Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Hivi ni rich kids au utajiri wa washua wao coz wale wanaosaka wenyewe hawakatiki namna hyo, RIP dogoRich kids!!!
Anyway ndivyo ilivyo life goes on.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni rich kids au utajiri wa washua wao coz wale wanaosaka wenyewe hawakatiki namna hyo, RIP dogoRich kids!!!
Anyway ndivyo ilivyo life goes on.
Jina LA bwana lihimidiwe AMINBwana alitoa na bwana ametwaa
Dar mama hakuna millionaire, hao wako Arusha tu!!Oook......RIP kijana.........lakini nataka nijue......alikuwa milionea.....?........
Huyo ni demu wake kitambo... Alikuwa nae kwenye hiyo ajari, yuko ICU sasaMasaa machache kabla ya ajali unamaanisha alikuwa na huyu mwanamke? Inabidi atafutwe kusaidia upelelezi
Dar mama hakuna millionaire, hao wako Arusha tu!!
Sure for sureUfunuo wa yohana 14.13 Inasema,
Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam ,asema Roho,wapate kupumzika baada ya taabu zao, kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
Kazi kwenu sasa!
R.I.P. Dogo alikuwa manager wa young D. Demu wake yupo ICUSure for sure
Usinywe kabisa mungu amekatazaDuuuh hatari sana hii... Tujifunze kitu hapa waungwana...tu vijana na labda wengine tunafamilia; kumuacha mke, Watoto, ndugu jamaa na marafiki hiyo huumiza zaidi. Tuchukue tahadhari na kukwepa kuhatarisha maisha yetu kwa sababu zinazoweza epukika!
Tunywe kwa kiasi chetu. Zikikolea sana basi tusitafute kushindana na pedo ya mafuta na kukimbiza geji kuwahi home ama kuhama kiwanja kingine. Tuwe tunakumbushana wakati wa kupata kinywaji. Ikibidi mgombane kwa kumkataa aliyezidiwa kuwa dereva...hata kama gari ni lake. Uhai kwanza, Urafiki tutajenga upya.
Muwe na J2 njema na pole kwa wafiwa.
halafu hii tabia ya wanaume kuchonga nyusi inakera kweli kweli...anyway Rip mtoto wa watu.Ajali hii imetokea jijini Dar, karibu na Ubalozi wa Kenya usiku wa kuamkia leo.
Pole sana wafiwa na wote walioguswa na msiba hasa mabinti wauza sura wa mjini (Wadada wa mjini).
Binafsi nimesikitika maana marehemu nimesoma nae japo nilikuwa darasa moja mbele yake.
RIP Kelvin Kaloosh
View attachment 320314View attachment 320322
samurai /Marehemu amekufa kizembe,
1. Mwendokasi.
2.hakufunga mkanda.
3. Alikuwa amelewa.
Alale mahali alipojichagulia..
2011 ndo nimetoka hapoUmesoma mwaka gani?
Walikuwa mitungi?Nina video yake hapa wenzie Walishindwa kutomtoa kwenye gari amekufa wakimuonA...
samurai /
sema pia siku yake ilifika!
kifo kinapomfika mja kibinadamu hatuiti usembe!/
ni mpango wa mungu!
kwa unaweza hata kukaa ndani ukajifia tu taratibu kwa Ngiri.
Wanapiga mayowe tu sina uhakika wanawake ndo wametushaWalikuwa mitungi?
Nitumie tafadhali nimekupm namba yanguWanapiga mayowe tu sina uhakika wanawake ndo wametusha
Na kuheshimu sheria za barabarani R.I.P.