Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

Ufunuo wa yohana 14.13 Inasema,

Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam ,asema Roho,wapate kupumzika baada ya taabu zao, kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.


Kazi kwenu sasa!
Sure for sure
 

Attachments

  • Screenshot_2016-02-01-00-36-33~01.png
    Screenshot_2016-02-01-00-36-33~01.png
    908 KB · Views: 121
  • Screenshot_2016-02-01-00-38-14~01.png
    Screenshot_2016-02-01-00-38-14~01.png
    644 KB · Views: 147
  • Screenshot_2016-02-01-00-39-50~01.png
    Screenshot_2016-02-01-00-39-50~01.png
    442 KB · Views: 110
  • Screenshot_2016-02-01-00-42-45~01.png
    Screenshot_2016-02-01-00-42-45~01.png
    638.2 KB · Views: 99
Duuuh hatari sana hii... Tujifunze kitu hapa waungwana...tu vijana na labda wengine tunafamilia; kumuacha mke, Watoto, ndugu jamaa na marafiki hiyo huumiza zaidi. Tuchukue tahadhari na kukwepa kuhatarisha maisha yetu kwa sababu zinazoweza epukika!

Tunywe kwa kiasi chetu. Zikikolea sana basi tusitafute kushindana na pedo ya mafuta na kukimbiza geji kuwahi home ama kuhama kiwanja kingine. Tuwe tunakumbushana wakati wa kupata kinywaji. Ikibidi mgombane kwa kumkataa aliyezidiwa kuwa dereva...hata kama gari ni lake. Uhai kwanza, Urafiki tutajenga upya.

Muwe na J2 njema na pole kwa wafiwa.
Usinywe kabisa mungu amekataza
 
Ajali hii imetokea jijini Dar, karibu na Ubalozi wa Kenya usiku wa kuamkia leo.

Pole sana wafiwa na wote walioguswa na msiba hasa mabinti wauza sura wa mjini (Wadada wa mjini).

Binafsi nimesikitika maana marehemu nimesoma nae japo nilikuwa darasa moja mbele yake.

RIP Kelvin Kaloosh

View attachment 320314View attachment 320322
halafu hii tabia ya wanaume kuchonga nyusi inakera kweli kweli...anyway Rip mtoto wa watu.
 
Marehemu amekufa kizembe,
1. Mwendokasi.
2.hakufunga mkanda.
3. Alikuwa amelewa.
Alale mahali alipojichagulia..
 
Marehemu amekufa kizembe,
1. Mwendokasi.
2.hakufunga mkanda.
3. Alikuwa amelewa.
Alale mahali alipojichagulia..
samurai /
sema pia siku yake ilifika!
kifo kinapomfika mja kibinadamu hatuiti usembe!/
ni mpango wa mungu!
kwa unaweza hata kukaa ndani ukajifia tu taratibu kwa Ngiri.
 
Nani aliyetoa taarifa kwamba marehemu alikuwa anaendesha gari akiwa amelewa?
Tatizo la watu wengi wanpenda sana kuhukumu wenzao kwa makosa ambayo hata wao wanafanya
 
Back
Top Bottom