Ajali mbaya ya Gari 3 Karagwe Mkoani Kagera, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha

Ajali mbaya ya Gari 3 Karagwe Mkoani Kagera, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
1,033
Reaction score
723
Screenshot_20241203-140745.png
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Kalanga Lisser,amedhibitisha kutokea ajali ,katika eneo la Kiyanga wilayani humo.

Dc Kalanga,ameongea na kasibante radio Bukoba,ambapo amesema kuwa kwa sasa hawezi dhibitisha vifo ni vingapi na majeruhi ila ajali ni mbaya.

Amesema kuwa roli likiwa limebeba maparachichi limeigonga kwa nyuma Haice iliyokuwa ikitokea karagwe kwenda bukoba na Haice kugonga Costa iliyokuwa ikitoka Bukoba kwenda Karagwe.

Mmoja wa mashuhuda ameiambia kasibante radio bukoba,kuwa ameweza kusaidia kutoa baadhi ya maiti katika Gari ya haice.

Tutaendelea kuwapatia updates.


Update.
Kwa mjibu WA taarifa ya polisi vifo ni saba na majeruhi ni 9.

View: https://youtu.be/ierWM5fW4BI




IMG-20241203-WA0071.jpg

IMG-20241203-WA0063.jpg

View: https://youtu.be/ierWM5fW4BI
 
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Kalanga Lisser,amedhibitisha kutokea ajali ,katika eneo la Kiyanga wilayani humo.

Dc Kalanga,ameongea na kasibante radio Bukoba,ambapo amesema kuwa kwa sasa hawezi dhibitisha vifo ni vingapi na majeruhi ila ajali ni mbaya.

Amesema kuwa roli likiwa limebeba maparachichi limeigonga kwa nyuma Haice iliyokuwa ikitokea karagwe kwenda bukoba na Haice kugonga Costa iliyokuwa ikitoka Bukoba kwenda Karagwe.

Mmoja wa mashuhuda ameiambia kasibante radio bukoba,kuwa ameweza kusaidia kutoa baadhi ya maiti katika Gari ya haice.

Tutaendelea kuwapatia updates.
Thibitisha, amethibitisha.
 
Natamani kuwashauri wale msiokuwa na safari za lazima msiende kwenu kwa usafiri wa pamoja
 
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Kalanga Lisser,amedhibitisha kutokea ajali ,katika eneo la Kiyanga wilayani humo.

Dc Kalanga,ameongea na kasibante radio Bukoba,ambapo amesema kuwa kwa sasa hawezi dhibitisha vifo ni vingapi na majeruhi ila ajali ni mbaya.

Amesema kuwa roli likiwa limebeba maparachichi limeigonga kwa nyuma Haice iliyokuwa ikitokea karagwe kwenda bukoba na Haice kugonga Costa iliyokuwa ikitoka Bukoba kwenda Karagwe.

Mmoja wa mashuhuda ameiambia kasibante radio bukoba,kuwa ameweza kusaidia kutoa baadhi ya maiti katika Gari ya haice.

Tutaendelea kuwapatia updates.
tuliopo eneo hili changamotto ya sehemu zilipopata ajari hizo gari ni Beria, Beria ipo sehemu mbaya ambapo husababisha wahanga kuona beria ghafla hivyo kulazimika kujinusuru kwa ghafla
 
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Kalanga Lisser,amedhibitisha kutokea ajali ,katika eneo la Kiyanga wilayani humo.

Dc Kalanga,ameongea na kasibante radio Bukoba,ambapo amesema kuwa kwa sasa hawezi dhibitisha vifo ni vingapi na majeruhi ila ajali ni mbaya.

Amesema kuwa roli likiwa limebeba maparachichi limeigonga kwa nyuma Haice iliyokuwa ikitokea karagwe kwenda bukoba na Haice kugonga Costa iliyokuwa ikitoka Bukoba kwenda Karagwe.

Mmoja wa mashuhuda ameiambia kasibante radio bukoba,kuwa ameweza kusaidia kutoa baadhi ya maiti katika Gari ya haice.

Tutaendelea kuwapatia updates.
Watu walioshuhudia ajali wanathibitisha kuwa magari yaliyohusika na ajali yote yalikuwa yanatokea Karagwe yakielekea Bukoba na Hiace na Cooster zote zimegongwa kwa nyuma na kwenye Hiace wametoka watu wawili tu na mmoja wao alikuwa amekatika mguu.
Kwa ujumla video ni 20+
 
Back
Top Bottom