Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,033
- 723
Dc Kalanga,ameongea na kasibante radio Bukoba,ambapo amesema kuwa kwa sasa hawezi dhibitisha vifo ni vingapi na majeruhi ila ajali ni mbaya.
Amesema kuwa roli likiwa limebeba maparachichi limeigonga kwa nyuma Haice iliyokuwa ikitokea karagwe kwenda bukoba na Haice kugonga Costa iliyokuwa ikitoka Bukoba kwenda Karagwe.
Mmoja wa mashuhuda ameiambia kasibante radio bukoba,kuwa ameweza kusaidia kutoa baadhi ya maiti katika Gari ya haice.
Tutaendelea kuwapatia updates.
Update.
Kwa mjibu WA taarifa ya polisi vifo ni saba na majeruhi ni 9.
View: https://youtu.be/ierWM5fW4BI