB · Views: 2
Ni upuuzi tu !! Kwani masaa ya kazi hayajulikani? Hata uwapigie simu siyo lazima waje muda huo, kwani hawana shughuli nyingine waliyokuwa wanafanya? Eti asingekuwa Magufuli wasingefanya hivyo? UJINGA MTUPU.

Mbona yeye mwenyewe KAFA akiwa Rais? Kwa nini watu hawakumuogopa kuwa atakufa.
Povu limukutoka ukisikia jina la mwamba huwa unachanganyikiwa sana. Alikufanya nn huyu Baba!??
ama akikuachia kachanga!?
 
Hao madaktari ulitaka waende kwenye eneo la tukio kufanya nini wakati ambulance za kuwaleta hospital zipo!
Hujaelewa, wamefika hospital saa 11 alfajiri, inamaanisha hawakubali Ile dharula
 
Bavicha w
Bavicha mbona mna ututusa mwingi

Umeambiwa madaktari hawakuwepo hospital ingawa walipigiwa Simu kwamba kuna wahanga wa ajali wanaletwa

Hai madaktari Wanaishi Kwenye kota za hospital hapo hapo

Ilibidi DC ambaye siyo Daktari kitaaluma atoe referral kwa wale wenye hali Mbaya

Acheni ujinga!
Anahusikaje ikiwa uvccm ndio kusanyiko la vilaza?
 
We Ni mjinga ukielimishwa utaelimika uhai wa mtu atakufa ataishi Mungu ndie anayejua! Jiografia ya korogwe unaijua? Hospitali ya wilaya ilipo na eneo la ajali? Wajua waliojitokeza eneo la tukio walikua na kazi ya kuiba kuliko kutoa Msaada na waliokufa on the spot Ni almost 17!

Tumepoteza ndugu zetu acheni siasa! Mkuu wa mkoa ndio wa kwanza kujiuzulu kwa kushindwa yeye na serikali yake kuwa na standby team ya zimamoto na uokoaji!

DTO alifika on time yeye RC NA ZIMAMOTO WALIKUA WAPI.

unawasimaisha madkatari kazi watu wengine waendelee kufa na kukosa huduma hospitalini wakati huna mbadala? Siasa sihasa
Dada unachanganya mambo, madaktari wanalaumiwa kwa kuchelewa kufika kituo cha afya na sio eneo la ajali. Kumbuka madaktari wanakaa kota za kituo cha afya. Wamefika kituoni saa 11 alfajiri licha ya kupigwa simu saa nne na kukiri taarifa za ajali wanazo
 
Mimi ni poyoyo, ila nakuhakikishia kazi ya Madaktari siyo kwenda kwenye scene ya accident Bali ni kuwasubiri majeruhi hospitali na kufanya emergency procedure. Daktari aakienda kwenye scene ya ajali atakuwa mtazamaji tu kama raia mwingine.

Ili unielewe inabidi uwe na akili, ila sidhani kama damper unazo
Hakuna daktari aliyeitwa kwenye scene ya accident, waliitwa hospital
 
Dada unachanganya mambo, madaktari wanalaumiwa kwa kuchelewa kufika kituo cha afya na sio eneo la ajali. Kumbuka madaktari wanakaa kota za kituo cha afya. Wamefika kituoni saa 11 alfajiri licha ya kupigwa simu saa nne na kukiri taarifa za ajali wanazo
Kwahiyo hata anonymous ID we unaita Dada utajua kweli taratibu za utumishi wa umma?
 
Hujaelewa, wamefika hospital saa 11 alfajiri, inamaanisha hawakubali Ile dharula
Kajifunze KUANDIKA Ni dharura sio dharula Kama KUANDIKA huwezi he kudadavua Mambo utaweza?
 
Back
Top Bottom