Fundi wa fundi
Senior Member
- Apr 18, 2017
- 117
- 53
Naungana Na wewe kaka sababu baadhi ya wazazi wanaosomesha shule hiyo wanadai wanalipa nauri ya team lakini school basi zao zinaharibiki zaidi ya Mara sita(6)kw a mwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafunz waliofarik ni 29 na walimu wawil na dereva 1 jumla 33. Sasa wahusika wanahusika vip na wewe wakat ajal ni ajal tuWatanzania tungekuwa wamoja tuhakikishe wahusika wa shule hii wanawajibishwa kwa vifo hivi Na ukizingatia hata RPC anatoa taarifa za uongo kuwa ni wanafunzi 30 wakati ni zaidi ya 33
Iliyopata ajali ni Rosa sio coasterAngalieni tofauti ya mabasi mawili yanavyoonekana hapo
Mkuu hii siyo hoja, kitu kinapokuwa kibovu kwa kadri kinavyopita kwenye sehemu korofi ndipo ubovu huongezeka na hata kuibua ubovu mwingine ambao haukuwepo jambo ambalo huweza kupelekea gari kubuma hata sehemu usiyotegemea ingebuma, kwa hiyo inawezekana ni kweli gari haikuwa imara na kwa kupitishwa kwenye hizo sehemu unazoziita hatarishi zaidi zikaongeza ubovu wa gari na hatima yake imekuwa hapo unapopaona wewe kuwa siyo hatarishi.Hilo gari limepita sehemu hatarishi kuliko hata sehemu ya ajali...
Kama kingekuwa bovu kama unavyotaka tuamini basi lisingeweza kutoboa eneo linaitwa Kilima Tembo.
Lakini si wanayalipia kodi mkuu!!Wananunua magari used,wanapaka rangi tu,kumbe ni mabovu,alafu wanabebea watoto,hapa washtakiwe
Kidogo sana nyingi pumba..Kuna Point Kiasi Ndani Yake
inasikitisha sana ni sahihi ulichokiandika lakini mkuu kaa ukijua ajari haina kinga gari linaweza kuwa na hayo yote na dreva ni mzoefu wa miaka mingi ninachoweza kusema yawezekana dreva alikuwa mzembe sawa lakini! ! mazingira yalichangia kwa kiasi kikubwa kutokea kwa ajari yani mvua, ukungu na mahali penyewe yote kwa yote tunapata fuzo kubwa sana sisi tuliobaki Mungu awalaze mahali pema watoto wetu majeruhi awaguse pole kwa kwawalio fikwa na msiba
kinachonipa shida ni mtoto alietoka akiwa hana ana mchubuko zinazunguka picha 2 tofauti za jinsia tofauti sijui ninani kati yao muhusika
napia wanasema aliepona alikuwa kwenye gari la nyuma tofauti na lile lililo pata ajari maana gari zilikuwa wengine wanasema 4 inasikitisha sana kwakweli
Acha kutetea ujinga jumla ya waliofariki ni 36 hadi Jana saa moja jioni wanafunzi 33 dereva 1 walimu 2